The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ndio maana tunasema msitutaje take tuacheni , upuuzi wenu msituhusishe hatutaki shobo zenu.Kwani mbeya na nyanda za juu kusini kwa ujumla nazo ziko Tanzania?! Hivi hata Rais Samia anafahamu Kuna mbeya kweli nchi hii?! Wakati Kanda ya ziwa na Zanzibar zimeshatoa Marais wawili wawili kuchangia uongozi wa nchi ajabu nyanda za juu kusini haijawahi kutoa hata waziri mkuu tu miaka 60 ya uhuru.
Wakati TFF inaleta mechi za kimataifa za timu ya taifa kuchezea MWANZA kama vile Taifa stars vs Senegal, wakati huo huo angalau simba na Yanga hawajawahi hata kufikiria kupeleka mechi zao za kimataifa Mbeya kama vile Yanga vs Pyramid pale Mwanza.
Hivi ni vichekeshoNdio maana tunasema msitutaje take tuacheni , upuuzi wenu msituhusishe hatutaki shobo zenu.
Hatutaki shobo,hakuna kitu Mbeya inategemea kutoka huko kwa WashambaHivi ni vichekesho
Bila kusahau 75% ya mizigo yote ya bandari ya dar inapita hapo jijiniIt is true inachukuliwa kodi tu lakini hata lami mpya hakuna. Nyanda za juu kusini ni mikoa isiyofikirika hata kidogo. Mbeya inakuwa lakini hakuna raisi anayeiwazia, ziara ni Arusha mwanza basi na Dar. Mbeya hatutakiwi hata kidogo, ni kama vile sio sehemu ya nchi. Jengo LA mkuu was mkoa linasuasua tangu Magu afariki.
Kwani Washamba wanategemea nini kutoka Huko? hakuna washamba walichozidiwa na wa huko, sana sana Washamba ndio wapo juuHatutaki shobo,hakuna kitu Mbeya inategemea kutoka huko kwa Washamba
Hizo shobo za mtoa mada kuitaja Mbeya kwenye upumbavu wa sukuma gang zimetoka wapi?Kwani Washamba wanategemea nini kutoka Huko? hakuna washamba walichozidiwa na wa huko, sana sana Washamba ndio wapo juu
Kunapo kosa usawa wa kimaendeleo haya lazima yatokee..hii nchi rasilmali zote zinaenda kujenga dsm tu..inadhani hiyo ni sawa?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada ni mtu wa mbeya anaisemea mbeya yake Sasa wewe mtu wa makete namba moja kwa ukimwi inakuhusu nini hadi povu linakutoka?! Na wewe si uisemee makete yako serikali iongeze usambazaji wa ARVs, make condom zenyewe hata wasipoleta sababu huwa hamvaiHizo shobo za mtoa mada kuitaja Mbeya kwenye upumbavu wa sukuma gang zimetoka wapi?
Imetajwa mbeya sio makete.Ndio maana tunasema msitutaje take tuacheni , upuuzi wenu msituhusishe hatutaki shobo zenu.
Sasa umejuaje huyo ni Sukuma Gang?Hizo shobo za mtoa mada kuitaja Mbeya kwenye upumbavu wa sukuma gang zimetoka wapi?
Usitafute kuhalalisha kanda ya ziwa kwa kuiingiza Mbeya kama mkoa hizi ni Siasa chafu sisizo na Mashiko. Kumbuka Mbeya sio kanda ni Mkoa kanda itakuwa Southern Highlands (Iringa, Njombe, Ruvuma, Songwe na Rukwa). Sisi huku hatuna Agenda chafu za kutaka kujitenga kama nyie.Ni muhimu sana kwani kila nikiangalia naona Mkoa wa Mbeya na wenyeji wa Mkoa huo pamoja na Kanda ya Ziwa wanapaswa kuwa kama Zanzibar ndani ya Tanzania, naamini kabisa Mbeya kama vile Kanda ya Ziwa watapata maendeleo makubwa sana kama wakiachwa wajitawale wenyewe kama vile Zanzibar.
Watu wa Mbeya na Kanda ya Ziwa wana potential kubwa sana ambayo haitumiki na Mikoa yao hasa Mbeya ni kama imesahaulika, ni lini Raisi wa Tanzania aliwahi kufika Mbeya mara ya mwisho ?