Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
ToughYaani unamaanisha nguvu za mwili ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ToughYaani unamaanisha nguvu za mwili ?
Hizo hata niende gym bado sitazipataTough
PoleHizo hata niende gym bado sitazipata
Wapi JOMBI?Natengeneza special thread ya uwanja ngoma. Ile ni story kubwa tangu enzi za Jah People, Jogoo Basha, Snow White, Forest, VOLCANO etc
Wachezaji kama Masoksi, Castrol Patrick Mwakakonyole, Tiba Abdala, Lobo etc
Nakuja kivingine hommie
DuhWapi JOMBI?
Oh hapo sawa.
Sikumuelewa,nilidhani anamaanisha nguvu za kibondia wa mwili
Wanyiha wanaita vitonongwaView attachment 1722772
Mang'ang'a
Nikiona hii nakumbuka maneno kama "Kiswele Injini Nyuma".
Kuna watu Game ya Bongo Flavor ilipaswa kuwaheshimu sana. ADILI apewe heshima yake kwa kweliView attachment 1722781
Dumbo Jet
Ajengewe na mnaraKuna watu Game ya Bongo Flavor ilipaswa kuwaheshimu sana. ADILI apewe heshima yake kwa kweli
" ndundu"View attachment 1722056
Makande na kijiko chake cha mgomba (ndundu)
Kabisa. Jamaa anapaswa kupewa heshima. Ana wimbo mmoja unaitwa "PEKE YANGU" ni my all time song. Aliandika sana kwenye ule wimbo. Enzi za Mabonanza.Ajengewe na mnara
Hata Leo nilikuwa naye... Ana mawe ya hatari sanaKabisa. Jamaa anapaswa kupewa heshima. Ana wimbo mmoja unaitwa "PEKE YANGU" ni my all time song. Aliandika sana kwenye ule wimbo. Enzi za Mabonanza.