Mbeya: Polisi wanamshikilia Suzy Keneth(19) kwa mauaji ya Mwanafunzi James Magesa (21)

Vijana wadogo badala ya kusoma , wanakimbilia mapenzi.. utadhani papuchi zinaoza..
 
Yaan vijana wa vyuo miaka hii Mapenzi yamekuwa too much compare na miaka ya nyuma... Pita jioni hadi usiku usiku mitaa kuanzia mlimani city kuja hizo hostel za mheshimiwa hadi ubungo mataa it's time for couple kila hatua couple...
Umri unachangia wanachuo wa sasa wengi umri mdogo, hawana ukomavu.
Tofauti na zamani.
 
mapenzi ya wivu mkali yanapatikana umri huo maana wahusika hua ni wachanga wa haya mambo
 
Hao hawakuwa wapenzi bali wachezea viungo vya uzazi!
 
Mademu wanaopenda kiasi hicho kumbe bado wapo........ Hawa ndio mademu, demu anaye hakikisha ni hadi kifo kiwatenganishe....
Napenda wanawake wenye wivu hivi.
Ila huyu alichokosa ni zile lifeskills tulizofundishwa sekondari.Hasa hasa ile decision making.
Na hicho ndo kinachomgharimu sasa.
 
Hao mabinti wote hawajaolewa hadi sasa?
 
Ulipata daraja gani form six mheshimiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…