Mbeya na Kanda ya Ziwa ziwe semi-autonomous kama Zanzibar!

Mbeya na Kanda ya Ziwa ziwe semi-autonomous kama Zanzibar!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Ni muhimu sana kwani kila nikiangalia naona Mkoa wa Mbeya na wenyeji wa Mkoa huo pamoja na Kanda ya Ziwa wanapaswa kuwa kama Zanzibar ndani ya Tanzania, naamini kabisa Mbeya kama vile Kanda ya Ziwa watapata maendeleo makubwa sana kama wakiachwa wajitawale wenyewe kama vile Zanzibar.

Watu wa Mbeya na Kanda ya Ziwa wana potential kubwa sana ambayo haitumiki na Mikoa yao hasa Mbeya ni kama imesahaulika, ni lini Raisi wa Tanzania aliwahi kufika Mbeya mara ya mwisho ?
 
uchochezi at work!

mbona machalii wa Ara nao walitaka kwao iwe nchi!

kuna kitu kimekukaba unataka kusema jiachie tu! usizunguke mbuyu!
 
It is true inachukuliwa kodi tu lakini hata lami mpya hakuna. Nyanda za juu kusini ni mikoa isiyofikirika hata kidogo. Mbeya inakuwa lakini hakuna raisi anayeiwazia, ziara ni Arusha mwanza basi na Dar. Mbeya hatutakiwi hata kidogo, ni kama vile sio sehemu ya nchi. Jengo LA mkuu was mkoa linasuasua tangu Magu afariki.
 
So mikoa mwingine wasemeje acheni kujifanya mnajua pelekeni mikoa y pwni iwe Zanzibar kwanza ndo muanze mengine maana ilitengwa na nyerere na wafuatiliaji wake
 
Kwa nini usiwepo utawala wa majimbo (states) kama USA? Kila kanda itumie rasilimali zake, iwe na utawala wake na sheria zake alafu ndo kuwe na serikali ya shirikisho? Haya mambo ya mikoa naona kuna kanda zinanyonywa especially kanda ya ziwa[emoji35]
 
Kanda ya ziwa nadhani ilipawa kujitenga kabisa..mji mkuu iwe mwanza pale.

Kanda ya ziwa inaipa utajiri mkubwa serikali ya ccm ila maendeleo yote wanajaza mifukoni mwao na dsm tu...hii sio sawa kabisa.

Chamsingi hapa ni kupambana nia kanda zetu tu..cvm imeshindwa jukumu lake at first.

Tuende na serikali ya majimbo la hizi kanda zione namna gani vipi.

Live long NyanzaNation.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mawazo ya utengano hayajengi
Mbeya wanajikuta wajuaji mara wanajifanya Wana vipaji kushinda mikoa wote kama unafuatilia angalia nyuzi wameanza sijui timu yao ya taifa mara ooh nilijua wanajiona wakitaka ivyo ianze kugaiwa kanda ya pwani ije kaskazini ndo waje wao kwa lip kimkoa cha juzi icho
 
Kanda ya ziwa nadhani ilipawa kujitenga kabisa..mji mkuu iwe mwanza pale.

Kanda ya ziwa inaipa utajiri mkubwa serikali ya ccm ila maendeleo yote wanajaza mifukoni mwao na dsm tu...hii sio sawa kabisa.

Chamsingi hapa ni kupambana nia kanda zetu tu..cvm imeshindwa jukumu lake at first.

Tuende na serikali ya majimbo la hizi kanda zione namna gani vipi.

Live long NyanzaNation.

#MaendeleoHayanaChama
Una mawazo mazuru sana mno ila sio mleta uzi etu kujitenga
 
Kwa nini usiwepo utawala wa majimbo (states) kama USA? Kila kanda itumie rasilimali zake, iwe na utawala wake na sheria zake alafu ndo kuwe na serikali ya shirikisho? Haya mambo ya mikoa naona kuna kanda zinanyonywa especially kanda ya ziwa[emoji35]
kwanini mawazo haya ya kutengwa au kutoendelezwa kwa baadhi ya mikoa yanakuja leo? mnataka kusema kitu semeni tuwaskie msizunguke!
 
Kwa nini usiwepo utawala wa majimbo (states) kama USA? Kila kanda itumie rasilimali zake, iwe na utawala wake na sheria zake alafu ndo kuwe na serikali ya shirikisho? Haya mambo ya mikoa naona kuna kanda zinanyonywa especially kanda ya ziwa[emoji35]
Kabisa..serikali za majimbo ndio suluhisho la maendeya hii nchi.

Kanda zote zitakua na miji mikubwa yenye huduma zote za kijamii..sio kila kitu dsm tu.

Mji wa dsm umeelemewa na population hadi haikaliki kila sehemu foleni..miundombinu imeelemewa.

Niwakati sasa tuwe na serikali za majimbo kila jimbo liwe na nguvu yake ya kujiyegemeza.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mbeya wanajikuta wajuaji mara wanajifanya Wana vipaji kushinda mikoa wote kama unafuatilia angalia nyuzi wameanza sijui timu yao ya taifa mara ooh nilijua wanajiona wakitaka ivyo ianze kugaiwa kanda ya pwani ije kaskazini ndo waje wao kwa lip kimkoa cha juzi icho

Lkn Mbeya ina watu smart, sina uhusiano wowote na huo Mkoa lkn najua ni watu smart wangeweza fika mbali, ni watu proud na wanapenda kwao hivyo wasingeiba na kuwekeza kwenye anasa!
 
Kabisa..serikali za majimbo ndio suluhisho la maendeya hii nchi.

Kanda zote zitakua na miji mikubwa yenye huduma zote za kijamii..sio kila kitu dsm tu.

Mji wa dsm umeelemewa na population hadi haikaliki kila sehemu foleni..miundombinu imeelemewa.

Niwakati sasa tuwe na serikali za majimbo kila jimbo liwe na nguvu yake ya kujiyegemeza.

#MaendeleoHayanaChama
Kamji kadogo kwanza hako ka dar es salaam kila kitu hapo kwa kweli distribution ingefanywa kuanzia vyuo kila kanda kiwe na tawi
 
Back
Top Bottom