Mbeya ni yetu, na sisi ndio watu wake

Mbeya ni yetu, na sisi ndio watu wake

images.jpeg
 
...Sae...
Ukiingia mbeya vituo vya daladala kuanzia Uyole kwenda mbalizi ni kama ifuatavo unaanza Uyole, Kilimo, Agrey, Darajani, Nanenane, Sai, Ilomba, Ccm, Mama john, Soweto, kabwe, mwanjelwa, mafyati, Magorofani, Simike, Mbembela, Nzovwe, Njia Panda, Iyunga, Tazara, Ituta, Iwambi, Makasini, Tarafani.
 
View attachment 1722194
C Pwaa na Adili Mkwela a k a Chapakazi zama za kale za mawe. Mbeya ni Hip Hop city
Mbeya ulikuwaga mji wa wana hiphop. Ukifuatilia wanahiphop wenhine wazamani walisoma au kuishi Mbeya. Sijui hiphop ilipotelea wapi, eti saa hizi Chuga ndiyo mji wa hiphop! Watu wa Mbeya tunawachora tunasema hiii!
 
Back
Top Bottom