Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah
Hahahah
Hao wanachekewa ndio maana wanakenua.Polisi wanalazimisha naibu waziri mkuu apite. Wananchi wamegoma.
Ni maandamano ya kutoka Uyole.
Naibu waziri mkuu anazomewa
Wamepitisha magari pembeni baadhi ya watu wanarusha chupa. Msafara wa naibu mkuu una magari kama 50.
Mbeya sio mchezo.
Naibu waziri mkuu kapitishwa pembeni baada ya wananchi kugoma.
Lissu awaambie waandamanaji kwa muda huu barabara hii ni ya waandamaji.
low IQ ni mzigo sana, yaani unafurahia kunichimbia kaburi la maandamano 🐒Polisi wanalazimisha naibu waziri mkuu apite. Wananchi wamegoma.
Ni maandamano ya kutoka Uyole.
Naibu waziri mkuu anazomewa
Wamepitisha magari pembeni baadhi ya watu wanarusha chupa. Msafara wa naibu mkuu una magari kama 50.
Mbeya sio mchezo.
Naibu waziri mkuu kapitishwa pembeni baada ya wananchi kugoma.
Lissu awaambie waandamanaji kwa muda huu barabara hii ni ya waandamaji.
Hv kwann hao wengine wajiepushe na hayo maeneo wakati mlishasema ni maandamano ya amani, kwahy watu wasiendelee na majukumu yao kisa maandamano yao.?Ndio maana njia za masna hutangazwa ili watu wengine wajiepushe na maeneo hayo.
Hawa waandamanaji na hasira zao wangeweza kufanya madhara.
Rubbish, maandamano haya yametangazwa siku nyingi na njia zimetangazwa. Kwanini anasubiri kuvuruga maandamano ? Eti naye huyo ni PM wa kesho.....Kwann wanachadema wanazomea na kutoruhusu naibu Waziri mkuu kutokupita, c walisema yatakuwa ni maandamano ya amani.?
Kwa hiyo hata ambulance Ina mgonjwa mahututi mtazuia na kuirushia Mawe au kuipisha?Huo msafara ungesubiri kwani Chadema ilisha ruhusiwa...Viongozi wajifunze kustaraabika
Tunakuwa kama primitivu
Waacheni Wajaribu nguvu ya ChademaHuo msafara ungesubiri kwani Chadema ilisha ruhusiwa...Viongozi wajifunze kustaraabika
Tunakuwa kama primitivu
Anavurugaje maandamano wakati dakika tu msafara unakuwa umeshapita na maandamano yanaendeleaRubbish, maandamano haya yametangazwa siku nyingi na njia zimetangazwa. Kwanini anasubiri kuvuruga maandamano ? Eti naye huyo ni PM wa kesho.....
ana bahati sanaTena wanarusha na chupa
HakikaMbeya ni jamhuri nyingine
Sasa Biteko ni mgonjwa, ana dharura ya kuokoa maisha ya mtu?Kwa hiyo hata ambulance Ina mgonjwa mahututi mtazuia na kuirushia Mawe au kuipisha?
Maandamano huwa na ratiba yake, barabara yake na muda maalumu. Huo msafara w Naibu Waziri Mkuu una ratiba na hiyo ruti?!Kwann wanachadema wanazomea na kutoruhusu naibu Waziri mkuu kutokupita, c walisema yatakuwa ni maandamano ya amani.?
Hivi mkishatoa kibali kwamba maandamano yafanyike kupitia barabara fulani, unaanzaje tena kuitaka barabara hiyo kwa matumizi mengine? Ni ujinga wa kutoheshimu utaratibu mliojiwekea..!!Kwann wanachadema wanazomea na kutoruhusu naibu Waziri mkuu kutokupita, c walisema yatakuwa ni maandamano ya amani.?