Mbeya na Kanda ya Ziwa ziwe semi-autonomous kama Zanzibar!

Mbeya na Kanda ya Ziwa ziwe semi-autonomous kama Zanzibar!

Kwani mbeya na nyanda za juu kusini kwa ujumla nazo ziko Tanzania?! Hivi hata Rais Samia anafahamu Kuna mbeya kweli nchi hii?! Wakati Kanda ya ziwa na Zanzibar zimeshatoa Marais wawili wawili kuchangia uongozi wa nchi ajabu nyanda za juu kusini haijawahi kutoa hata waziri mkuu tu miaka 60 ya uhuru.
Wakati TFF inaleta mechi za kimataifa za timu ya taifa kuchezea MWANZA kama vile Taifa stars vs Senegal, wakati huo huo angalau simba na Yanga hawajawahi hata kufikiria kupeleka mechi zao za kimataifa Mbeya kama vile Yanga vs Pyramid pale Mwanza.
Ndio maana tunasema msitutaje take tuacheni , upuuzi wenu msituhusishe hatutaki shobo zenu.
 
DEVOLUTION au UGATUZI = MAJIMBO. Tanzania ni kubwa sana.
 
It is true inachukuliwa kodi tu lakini hata lami mpya hakuna. Nyanda za juu kusini ni mikoa isiyofikirika hata kidogo. Mbeya inakuwa lakini hakuna raisi anayeiwazia, ziara ni Arusha mwanza basi na Dar. Mbeya hatutakiwi hata kidogo, ni kama vile sio sehemu ya nchi. Jengo LA mkuu was mkoa linasuasua tangu Magu afariki.
Bila kusahau 75% ya mizigo yote ya bandari ya dar inapita hapo jijini
 
Kunapo kosa usawa wa kimaendeleo haya lazima yatokee..hii nchi rasilmali zote zinaenda kujenga dsm tu..inadhani hiyo ni sawa?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app

..Magufuli alipoingia madarakani alizinyang'anya halmashauri zote mapato yao.

..tunatakiwa tuziwezeshe halmashauri zetu ili zisukume maendeleo ktk maeneo husika.

..utaratibu wa sasa ambapo kila eneo la nchi yetu linasubiri fadhila za kimaendeleo toka Ikulu ndio zinasababisha malalamiko kama ya mtoa mada.
 
Hizo shobo za mtoa mada kuitaja Mbeya kwenye upumbavu wa sukuma gang zimetoka wapi?
Mtoa mada ni mtu wa mbeya anaisemea mbeya yake Sasa wewe mtu wa makete namba moja kwa ukimwi inakuhusu nini hadi povu linakutoka?! Na wewe si uisemee makete yako serikali iongeze usambazaji wa ARVs, make condom zenyewe hata wasipoleta sababu huwa hamvai
 
Ni muhimu sana kwani kila nikiangalia naona Mkoa wa Mbeya na wenyeji wa Mkoa huo pamoja na Kanda ya Ziwa wanapaswa kuwa kama Zanzibar ndani ya Tanzania, naamini kabisa Mbeya kama vile Kanda ya Ziwa watapata maendeleo makubwa sana kama wakiachwa wajitawale wenyewe kama vile Zanzibar.

Watu wa Mbeya na Kanda ya Ziwa wana potential kubwa sana ambayo haitumiki na Mikoa yao hasa Mbeya ni kama imesahaulika, ni lini Raisi wa Tanzania aliwahi kufika Mbeya mara ya mwisho ?
Usitafute kuhalalisha kanda ya ziwa kwa kuiingiza Mbeya kama mkoa hizi ni Siasa chafu sisizo na Mashiko. Kumbuka Mbeya sio kanda ni Mkoa kanda itakuwa Southern Highlands (Iringa, Njombe, Ruvuma, Songwe na Rukwa). Sisi huku hatuna Agenda chafu za kutaka kujitenga kama nyie.
 
Back
Top Bottom