Pre GE2025 Mbeya: Naibu Waziri Biteko aingilia Maandamano ya CHADEMA

Pre GE2025 Mbeya: Naibu Waziri Biteko aingilia Maandamano ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tena wanarusha na chupa

Kama ni chupa za plastic, wamefanya vizuri sana. Kule kwa waliostaarabika, akipatikana kiongozi aliyekosa ustaarabu hurushiwa hata mayai vinza.
 
Maandamano popote pale duniani kikawaida barabara hufungwa kama waandamanaji ni wengi.
Pia polisi wanaweza kuongoza kama waandamanaji wachache ili kutoa nafasi kwa wengine pia kutumia barua.. Lakini kwa maandamano makubwa kama haya Huwezi kuruhusu tena wapinzani wao watumie barabara hiyo hiyo kwa wakati huo huo. Ni hatari mno.
Sio kweli, Maandamano ya Dar barabara hazikufungwa kwa sababu ya maandamano.
 
Umeiona ambulance hapo?
Teh teh bei ya sukari haikuhusu..haya bana vimbiwa tu hapo kwa shemeji
Inatakiwa kuelewa kitu maandamano sio ku block shughuli za wananchi wengine watumia barabara ambao ndio wapiga kura wenu wawe bajaji,bodaboda nk wenye abiria Wao mkipisha Kwa kuacha nafasi wapite mtaumwa malaria au? Mbona Dar es salaam mlikuwa mkipisha magari yaendelee kutumia barabara maandamano yenu? Kwa nini Mbeya mumeblock wakati yake ya kutoka stendi ya Magufuli Hadi Posta mliwapa wenye magari kuendelea na misafara na maandamano yenu mbona mlikuwa mnapisha mnakaa upande magari yapite Kwa Nini Mbeya mumebadilika?
 
Misafara ya magari 50 wanaingiza sh ngapi kwenye bajeti zaidi ya hasara
Kuna wakati tutumie akili hata mara moja moja
Kwanini wasipakizane kwenye mabasi matatu tu?
Serikali iwe na mabasi ya msafara mbona maraisi London waliswekwa kwenye mabasi
 
Sio kweli, Maandamano ya Dar barabara hazikufungwa kwa sababu ya maandamano.
Barabara za Dar ni kubwa na waandamanaji hawakuwa wengi sana.
Barabara za Mbeya ni ndogo. Huwezi kuruhusu maandamano ya watu wengi na usafiri ukaendelea kawaida.
Walichofanya sio sawa.

Muhimu polisi walitii walichotaka waandamanaji.
 
Kila mmoja anawajibika kutimiza haki yake bila ya kuingilia haki za wenzake, Chadema na wafuasi wake wanayo haki ya kuandamana inalindwa kikatibu na wamepewa haki hiyo kwa utaratibu ambao hautaathiri haki za wengine za kutumia barabara na kuendelea na shughuli zao nyengine.
Teh teh utakuwa unapewa sukari ya bure kwa Sponsa...
 
Aiseee, mbona mbowe hakuheshimu ratiba ya rais kwenye Manyara kwenye mafuriko.?
Maandamano hukatiwa kibali,hupangiwa ruti, hupangiwa muda. Kusalimia wahanga na kutoa pole kunakatiwa kibali na kuwekewa ruti maalumu?!!
 
Kwenye maandamano ya kutoka Mbalizi, viongozi wa serikali wakiongozwa na mkuu wa mkoa wamejaribu kutaka kupita Lakini wananchi wamekataa kuondolewa barabarani.

Na wao sasa wamejiunga na maandamano nyuma wakiwafuata waandamanaji.
 
Kwann wanachadema wanazomea na kutoruhusu naibu Waziri mkuu kutokupita, c walisema yatakuwa ni maandamano ya amani.?
Kwanini polisi wali pewa route? Ili wasi ingiliane. Sasa mchokozi hapo ni nani kama siyo Rc na Roc? Tena walitakiwa gari zipigwe mawe maana wame ingilia utaratibu. Siku fahamu kama Biteko na ni tia maji tia maji kichwani.
Yaani ukisha itwa Ccm akili huenda likizo.
 
Polisi wanalazimisha Naibu Waziri Mkuu apite. Wananchi wamegoma.

Ni maandamano ya kutoka Uyole.

Naibu Waziri Mkuu anazomewa

Wamepitisha magari pembeni baadhi ya watu wanarusha chupa. Msafara wa Naibu Waziri Mkuu una magari kama 50.

Mbeya sio mchezo.

Naibu Waziri Mkuu kapitishwa pembeni baada ya Wananchi kugoma.

Lissu awaambie Waandamanaji kwa muda huu barabara hii ni ya waandamaji.

View attachment 2910071
KWA 90% HUU UJINGA UNAZOROTESHA UTENDAJI WA SHUGHULI MBALI MBALI, HAYA MA TAKA TAKA YAWEKEWE UTARATIBU, BUNGE LITUNGE SHERIA MPYA ZA MUONGOZO JUU YA HAYA MA TAKA TAKA, MAKUSANYIKO NA MAANDAMANO YAWE, YANAFANYIKA KATIKA VIPINDI VYA UCHAGUZI MIEZI MITATU KABLA YA CHAGUZI, NA SI KILA UCHAO WALEVI FULANI WANANYANYUKA KUTOKA ULEVINI NA KUTAMKA TUNATAKA KUANDAMANA, VERY STUPIDIY!, KUWE NA MPANGO MADHUBUTI JUU YA UPUUZI HUU, KWA MIDA YAKE MAALUMU
kiongozi ametoka kuhudumia na kusolve shida za watanzania nyie kipumbavu kabisa mnamkwaza. Chapa viboko hawa!
 
Polisi wanalazimisha Naibu Waziri Mkuu apite. Wananchi wamegoma.

Ni maandamano ya kutoka Uyole.

Naibu Waziri Mkuu anazomewa

Wamepitisha magari pembeni baadhi ya watu wanarusha chupa. Msafara wa Naibu Waziri Mkuu una magari kama 50.

Mbeya sio mchezo.

Naibu Waziri Mkuu kapitishwa pembeni baada ya Wananchi kugoma.

Lissu awaambie Waandamanaji kwa muda huu barabara hii ni ya waandamaji.

View attachment 2910071
Aliempitisha Dotto apo amemuingiza chakike maana Hii ni airtime tosha kwa CDM
 
Mwambieni mnataka umeme
Badala wamsimamishe wamwambie umeme ni haki ya kimsingi na mgawo unatuathiri katika maisha yetu, tujuze mgao unaisha lini?
--FOR THEY HER STUPIDITY WANAMRUSHIA MAKOPO, NA KUFUNGA NJIA, WAKATI HAPO PALIKUWA NDIPO PA KUPATA MAJIBU SAHIHI, POOR POOR POOR, IDIOT CONFROTER!, NYUMBU HAZINAGA AKILI.
 
Back
Top Bottom