Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Nilikula sana hivi vidude aisee,vitamu sanaView attachment 1722179
Vibama, Ni vitamu sana. Mbeya is the most blessed land
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikula sana hivi vidude aisee,vitamu sanaView attachment 1722179
Vibama, Ni vitamu sana. Mbeya is the most blessed land
ukute Kuna mwizi kaiba akakutana nacho akaamua kulitelekezaLeo hiyo Isyesye
Wow "ifitumbula" afu najua kuvipika hivi😋😋View attachment 1722179
Vibama, Ni vitamu sana. Mbeya is the most blessed land
Usisahau MAPOHOLA!
Hamna kitu kule , mji wa hovyo Sana sijawah ona ....Mbeya tatizo squatter kibao dah
Karibu sana mkuu! Next time ukija tukufungashie zawadi za ndizi,mahindi,mchele,kuku nk😛Mbeya ni mji mzuri sana na watu wake wakarimu sana....huwaga naenda huko kikazi mara kwa mara na sijutii kuwa huko.....jumapili ni kama sikukuu....kila sehemu kwaya tu....
Mungu ibariki Mbeya.....
Umesahau kumpa heshima marehemu Mbamba Uswege kutoka Forest.Natengeneza special thread ya uwanja ngoma. Ile ni story kubwa tangu enzi za Jah People, Jogoo Basha, Snow White, Forest, VOLCANO etc
Wachezaji kama Masoksi, Castrol Patrick Mwakakonyole, Tiba Abdala, Lobo etc
Nakuja kivingine hommie
Asante sana mkuu......sijawahi kujutia kukanyaga mbeya......hali ya hewa, mandhali za kuvutia na watu waliojazwa upendo.....vinanifanya nijione nipo zaidi ya nyumbani nikiwa Mbeya......Karibu sana mkuu! Next time ukija tukufungashie zawadi za ndizi,mahindi,mchele,kuku nk😛
sure naunga mkono hojaMoja kati ya miji inayosifiwa sana kwa uzuri na watu wake wawapo nje ya mkoa huo, ila kiuhalisia ni moja kati ya miji mibovu sana
AiseeView attachment 1722179
Vibama, Ni vitamu sana. Mbeya is the most blessed land
Sio "madyulisi" ni "mafyulisi"View attachment 1721988
Madyulisi
Kama unaelekea 88
Hapa tazara
Oya tupia picha zile za kawetele na bonde la usangu watu waone kwamba kitonga ipo overratedYesa
Hapa sio roman karibu na hospitali ya rufaa?
Hapa siji kupasahau vibaka wa hapo noma sijui kama bado wapoMungu ibariki KabweView attachment 1722191
Napakumbuka kumbuka kimtindoMakunguru
Mkapa pre and primary schoolView attachment 1722250
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa siji kupasahau vibaka wa hapo noma sijui kama bado wapo