Pre GE2025 Mbeya: Naibu Waziri Biteko aingilia Maandamano ya CHADEMA

Pre GE2025 Mbeya: Naibu Waziri Biteko aingilia Maandamano ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..kama wamemtupia chupa za maji watakuwa wamekosea.

..wamepatia kwa kumruhusu apite aendelee na shughuli na majukumu yake.

..wangemsimamisha Naibu Waziri Mkuu na kuanza kumhoji wangeweza kutuhumiwa kwa makosa ya kuzuia msafara wa kiongozi mkuu.

..Utamaduni mpya umejengeka kwa tukio hili. Sasa sitegemei tena kusikia maandamano na misafara ya viongozi haiwezi kutumia njia moja.
Kifupi haitajirudia Tena waziri anayelalamikiwa Kwa tatizo lolote akapite kwenye maandamano.CCM walimpeleka Biteko Kwa makusudi kupima kama hao waandamanaji kama wanaelewa kero za wananchi na kuziwakikisha

Biteko alipelekwa kupima kama Chadema wanaelewa maana ya maandamano ni Nini na hoja halisi ni Zipi wamewaona wajinga tu

Waziri wa Umeme anapita na ndio kero kuu za wananchi wa Mbeya hutaki kusimamisha msafara unarusha machupa akimbie .Angezingirwa na wananchi kudai umeme hakuna mwananchi angekamatwa wa lolote sababu ni maandamano ya amani kudai Haki ambayo Kila mwananchi wa mbeya anahitaji

Biteko unaibu waziri mkuu kautendea Haki hakupewa Kwa bahari mbaya ana akili nyingi mno kukatiza pale ilikuwa kupima kama Chadema Wana akili na wanajua kupigania maslahi ya wananchi au la wanatafuta tu maslahi ya viongozi wa Chadema

Mtihani huu wa Leo Chadema wamefeli waziri wa umeme kapita katikati Yao badala ya kumhoji kuhusu umeme wamemrushia machupa aondoke Hilo eneo haraka wajinga sana
 
Kwann wanachadema wanazomea na kutoruhusu naibu Waziri mkuu kutokupita, c walisema yatakuwa ni maandamano ya amani.?
Wenye shida ni usalama na polisi kwann wampitishe njia ya maandamano angefanyiwa furugu hapa wangejibu nini?
 
Kulikuwa na shida ya usafiri sana leo. Shida ya Mbeya hakuna barabara nyingi za kuchepuka. Halafu Bajaj nyingi kuliko watu
 
CCM WAWEWESEKA MBEYA

Wameita Bajaji Wapuuuzwa
Wameita Bodaboda wamepuuzwa
Wameita Wamachinga wamepuuzwa
Wameita wafanyabiashara wamepuuzwa
Wameitaa Mama kishe wamepuuzwa
Wameita waandishi wa habari wamepuuzwa

Maandamano ndiyo HABARI YA MBEYA.

Mwisho Wakamtuma Naibu waziri Mkuu Dotto awe anakatisha ktka maandamano ya CHADEMA [emoji23][emoji23]

Mara aende ,Mara arudi

Wamekutana na midfielder mkata umeme Tundu Lissu,Kawazuia Kupita Kudadekiiiiiiii.

Mkinuna tunapost tena,Shauri zenu
 
Kwenye maandamano ya kutoka Mbalizi, viongozi wa serikali wakiongozwa na mkuu wa mkoa wamejaribu kutaka kupita Lakini wananchi wamekataa kuondolewa barabarani.

Na wao sasa wamejiunga na maandamano nyuma wakiwafuata waandamanaji.
Na wao sasa wamejiunga na maandamano nyuma wakiwafuata waandamanaji.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwann wanachadema wanazomea na kutoruhusu naibu Waziri mkuu kutokupita, c walisema yatakuwa ni maandamano ya amani.?
Aliyevamia hayo maandamano kwa kuendeleza ratiba zake bila kuzingatia ratiba za wananchi ndo ungepaswa kumshauri awe na adabu na hekima
 
Polisi wanalazimisha Naibu Waziri Mkuu apite. Wananchi wamegoma.

Ni maandamano ya kutoka Uyole.

Naibu Waziri Mkuu anazomewa

Wamepitisha magari pembeni baadhi ya watu wanarusha chupa. Msafara wa Naibu Waziri Mkuu una magari kama 50.

Mbeya sio mchezo.

Naibu Waziri Mkuu kapitishwa pembeni baada ya Wananchi kugoma.

Lissu awaambie Waandamanaji kwa muda huu barabara hii ni ya waandamaji.

View attachment 2910071

Halafu kuna CHAWA atakuja hapa kudharau huu UMATI ..... !!
 
Duh kumbe chadema wanaandama leo haki jamaa wamefulia labda hizi vurugu watapata kiki ila wabongo wamewakataa
Imewakataza wewe.mm si muumini wa chama chochote lkn hawa ccm watufikisha pabaya.kwa sasa kila kitu ni disaster bora tu tuwe na bunge kama la zamani la akina Lissu, zito,mkosamali,machali,mnyika nk lkn si kwa wabunge hawa wa kila kitu ndiyooooo
 
Mbeya shida. Mkutano umefungwa ghafla shauri ya mvua kubwa. Lakini wananchi wamezuia gari la Lissu mpaka aongee.

Imebidi atoke na kuahidi kurudi tena kują kuendesha mkutano wao.
 
Kiongozi namba 4 nchini amekumbana na jumbe nyingi zilizoandikwa katika mabango.

Atafikisha ujumbe kwa waziri mkuu, makamu wa rais na rais juu ya hali halisi aliyoiona ya maandamano Tanzania.
 
Kifupi haitajirudia Tena waziri anayelalamikiwa Kwa tatizo lolote akapite kwenye maandamano.CCM walimpeleka Biteko Kwa makusudi kupima kama hao waandamanaji kama wanaelewa kero za wananchi na kuziwakikisha

Biteko alipelekwa kupima kama Chadema wanaelewa maana ya maandamano ni Nini na hoja halisi ni Zipi wamewaona wajinga tu

Waziri wa Umeme anapita na ndio kero kuu za wananchi wa Mbeya hutaki kusimamisha msafara unarusha machupa akimbie .Angezingirwa na wananchi kudai umeme hakuna mwananchi angekamatwa wa lolote sababu ni maandamano ya amani kudai Haki ambayo Kila mwananchi wa mbeya anahitaji

Biteko unaibu waziri mkuu kautendea Haki hakupewa Kwa bahari mbaya ana akili nyingi mno kukatiza pale ilikuwa kupima kama Chadema Wana akili na wanajua kupigania maslahi ya wananchi au la wanatafuta tu maslahi ya viongozi wa Chadema

Mtihani huu wa Leo Chadema wamefeli waziri wa umeme kapita katikati Yao badala ya kumhoji kuhusu umeme wamemrushia machupa aondoke Hilo eneo haraka wajinga sana

..jambo la msingi ni serikali kutatua kero zilizosababisha Chadema waitishe maandamano.
 
a03fba80462ebc36428e577cc0211c52.jpg
 
Kwa hiyo hata ambulance Ina mgonjwa mahututi mtazuia na kuirushia Mawe au kuipisha?
Kwa jamii inayojitambua na inayotambua Haki za kimsingi za kidemocrasia na utu wa mtu,maandamano ni MOJA ya ya njia ya wananchi kufikisha ujumbe kwa viongozi wao.na ndio maana MH Samia hajaonyesha shida yyte na maandamano haya TOFAUTI NA watu wenye low IQ wanavyo fikiri na walivyokuwa wakifikiri kabla hayajaanza pale mwanzoni.SAMIA SIO DICTETA
 
Mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, endelea tu kucheka na nyani.........muulize JK kama huwajui hao.
 
Back
Top Bottom