Chunya the golden cityMkumbushie na dhahabu ya Chunya, msisahau kiwira mazagazaga, msisahau Usipa, nawakumbusha mawese ya kyela, msisahau nyanya chungu na viazi, msisahau senjele ndugu zangu haya ni mambo muhimu muwakumbushe watu
Yeah walininyimwa ushirikiano vibopa walinilipiga roba matata wakasepa na nauli yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walikuibia nini boss?
We unasema ngozi?God fearing? Acha uongo mnachuna watu ngozi
Sema wababeJiji lenye wanawake wenye nguvu
Ulipita usiku?Yeah walininyimwa ushirikiano vibopa walinilipiga roba matata wakasepa na nauli yangu
Nilitoka nzovwe kwenda kwenda isanga kwa miguu, nimefika isanga nakuja kukumbuka nimesahau rasket yangu nzovwe ikanibidi nirudi tena kwa mguu kuifata na kurudi tena isanga kwa mguuNg'ambo upande wa kushoto si ni itende au!
Nimeopaita nzovwe maana ni jina linalobeba hilo eneo lote(Kalobe+Mbembela)
Mchana na watu shuguli zinaendelea kama kawaUlipita usiku?
Karibu tena boss [emoji4]Napakumbuka kumbuka kimtindo
Kwa mashujaa.View attachment 1721980
The home for the intelligent people, talented, God fearing and humble down to earth
HahahahaNilitoka nzovwe kwenda kwenda isanga kwa miguu, nimefika isanga nakuja kukumbuka nimesahau rasket yangu nzovwe ikanibidi nirudi tena kwa mguu kuifata na kurudi tena isanga kwa mguu
Katika carrier yangu yote ya kutembea hiyo ndio ilikiwa safari yangu ndefu na yenye msoto
Mafyulisi siyo madyulisi.View attachment 1721988
Madyulisi
Wakati niko mbeya nilikiwa napenda sana kutoka na wanangu tunaenda kona za mkoa, tuna have fun kule maeneo ya kawetele kiukweli panavutia sana pale. Hali ya hewa ilivyokuwa ya pale inanishangazaKaribu tena boss [emoji4]
Ukiingia mbeya vituo vya daladala kuanzia Uyole kwenda mbalizi ni kama ifuatavo unaanza Uyole, Kilimo, Agrey, Darajani, Nanenane, Sai, Ilomba, Ccm, Mama john, Soweto, kabwe, mwanjelwa, mafyati, Magorofani, Simike, Mbembela, Nzovwe, Njia Panda, Iyunga, Tazara, Ituta, Iwambi, Makasini, Tarafani.
Bila kusahau Kalobe
Ni Songwa mkuu
Hii mboga inaitwa sungwe...ni chungu flani hivi, ikichanganywa na maharage ni balaa sana...hata na nyama inabambaKatika mboga za majani Mbeya hii ni ghali sana. Naikubali sana hii mboga. Halafu hii lazima itakuwa ni dawa.
View attachment 1723112View attachment 1723113View attachment 1723111