Wakati wengine wakati tupo chuo, tulikuwa tuna waogopa hata kuwasemesha... na waoga zaidi wakawa wanawapigw ka mkono.. ila vijana wa sasa hivi mafundi sanaYaan vijana wa vyuo miaka hii Mapenzi yamekuwa too much compare na miaka ya nyuma... Pita jioni hadi usiku usiku mitaa kuanzia mlimani city kuja hizo hostel za mheshimiwa hadi ubungo mataa it's time for couple kila hatua couple...
Hahahaha ngoja niende ibadani kwanzaLolote linawezekana. Si kuna binti alimuua msanii mkubwa tu lakini wakatokea wa kumtetea hata wakapunguza umri wake?
Ngoja nikutafute uniunganishe nae mkuu. Siku mjeda wangu akiliamsha dude niweze kumkabili🤣🤣🤣🤣Mjue mwanamke wako. Mimi nikiona nimeharibu hua nauliza "Nirudi au nisirudi?" Utasikia "Rudi kesho"
Huyu bi dada anaruka mateke sijapata kujua ana flexibility ya hatari miguuni now itakua aibu kufa kwa kupigwa mateke.
At least uchomwe kisu na binti mzuriiiiiii siyo mzuri
Mapenzi ya umri huo matamu saaaana sana asikwambjr MTU maana ndio Mara ya kwanza wanakua huru sasa kutoka kwa Wazazi au Walezi.... Inabidi wakompaseiti maumivu
Huyu ni natural hana mazoezi yoyote (kwa kadri ninavyojua) labda kama hua anaingia tizi kinyemelaNgoja nikutafute uniunganishe nae mkuu. Siku mjeda wangu akiliamsha dude niweze kumkabili🤣🤣🤣🤣
Suzy mtoa rohoPicha ya Suzy tafadhali
Kuandika kwenyewe hujui!!Mimi nahisi huyo binti ni single mother. Kama ni binti perfect kabisa mwenye 19 years age huwa wanalinga sana.
Eti "hisia za mapenzi" mtoa habari hayuko serious.kamuua kisa nini?
Samaki kuliwa na MTU si habari.Angefanya mwanaume humu kungelipuka
Ova
Hahaha hawezi kuambiwa kuwa kuna kudanganywa....pole Kamanda Rest in PeaceKuandika kwenyewe hujui!!
Ukikua utaelewa kuwa anayekuringia hakupendi. Huo umri ndio binti akipenda anapenda kweli kweli maana mnakuwa bado hamjamvuruga akili.
Hahaha hahahhahah hahaha
Kweli kabisa, akili inajua mume ndio huyu. Sasa na mahusiano ya chuo yalivyo na sarakasi nyingi matokeo yake anakuja kugundua alichoamini sicho. Ndio yanatokea kama haya.Hahaha hawezi kuambiwa kuwa kuna kudanganywa....pole Kamanda Rest in Peace