Mbeya ni yetu, na sisi ndio watu wake

Kila sehemu inaendelezwa na wenyeji. kiuhalisia Mbeya ina kila sababu ya kuwa jiji kubwa Tanzania. Changamoto kubwa ni kwamba wenyeji wengi (ambao ndo wana uwezo) wanapotelea jijini Dar. High time watu wabadilike wakawekeze nyumbani. Mbeya ITAKUWA JIJI KWELI KWELI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…