Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Serikali yao ndo iko madarakani na inao uwezo wa kuzuia hayo. Sasa Watetezi wa haki za binadamu wanamtetea ambaye hana mtetezi, nyie wengine mnakufa kwa uzembe wa serikali ya Chama chenu.Ccm wakiuliwa hatusikii haki za binadamu wakizungumza ila wakifa vyama vingine
Yaani ni sawa na mkopo wa HESLB. Utamtetea mtoto yupi aliyekosa mkopo kati ya hawa? 1.Mtoto wa mkulima hohehahe au 2.Mtoto wa Mkurugenzi wa Shirika kubwa la Serikali?