Pre GE2025 Mbeya: Naibu Waziri Biteko aingilia Maandamano ya CHADEMA

Pre GE2025 Mbeya: Naibu Waziri Biteko aingilia Maandamano ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu ndo tunaokuza mambo, Chadema waandamane kwa amani huku wakiheshimu haki za wengine za kutumia Barabara, na Polisi wanaongoza kuhakikisha kila kundi linatekeleza haki yake na wajibu wake
Sahihi copy iwafikie Chadema una akili nyingi sana ushauri wako uzingatiwe Kwa waandaa maandamano wote wawe Chadema au yeyote Bila kujali itikadi nk

Ushauri wako umeenda shule na wa kitaalamu Shukrani
 
Inatakiwa kuelewa kitu maandamano sio ku block shughuli za wananchi wengine watumia barabara ambao ndio wapiga kura wenu wawe bajaji,bodaboda nk wenye abiria Wao mkipisha Kwa kuacha nafasi wapite mtaumwa malaria au? Mbona Dar es salaam mlikuwa mkipisha magari yaendelee kutumia barabara maandamano yenu? Kwa nini Mbeya mumeblock wakati yake ya kutoka stendi ya Magufuli Hadi Posta mliwapa wenye magari kuendelea na misafara na maandamano yenu mbona mlikuwa mnapisha mnakaa upande magari yapite Kwa Nini Mbeya mumebadilika?

..la msingi ni kila upande kutoa nafasi kwa mwenzake.

..tukishajenga utamaduni wa KUHESHIMIANA hakuna kitakachoharibika.

..baada ya tukio hili la Naibu Waziri Mkuu kupishana na maandamano bila amani kuvunjika nina imani hata Waziri Mkuu, Makamu, na Raisi, wanaweza kupita eneo lenye maandamano bila tatizo kutokea.

Cc Nguruvi3, Pascal Mayalla
 
Inatakiwa kuelewa kitu maandamano sio ku block shughuli za wananchi wengine watumia barabara ambao ndio wapiga kura wenu wawe bajaji,bodaboda nk wenye abiria Wao mkipisha Kwa kuacha nafasi wapite mtaumwa malaria au? Mbona Dar es salaam mlikuwa mkipisha magari yaendelee kutumia barabara maandamano yenu? Kwa nini Mbeya mumeblock wakati yake ya kutoka stendi ya Magufuli Hadi Posta mliwapa wenye magari kuendelea na misafara

Inatakiwa kuelewa kitu maandamano sio ku block shughuli za wananchi wengine watumia barabara ambao ndio wapiga kura wenu wawe bajaji,bodaboda nk wenye abiria Wao mkipisha Kwa kuacha nafasi wapite mtaumwa malaria au? Mbona Dar es salaam mlikuwa mkipisha magari yaendelee kutumia barabara maandamano yenu? Kwa nini Mbeya mumeblock wakati yake ya kutoka stendi ya Magufuli Hadi Posta mliwapa wenye magari kuendelea na misafara na maandamano yenu mbona mlikuwa mnapisha mnakaa upande magari yapite Kwa Nini Mbeya mumebadilika?
We creche kweli wanaoandamana hao ni Chadema Chadema? Hiyo
Inatakiwa kuelewa kitu maandamano sio ku block shughuli za wananchi wengine watumia barabara ambao ndio wapiga kura wenu wawe bajaji,bodaboda nk wenye abiria Wao mkipisha Kwa kuacha nafasi wapite mtaumwa malaria au? Mbona Dar es salaam mlikuwa mkipisha magari yaendelee kutumia barabara maandamano yenu? Kwa nini Mbeya mumeblock wakati yake ya kutoka stendi ya Magufuli Hadi Posta mliwapa wenye magari kuendelea na misafara na maandamano yenu mbona mlikuwa mnapisha mnakaa upande magari yapite Kwa Nini Mbeya mumebadilika?
Bei ya sukari haikuhusu?
 
Sahihi copy iwafikie Chadema una akili nyingi sana ushauri wako uzingatiwe Kwa waandaa maandamano wote wawe Chadema au yeyote Bila kujali itikadi nk

Ushauri wako umeenda shule na wa kitaalamu Shukrani
Haiwezekani maandamano makubwa kufanyika huku shughuli za kawaida zikiendelea.

Ndio maana routes hutangazwa mapema ili watu waepuke maeneo hayo.

Ni kujidanganya Saba kufikiri maandamano y atafanyiwa huku shughuli zikiendelea.

Yawe maandamano ya ccm au chadema hilo haliwezekani.
 
Inatakiwa kuelewa kitu maandamano sio ku block shughuli za wananchi wengine watumia barabara ambao ndio wapiga kura wenu wawe bajaji,bodaboda nk wenye abiria Wao mkipisha Kwa kuacha nafasi wapite mtaumwa malaria au? Mbona Dar es salaam mlikuwa mkipisha magari yaendelee kutumia barabara maandamano yenu? Kwa nini Mbeya mumeblock wakati yake ya kutoka stendi ya Magufuli Hadi Posta mliwapa wenye magari kuendelea na misafara

Inatakiwa kuelewa kitu maandamano sio ku block shughuli za wananchi wengine watumia barabara ambao ndio wapiga kura wenu wawe bajaji,bodaboda nk wenye abiria Wao mkipisha Kwa kuacha nafasi wapite mtaumwa malaria au? Mbona Dar es salaam mlikuwa mkipisha magari yaendelee kutumia barabara maandamano yenu? Kwa nini Mbeya mumeblock wakati yake ya kutoka stendi ya Magufuli Hadi Posta mliwapa wenye magari kuendelea na misafara na maandamano yenu mbona mlikuwa mnapisha mnakaa upande magari yapite Kwa Nini Mbeya mumebadilika?
We creche kweli wanaoandamana hao ni Chadema Chadema? Hiyo
Inatakiwa kuelewa kitu maandamano sio ku block shughuli za wananchi wengine watumia barabara ambao ndio wapiga kura wenu wawe bajaji,bodaboda nk wenye abiria Wao mkipisha Kwa kuacha nafasi wapite mtaumwa malaria au? Mbona Dar es salaam mlikuwa mkipisha magari yaendelee kutumia barabara maandamano yenu? Kwa nini Mbeya mumeblock wakati yake ya kutoka stendi ya Magufuli Hadi Posta mliwapa wenye magari kuendelea na misafara na maandamano yenu mbona mlikuwa mnapisha mnakaa upande magari yapite Kwa Nini Mbeya mumebadilika?
Bei ya sukari haikuhusu?
 
Polisi wanalazimisha Naibu Waziri Mkuu apite. Wananchi wamegoma.

Ni maandamano ya kutoka Uyole.

Naibu Waziri Mkuu anazomewa

Wamepitisha magari pembeni baadhi ya watu wanarusha chupa. Msafara wa Naibu Waziri Mkuu una magari kama 50.

Mbeya sio mchezo.

Naibu Waziri Mkuu kapitishwa pembeni baada ya Wananchi kugoma.

Lissu awaambie Waandamanaji kwa muda huu barabara hii ni ya waandamaji.

View attachment 2910071
Huyo anawadanganya watoto wake wa US na yeye ni wa Ubelgiji
 
Badala wamsimamishe wamwambie umeme ni haki ya kimsingi na mgawo unatuathiri katika maisha yetu, tujuze mgao unaisha lini?
--FOR HER STUPIDITY WANAMRUSHIA MAKOPO, NA KUFUNGA NJIA, WAKATI HAPO PALIKUWA NDIPO PA KUPATA MAJIBU SAHIHI, POOR POOR POOR, IDIOT CONFROTER!, NYUMBU HAZINAGA AKILI.
Una hoja nzuri sana hapo ndio ilikuwa nafasi Yao hawajaitumia wajinga hao

Waziri wa Umeme anapita badala ya kumhoji kuhusu Umeme wanarusha michupa tu hopeless kabisa

Wangemsimamisha na kuhoji kuhusu Umeme ingekuwa habari kubwa ya mjini na Chadema wangepata kick ndani na nje ya Nchi Kwa wawekezaji wahitaji Umeme

Lakini wame facilitate Kwa kurusha chupa kuwa kimbia haraka endelea na safari zako utabanwa mambo ya Umeme hapa shauri Yako kimbia

Chadema imefanya kazi kwenye Hilo kama Tawi la CCM ambayo haitaki kujibu mgao wa umeme Leo wameisaidia CCM kuhakikisha waziri wa umeme hasimamishwi kujibu Maswali na waandamanaji

Hongereni mliorushia machupa msafara wake akimbie haraka eneo la tukio kumfichia Maswali ya aibu ambayo yangeipa serikali ya CCM aibu

Mbarikiwe Wana Mbeya Kwa kumtupia michupa akimbie

Kuna msemo unasema chura ukimpiga teke unamwongezea hatua ,Machupa mliomrushia Biteko atoroke mbio na msafara wake mumefanya sahihi sababu mungemsimamisha na kuhoji mambo ya umeme CCM ingeaibika na Chadema kupata pointi nyingi kisiasa

Niwapongeze Sana waliorushia msafara wa Biteko ili ukimbie haraka utoroke serikali ya CCM isiaibike kama ungesimamishwa na waandamanaji watake majibu kuhusu kukatika umeme
 
KWA 90% HUU UJINGA UNAZOROTESHA UTENDAJI WA SHUGHULI MBALI MBALI, HAYA MA TAKA TAKA YAWEKEWE UTARATIBU, BUNGE LITUNGE SHERIA MPYA ZA MUONGOZO JUU YA HAYA MA TAKA TAKA, MAKUSANYIKO NA MAANDAMANO YAWE, YANAFANYIKA KATIKA VIPINDI VYA UCHAGUZI MIEZI MITATU KABLA YA CHAGUZI, NA SI KILA UCHAO WALEVI FULANI WANANYANYUKA KUTOKA ULEVINI NA KUTAMKA TUNATAKA KUANDAMANA, VERY STUPIDIY!, KUWE NA MPANGO MADHUBUTI JUU YA UPUUZI HUU, KWA MIDA YAKE MAALUMU
Wewe chawa, mbona ume panick hadi unalipua kuandika?
Kwenye nchi isiyo ya kifalme, nchi ni ya wananchi, na viongozi ni watumishi wa Wananchi na bunge ni la Wananchi, na Katiba ni ya Wananchi. Hutaki unahamia Burundi
 
Mwambieni mnataka umeme
Badala wamsimamishe wamwambie umeme ni haki ya kimsingi na mgawo unatuathiri katika maisha yetu, tujuze mgao unaisha lini?
--FOR HER STUPIDITY WANAMRUSHIA MAKOPO, NA KUFUNGA NJIA, WAKATI HAPO PALIKUWA NDIPO PA KUPATA MAJIBU SAHIHI, POOR POOR POOR, IDIOT CONFROTER!

Una hoja nzuri sana hapo ndio ilikuwa nafasi Yao hawajaitumia wajinga hao

Waziri wa Umeme anapita badala ya kumhoji kuhusu Umeme wanarusha michupa tu hopeless kabisa

Wangemsimamisha na kuhoji kuhusu Umeme ingekuwa habari kubwa ya mjini na Chadema wangepata kick ndani na njebua Nchi Kwa wawekezaji wahitaji Umeme

Lakini wame facilitate Kwa kurusha chupa kuwa kimbia haraka endelea na safari zako utabanwa mambo ya Umeme hapa shauri Yako kimbia

Chadema imefanya kazi kwenye Hilo kama Tawi la CCM ambayo haitaki kujibu mgao wa umeme Leo wameisaidia CCM kuhakikisha waziri wa umeme hasimamishwi kujibu Maswali na waandamanaji

Hongereni mliorushia machupa msafara wake akimbie haraka eneo la tukio kumfichia Maswali ya aibu ambayo yangeipa serikali ya CCM aibu

Mbarikiwe Wana Mbeya Kwa kumtupia michupa akimbie

Kuna msemo unasema chura ukimpiga teke unamwongezea hatua ,Machupa mliomrushia Biteko atoroke mbio na msafara wake mumefanya sahihi sababu mungemsimamisha na kuhoji mambo ya umeme CCM ingeaibika na Chadema kupata pointi nyingi kisiasa

Niwapongeze Sana waliorushia msafara wa Biteko ili ukimbie haraka utoroke serikali ya CCM isiaibike kama ungesimamishwa na waandamanaji watake majibu kuhusu kukatika umeme
Chadema ni wajinga sana, hawana akili hata kidogo!
Kwann wanachadema wanazomea na kutoruhusu naibu Waziri mkuu kutokupita, c walisema yatakuwa ni maandamano ya amani.?
TOTAL INCLUSION, MAANDAMANO YA CHADEMA WANAYOSEMA NI YA AMANI KUMBE SIYO YA AMANI TENA, KWA TAFSIRI YA HILI TUKIO, YAKOMESHWE MARA MOJA!
 
Badala wamsimamishe wamwambie umeme ni haki ya kimsingi na mgawo unatuathiri katika maisha yetu, tujuze mgao unaisha lini?
--FOR THEY HER STUPIDITY WANAMRUSHIA MAKOPO, NA KUFUNGA NJIA, WAKATI HAPO PALIKUWA NDIPO PA KUPATA MAJIBU SAHIHI, POOR POOR POOR, IDIOT CONFROTER!, NYUMBU HAZINAGA AKILI.
Uko sahihi kifupi ukisikia mtu anapishana na gari ya mshahara ndicho Chadema walichofanya .Msafara wa waziri mhusika wa umeme walitakiwa ku u block na kuwa hawatamwachia hadi ajibu kero ya kuhusu umeme

Watazania wote bila kujali itikadi wangewaunga mkono hoja kuwa Biteko jibu

Chadema haijawatendea Haki watazania kwenye Hilo walitakiwa wambane kwenye Yale maandamano atoe majibu ili watazania waone kama Chadema ni mkombozi wao mtetezi wa wananchi kuhusu umeme

Wamepoteza opportunity nzuri mno ambayo ingeijenga Chadema sio Mbeya tu Bali nchi nzima .Kumrushia machupa akimbie na viongozi wa maandamano wa Chadema kutowazuia wanaonyesha jinsi walivyo wapumbavu hawajui strategy za kisiasa za kujijenga

Hapo CCM imeishinda Chadema Kwa knock out Chadema wameshindwa kupiga penalt
 
Una hoja nzuri sana hapo ndio ilikuwa nafasi Yao hawajaitumia wajinga hao

Waziri wa Umeme anapita badala ya kumhoji kuhusu Umeme wanarusha michupa tu hopeless kabisa

Wangemsimamisha na kuhoji kuhusu Umeme ingekuwa habari kubwa ya mjini na Chadema wangepata kick ndani na nje ya Nchi Kwa wawekezaji wahitaji Umeme

Lakini wame facilitate Kwa kurusha chupa kuwa kimbia haraka endelea na safari zako utabanwa mambo ya Umeme hapa shauri Yako kimbia

Chadema imefanya kazi kwenye Hilo kama Tawi la CCM ambayo haitaki kujibu mgao wa umeme Leo wameisaidia CCM kuhakikisha waziri wa umeme hasimamishwi kujibu Maswali na waandamanaji

Hongereni mliorushia machupa msafara wake akimbie haraka eneo la tukio kumfichia Maswali ya aibu ambayo yangeipa serikali ya CCM aibu

Mbarikiwe Wana Mbeya Kwa kumtupia michupa akimbie

Kuna msemo unasema chura ukimpiga teke unamwongezea hatua ,Machupa mliomrushia Biteko atoroke mbio na msafara wake mumefanya sahihi sababu mungemsimamisha na kuhoji mambo ya umeme CCM ingeaibika na Chadema kupata pointi nyingi kisiasa

Niwapongeze Sana waliorushia msafara wa Biteko ili ukimbie haraka utoroke serikali ya CCM isiaibike kama ungesimamishwa na waandamanaji watake majibu kuhusu kukatika umeme

..kama wamemtupia chupa za maji watakuwa wamekosea.

..wamepatia kwa kumruhusu apite aendelee na shughuli na majukumu yake.

..wangemsimamisha Naibu Waziri Mkuu na kuanza kumhoji wangeweza kutuhumiwa kwa makosa ya kuzuia msafara wa kiongozi mkuu.

..Utamaduni mpya umejengeka kwa tukio hili. Sasa sitegemei tena kusikia maandamano na misafara ya viongozi haiwezi kutumia njia moja.
 
Mbeya tatizo kubwa ni Umeme. Kila siku wanakata Leo biteko yupo hawajakata sio makusudi hayo
 
Kwa hiyo hata ambulance Ina mgonjwa mahututi mtazuia na kuirushia Mawe au kuipisha?
Ambulance imekosa njia nyingine? Mnamaanisha kwa vile ni ambulance basi dereva wake anaweza kulazimisha kupita hata kwenye daraja lililo vunjika?
Mnatafuta Tafrani zisizo sababu bure kwa ujinga wenu!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mbeya ni mfupa mgumu kwa CCM
Polisi wanalazimisha Naibu Waziri Mkuu apite. Wananchi wamegoma.

Ni maandamano ya kutoka Uyole.

Naibu Waziri Mkuu anazomewa

Wamepitisha magari pembeni baadhi ya watu wanarusha chupa. Msafara wa Naibu Waziri Mkuu una magari kama 50.

Mbeya sio mchezo.

Naibu Waziri Mkuu kapitishwa pembeni baada ya Wananchi kugoma.

Lissu awaambie Waandamanaji kwa muda huu barabara hii ni ya waandamaji.

View attachment 2910071
CCM wamemnunua Lucas mwashambwa ili kuficha hali ya CCM kutokukubalika Mbeya
 
Back
Top Bottom