APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Tukuyu hiiTumogheleeeeView attachment 1723195
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukuyu hiiTumogheleeeeView attachment 1723195
Nishushe mama john, karibu kwetu mwakibete[emoji1][emoji1]Ukiingia mbeya vituo vya daladala kuanzia Uyole kwenda mbalizi ni kama ifuatavo unaanza Uyole, Kilimo, Agrey, Darajani, Nanenane, Sai, Ilomba, Ccm, Mama john, Soweto, kabwe, mwanjelwa, mafyati, Magorofani, Simike, Mbembela, Nzovwe, Njia Panda, Iyunga, Tazara, Ituta, Iwambi, Makasini, Tarafani.
Sungwe......Katika mboga za majani Mbeya hii ni ghali sana. Naikubali sana hii mboga. Halafu hii lazima itakuwa ni dawa.
View attachment 1723112View attachment 1723113View attachment 1723111
Umeruka kituo cha Kadege, kabla hujafika Simike 🤣 🤣 🤣 🤣Ukiingia mbeya vituo vya daladala kuanzia Uyole kwenda mbalizi ni kama ifuatavo unaanza Uyole, Kilimo, Agrey, Darajani, Nanenane, Sai, Ilomba, Ccm, Mama john, Soweto, kabwe, mwanjelwa, mafyati, Magorofani, Simike, Mbembela, Nzovwe, Njia Panda, Iyunga, Tazara, Ituta, Iwambi, Makasini, Tarafani.
Pia ameruka EssoUmeruka kituo cha Kadege, kabla hujafika Simike [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 dah. Passion fruit, zile ambazo zikiiva zinakuwa kahawiaUsisahau MAPOHOLA!
Sio "madyulisi" ni "mafyulisi"
Asante rafiki but naomba unilinde nisije kuchunwa ngozi tu, labda kama hiyo michezo imeisha siku hizi 😀Karibu sanaaaaa
nimenunua sana madem wa mzumbe hapa mataaMungu ibariki Mbeya
Mafiati [emoji91]View attachment 1722173
MujaraaabKumbukumbu murua kabisa!
Mbeya at it's bestHappening nowView attachment 1723560
Sungwe hii Kali hiiKatika mboga za majani Mbeya hii ni ghali sana. Naikubali sana hii mboga. Halafu hii lazima itakuwa ni dawa.
View attachment 1723112View attachment 1723113View attachment 1723111
Long timeHii mboga inaitwa sungwe...ni chungu flani hivi, ikichanganywa na maharage ni balaa sana...hata na nyama inabamba
Hapo ni kama unaenda tbl dah nmepakumbuka homeHappening nowView attachment 1723560
Long time
IndunduView attachment 1722056
Makande na kijiko chake cha mgomba (ndundu)
Upo Mbeya sehemu gani ?Karibuni jamani
Mtanikuta green City [emoji177]
Da hii noma sana aisee , ukichanga na maharage au ukala na ugali , au nyama inaenda kinoma Ila gharama kweli, fungu 300, wakati Chinese ,figiri mchicha fungu 200 Ila matatu 500,Katika mboga za majani Mbeya hii ni ghali sana. Naikubali sana hii mboga. Halafu hii lazima itakuwa ni dawa.
View attachment 1723112View attachment 1723113View attachment 1723111