Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Kuna kuua kwa kukusudia na kwa kutokukusudiaSawa sawa mzee baba,ila mbona lulu yupo tu mtaani anakula bata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kuua kwa kukusudia na kwa kutokukusudiaSawa sawa mzee baba,ila mbona lulu yupo tu mtaani anakula bata
Acha kutetea we mzee...kwa hyo mpaka anachukua kisu anamchoma alikua hajakusudia? Alikua anataka amtie kidonda tu alaf apone? K weKuna kuua kwa kukusudia na kwa kutokukusudia
Unavaa size ngap hyo nguo,nkununulie bibiHawa watoto laiti wangejua mzazi anashindwa hata kununua nguo ya ndani ili wao wasome halafu wanaenda kuleta shida nyingine kubwa hivi.
Mzazi anaanza kuhangaika na kesi sasa.
Nashangaa mnasema wasiende jkt,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama Watoto hawa wana Nyege Sana wanakula chips na mayai ya broiler hatar tupuHawa watoto laiti wangejua mzazi anashindwa hata kununua nguo ya ndani ili wao wasome halafu wanaenda kuleta shida nyingine kubwa hivi.
Mzazi anaanza kuhangaika na kesi sasa.
Nashangaa mnasema wasiende jkt,
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo inaonesha alikuwa na mguu wa tatu wa tembo
Ukazaliwe wapi tena?[emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji28]Tangu nijue mtu ukifa unazaliwa tena sehemu nyingine nimekuwa siogop wala sishtuki nikisikia mtu kafa
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Ulipotea sana, ulikuwa wap siku zote hizoDogo inaonesha alikuwa na mguu wa tatu wa tembo
Masomoni sweetieUlipotea sana, ulikuwa wap siku zote hizo
inategemea kama saa hiv ni maskin ukifa unazaliwa ulaya tajiriUkazaliwe wapi tena?[emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji28]
We ukifa ndo imetoka mazima
hapana unazaliwa binadamu ila bara jingine kabisaAutakuwa tena binaadam una weza kwenda kuzaliwa ngombe uka chinjwa ukaliwa nyama!
Au swala simba wakafaidi!!
Daaa masikini dogo mwenyewe alikuwa bado mshamba mshamba binti kamuwahisha kwenye hukumu. Mapenzi ya hivi ni ujinga sana!Mwanafunzi wa mwaka wa Kwanza chuo kikuu Cha sayansi na technologia Mbeya (MUST) ndg Linus Magesa (21) ameuwa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha Kali kifuani na mtu anayesadikika kua ni mpenzi wake anayetambulika kwa jina la Suzy (19). Chanzo kikisadika kua Ni wivu wa mapenzi, Mtuhumiwa anaendelea kushikiliwa na Jeshi la polisi.
MAPENZI !MAPENZI TENA!!
======
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia SUZY KENNETH KASITEJETA [19] Mkazi wa Dar es Salaam kwa tuhuma za mauaji ya LINUS JAMES MAGESA [21] Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya [MUST] Kitengo cha Biomedical mwaka wa kwanza na Mkazi wa Ikuti kwa kumchoma kitu chenye ncha kali kifuani.
Ni kwamba mnamo tarehe 17.07.2020 majira ya saa 22:00 Usiku huko eneo la Ikuti lililopo Kata na Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya SUZY KENNETH KASITEJETA [19] na LINUS JAMES MAGESA [21] ambao walikuwa na uhusiano wa kimapenzi waligombana na kupelekea LINUS JAMES MAGESA kujeruhiwa sehemu za kifuani kwa kuchomwa kitu chenye ncha kali na SUZY KENNETH KASITEJETA hali iliyopelekea kukimbizwa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya kwa matibabu.
Leo tarehe 18.07.2020 majira ya saa 00:05 Usiku LINUS JAMES MAGESA [21] alifariki dunia akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya. Chanzo cha tukio hili ni wivu wa kimapenzi. Hata hivyo taarifa zinadai kuwa wapenzi hao walikuwa wakigombana mara kwa mara. Upelelezi wa shauri hili unaendelea na mara baada ya kukamilika mtuhumiwa atafikishwa mahakamani.
WITO:
Ninatoa wito kwa jamii kutofumbia macho ugomvi unatokea mbele yao kwa kudhani ni kitu cha kawaida na kukaa kimya, ni wito wa Jeshi la Polisi kwa jamii kutoa taarifa mapema kwa Watendaji wa Kata au Wenyeviti wa Mitaa ambao ni walinzi wa amani katika maeneo yao ili waweze kuchukua hatua za awali kupitia baraza la usuluhishi la Kata au Mtaa.
KUPATIKANA NA MALI IDHANIWAYO KUWA NI YA WIZI.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia DICKSON KABUJE [32] Mkazi wa Ikumbi akiwa na mali mbalimbali za wizi.
Mtuhumiwa alikamatwa mnamo tarehe 17.07.2020 majira ya saa 14:00 Mchana huko Kijiji cha Ikumbi, Kata ya Utengule – Usongwe, Tarafa ya Usongwe, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Mkoa wa Mbeya na katika upekuzi alikutwa akiwa na mali za wizi ambazo:-
Spika kubwa 02,
Redio Sub-Woofer 01 na Spika zake,
Stablizer 01, m
Mtungi mkubwa wa gesi Mihani 01,
Deki 02 za Singsung,
Godoro 01 Super Banco.
Upelelezi wa shauri hili unaendelea na mara baada ya kukamilika, mtuhumiwa atafikishwa mahakamani.
Huko Tanga ilikuwaje mkuu,ipo mada inayozungumzia hilo humu?Watoto wanaendekeza mapenzi siku hizi ukiangalia Kisa cha Tanga na hiki cha Mbeya
Una uthibitisho au hearsay [emoji849][emoji849]inategemea kama saa hiv ni maskin ukifa unazaliwa ulaya tajiri
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app