Pre GE2025 Mbeya: Naibu Waziri Biteko aingilia Maandamano ya CHADEMA

Pre GE2025 Mbeya: Naibu Waziri Biteko aingilia Maandamano ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila hii nchi kwa kweli ni shida. Vyeo vingine kwa nchi masikini kama hii ni matumizi mabaya ya fedha. Cheo cha Naibu waziri mkuu ni cha nini hasa, ina maana Waziri mkuu ana kazi nyingi sana au.
 
Ila hii nchi kwa kweli ni shida. Vyeo vingine kwa nchi masikini kama hii ni matumizi mabaya ya fedha. Cheo cha Naibu waziri mkuu ni cha nini hasa, ina maana Waziri mkuu ana kazi nyingi sana au.
Ukilitimba tu mkuu, yaani waziri wa nishati huku ni vice pm yaani vurugu tu.
 
Viongozi wetu wengi akili zao ni fupi sana, kwani wangepaki pembeni kupisha maandamano yapite then waendelee na msafara wao kulikuwa na shida gani?.

Inamaana msafara wa huyo PM haukujua Kuna nini kilikuwa kinaendelea Mbeya kiasi cha kuwa na timing?
 
Viongozi wetu wengi akili zao ni fupi sana, kwani wangepaki pembeni kupisha maandamano yapite then waendelee na msafara wao kulikuwa na shida gani?.

Inamaana msafara wa huyo PM haukujua Kuna nini kilikuwa kinaendelea Mbeya kiasi cha kuwa na timing?
Yule mhutu naye ana kiburi kama jiwe lakini ndiyo ameiona nguvu ya umma
 
Wewe Mbaga Jr ama hujui au mjinga wa mambo haya usiye na uelewa/ufahamu..

Kwanini apite kwenye njia ya waandamanaji huku polisi wanaomwongoza wakijua fika kuwa kuna maandamano ya wananchi? Hakukuwa na njia mbadala huko?

Je, huo sio kuchokoza na kuamsha hasira za watu? Busara na hekima ya maamuzi kwa kiongozi huyu anayejiita "naibu waziri mkuu" iko wapi?

Ni mjinga, mpumbavu asiye na hekima wala busara. Kwa tendo lake hili hivi ndivyo unavyoweza kumwelezea waziri huyu na CCM Kwa ujumla..!
 
Polisi wanalazimisha Naibu Waziri Mkuu apite. Wananchi wamegoma.

Ni maandamano ya kutoka Uyole.

Naibu Waziri Mkuu anazomewa

Wamepitisha magari pembeni baadhi ya watu wanarusha chupa. Msafara wa Naibu Waziri Mkuu una magari kama 50.

Mbeya sio mchezo.

Naibu Waziri Mkuu kapitishwa pembeni baada ya Wananchi kugoma.

Lissu awaambie Waandamanaji kwa muda huu barabara hii ni ya waandamaji.

View attachment 2910071
imeshakuwa sababu hata kama watu walikuwa hawatoshi. ukweli usemwe, sasaivi hatuna chama pinzani, tangu mbowe awe rafiki wa ssh, upinzani umekufa. ni wakati kwa samia kujenga nchi sasa kwasababu hakuna upinzani kabisa, ameshawamudu. ajenge legacy ili awe tofauti na marais wengine.
 
Polisi wanalazimisha Naibu Waziri Mkuu apite. Wananchi wamegoma.

Ni maandamano ya kutoka Uyole.

Naibu Waziri Mkuu anazomewa

Wamepitisha magari pembeni baadhi ya watu wanarusha chupa. Msafara wa Naibu Waziri Mkuu una magari kama 50.

Mbeya sio mchezo.

Naibu Waziri Mkuu kapitishwa pembeni baada ya Wananchi kugoma.

Lissu awaambie Waandamanaji kwa muda huu barabara hii ni ya waandamaji.

View attachment 2910071
🤣🤣🤣 Kashiriki maandamano sio kaingilia!
 
imeshakuwa sababu hata kama watu walikuwa hawatoshi. ukweli usemwe, sasaivi hatuna chama pinzani, tangu mbowe awe rafiki wa ssh, upinzani umekufa. ni wakati kwa samia kujenga nchi sasa kwasababu hakuna upinzani kabisa, ameshawamudu. ajenge legacy ili awe tofauti na marais wengine.
Kwani wapinzani wanazuia Marais kufanya maendeleo!?
 
Yaani sababu wao wanaandamana wanatamani shughuli zote zisimame, kuna muda unaweza kuwaunga mkono watawala kuweka zuio za mambo kama haya
Sio utani, wapo waliokuwa mbele ya mstari waliadhimia kufanya shughuli zisimame.

Mmoja wa waandaji ?Walisikika wakisema

"....Funga kote...hamna gari kupita...."


akiashiria wayafungie magari yaliyokuwa yakitaka kupita barabarani hapo kuendelea na shughuli zao, na kuongeza

""...yani hii ni umiza uchumi, na huku wasimame na huku wasimame, yani tunataka maandamano yawe kuumiza Uchumi..."

Ilinishitua sana, bahati mbaya nilishindwa kuwapigia waratibu wa maandamano hayo na kuwatahadharisha.

Nadhani pamoja na kudai yalikuwa maandamano ya amani, walikuwemo watu walio kuwa tayari kuleta shari
 
..la msingi ni kila upande kutoa nafasi kwa mwenzake.

..tukishajenga utamaduni wa KUHESHIMIANA hakuna kitakachoharibika.

..baada ya tukio hili la Naibu Waziri Mkuu kupishana na maandamano bila amani kuvunjika nina imani hata Waziri Mkuu, Makamu, na Raisi, wanaweza kupita eneo lenye maandamano bila tatizo kutokea.

Cc Nguruvi3, Pascal Mayalla
Huyo bwana anataka tuamini misafara ya DAB haizuii watu wala mikutano ya CCM isipokuwa Chadema

Kila siku barabara zinafungwa saa 4 hadi 6 kupisha misafara ya Viongozi. Yaani mtu mmoka anasimamisha shughuli kwa saa 6, huyu bwana haoni hilo isipokuwa mikutano ya Chadema

Lakini pia aonyeshe wapi watu wamezuliliwa ?

Ndugu yetu anapaswa kuelewa maana ya kutoa taarifa.
Hii ni kuwataarifu watumiaji wa maeneo kuhusu maandamano na njia italazopitia ma kwa wakati gani

Pili. NWM kapita bila tatizo ! ni kielelezo kuwa maandamano haya tatizo ikiwa hakuna 'provocation' ya Polisi
 
Watu wa Mbeya nawakubali hapo tu. taifa hili wote tungekua na ujasiri kama watu wa mbeya na mara tungekua mbali sana. kwetu arusha mbwembwe tu lakini ni makunguru biti kidogo tunanywea.
 
imeshakuwa sababu hata kama watu walikuwa hawatoshi. ukweli usemwe, sasaivi hatuna chama pinzani, tangu mbowe awe rafiki wa ssh, upinzani umekufa. ni wakati kwa samia kujenga nchi sasa kwasababu hakuna upinzani kabisa, ameshawamudu. ajenge legacy ili awe tofauti na marais wengine.
Mfalme suleman alikua na akili ila wewe nikama hamna kitu.pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann wanachadema wanazomea na kutoruhusu naibu Waziri mkuu kutokupita, c walisema yatakuwa ni maandamano ya amani.?

Uyu jamaa nae amekua chiz sana sasa Kwann apite kwenye barabara wanayoandamana ama Kwann apite muda hii watu wapo barabaran? Kuna ka ujinga amefanya
 
Kipekee RPC anastahili pongezi hasa pale msafara wa Biteko ulipokutana na maandamano yaliyokuwa yanaongozwa na Lissu kwa kumpitisha Biteko pembeni barabara ya vumbi na kumuachia Lissu na waandamanaji barabara kuu ya lami. Kama RPC angeng'ang'ania kumpitisha Biteko barabara ya lami basi lo lote lingeweza kutokea kwani Lissu alikwisha kutoa amri kwa waandamanaji kutokupisha barabara.
 
Viongozi wetu wengi akili zao ni fupi sana, kwani wangepaki pembeni kupisha maandamano yapite then waendelee na msafara wao kulikuwa na shida gani?.

Inamaana msafara wa huyo PM haukujua Kuna nini kilikuwa kinaendelea Mbeya kiasi cha kuwa na timing?
Kipekee RPC anastahili pongezi hasa pale msafara wa Biteko ulipokutana na maandamano yaliyokuwa yanaongozwa na Lissu kwa kumpitisha Biteko pembeni barabara ya vumbi na kumuachia Lissu na waandamanaji barabara kuu ya lami. Kama RPC angeng'ang'ania kumpitisha Biteko barabara ya lami basi lo lote lingeweza kutokea kwani Lissu alikwisha kutoa amri kwa waandamanaji kutokupisha barabara.
 
Rubbish, maandamano haya yametangazwa siku nyingi na njia zimetangazwa. Kwanini anasubiri kuvuruga maandamano ? Eti naye huyo ni PM wa kesho.....
Nyie ni wapumbavu, mnaandamana kutaka nini?wenzenu wanakula ruzuku wanapiga picha wanasema chama kina wafuasi tuko kazini wanatuma nje na kwenye habari wanadaka chao.
Wanajenga mahoteli,majumba.
Wengine kikinuka familia ziko nje US.
We Nyumbu unaacha kutafuta Ugali wako na wanao unaenda huko kuhatarisha usalama wako.
Bahati nzuri mmemkuta biteko hana noma.
Mwingine angewaitia jamaa waje wawavunje miguu nyau nyie.
Nyie kwa akili yenu mnaona mnaweza kuing'oa Ccm hapo.
Wenzenu ni wapinzani kwa roho ila tushakata tamaa.
 
Back
Top Bottom