Pre GE2025 Mbeya: RC Homera aagiza kukamatwa kwa kijana aliyemkashifu Rais Samia na kuichoma picha yake

Pre GE2025 Mbeya: RC Homera aagiza kukamatwa kwa kijana aliyemkashifu Rais Samia na kuichoma picha yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Religious fanatic,religious zealot. Kasheshe. Kijana amechanganyikiwa sana akili.
Kijana anasema,"Angalia kazii kubwa niluofanya Libya,kwa sababu hawamwabudu Mungu,nimemuondos Gaddafi.
Congo pia,nimeanzisha Ile vita ya wenyewe kwa wenyewe,kwa sababu hawamwabudu Mungu."
Kwa hiyo kijana alaiinua picha ya Rais Samia akasema,"Wewe unashindwa kuiongoza nchi,unaleta ushoga Tanzania,lazima niichome moto picha yako." Ameichoma moto Ile picha on camera.

Sasa kama Samia anashindwa kuiongoza nchi,hili jambo hilo sijalifikiria.
Isipokuwa nimeona,kwa mfano,wiki iliyopita ulikuwepo mkutano wa viongozi wa dini Shinyanga. Walikuwa wamefanya mkutano wa kupinga ushoga,na walikuwa wanasema kuna Biblia zimeletwa nchini ambazo zimechakachuliwa,zimeondolewa maneno mengine.
Kwa mfano utaona wameondoa
Luka 17:3
Jilindeni,kama ndugu yako akikosa,mwonye: akitubu,msamehe.
Luka 4:8
Yesu akamjibu;"Imesndikwa 'Mwabudu Mungu wako na kumumikia yeye tu'"
Luka 9: 55- 56
Lakini yeye akawageukia,akawakemea. Wakatoka,wakaenda Kijiji kingine.
Hii ilitokea baada ya wafuasi wake waliposema,'Turuhusu tuagize moto toka mbinguni tuvichome hivi vijiji.'
Luka 23:27
Kwa kawaida,kila sikukuu ya Pasaka ilimlazimu Pilato kuwafungulia mfungwa mmoja.
Marko7:16
9: 44
9:46
11:26
15:28
6:11
Matendo ya Mitume
15:34
24: 6-8

Mathayo
27:21
18:12
23:14
20:16;

Sasa walikuwa wanaongea kuhusu maneno haya na mengine yaliyoondolewa katika Biblia hii '" iliyoboreshwa" ambayo imeingia nchini.
Haya mambo ni very serious. Mtu inabidi ujiulize haya mambo wamefahamu lini,na wanatuambia baada ya muda gani?

Yule kijana ni religious fanatic,na wametokea watu wanauliza kuna sababu gani ya kumpeleka mahalamani au kumtesa?
 
Changamoto ya afya ya akili pia yuko nayo yule bwana
Fanya umfatilie kidogo tuuh page yake
 
Religious fanatic,religious zealot. Kasheshe. Kijana amechanganyikiwa sana akili.
Kijana anasema,"Angalia kazii kubwa niluofanya Libya,kwa sababu hawamwabudu Mungu,nimemuondos Gaddafi.
Congo pia,nimeanzisha Ile vita ya wenyewe kwa wenyewe,kwa sababu hawamwabudu Mungu."
Kwa hiyo kijana alaiinua picha ya Rais Samia akasema,"Wewe unashindwa kuiongoza nchi,unaleta ushoga Tanzania,lazima niichome moto picha yako." Ameichoma moto Ile picha on camera.

Sasa kama Samia anashindwa kuiongoza nchi,hili jambo hilo sijalifikiria.
Isipokuwa nimeona,kwa mfano,wiki iliyopita ulikuwepo mkutano wa viongozi wa dini Shinyanga. Walikuwa wamefanya mkutano wa kupinga ushoga,na walikuwa wanasema kuna Biblia zimeletwa nchini ambazo zimechakachuliwa,zimeondolewa maneno mengine.
Kwa mfano utaona wameondoa
Luka 17:3
Jilindeni,kama ndugu yako akikosa,mwonye: akitubu,msamehe.
Luka 4:8
Yesu akamjibu;"Imesndikwa 'Mwabudu Mungu wako na kumumikia yeye tu'"
Luka 9: 55- 56
Lakini yeye akawageukia,akawakemea. Wakatoka,wakaenda Kijiji kingine.
Hii ilitokea baada ya wafuasi wake waliposema,'Turuhusu tuagize moto toka mbinguni tuvichome hivi vijiji.'
Luka 23:27
Kwa kawaida,kila sikukuu ya Pasaka ilimlazimu Pilato kuwafungulia mfungwa mmoja.
Marko7:16
9: 44
9:46
11:26
15:28
6:11
Matendo ya Mitume
15:34
24: 6-8

Mathayo
27:21
18:12
23:14
20:16;

Sasa walikuwa wanaongea kuhusu maneno haya na mengine yaliyoondolewa katika Biblia hii '" iliyoboreshwa" ambayo imeingia nchini.
Haya mambo ni very serious. Mtu inabidi ujiulize haya mambo wamefahamu lini,na wanatuambia baada ya muda gani?

Yule kijana ni religious fanatic,na wametokea watu wanauliza kuna sababu gani ya kumpeleka mahalamani au kumtesa?
Sasa huo ni ugunduzi? Mbona yeye mwenyewe alijitambulisha hivyo?
 
Religious fanatic,religious zealot. Kasheshe. Kijana amechanganyikiwa sana akili.
Kijana anasema,"Angalia kazii kubwa niluofanya Libya,kwa sababu hawamwabudu Mungu,nimemuondos Gaddafi.
Congo pia,nimeanzisha Ile vita ya wenyewe kwa wenyewe,kwa sababu hawamwabudu Mungu."
Kwa hiyo kijana alaiinua picha ya Rais Samia akasema,"Wewe unashindwa kuiongoza nchi,unaleta ushoga Tanzania,lazima niichome moto picha yako." Ameichoma moto Ile picha on camera.

Sasa kama Samia anashindwa kuiongoza nchi,hili jambo hilo sijalifikiria.
Isipokuwa nimeona,kwa mfano,wiki iliyopita ulikuwepo mkutano wa viongozi wa dini Shinyanga. Walikuwa wamefanya mkutano wa kupinga ushoga,na walikuwa wanasema kuna Biblia zimeletwa nchini ambazo zimechakachuliwa,zimeondolewa maneno mengine.
Kwa mfano utaona wameondoa
Luka 17:3
Jilindeni,kama ndugu yako akikosa,mwonye: akitubu,msamehe.
Luka 4:8
Yesu akamjibu;"Imesndikwa 'Mwabudu Mungu wako na kumumikia yeye tu'"
Luka 9: 55- 56
Lakini yeye akawageukia,akawakemea. Wakatoka,wakaenda Kijiji kingine.
Hii ilitokea baada ya wafuasi wake waliposema,'Turuhusu tuagize moto toka mbinguni tuvichome hivi vijiji.'
Luka 23:27
Kwa kawaida,kila sikukuu ya Pasaka ilimlazimu Pilato kuwafungulia mfungwa mmoja.
Marko7:16
9: 44
9:46
11:26
15:28
6:11
Matendo ya Mitume
15:34
24: 6-8

Mathayo
27:21
18:12
23:14
20:16;

Sasa walikuwa wanaongea kuhusu maneno haya na mengine yaliyoondolewa katika Biblia hii '" iliyoboreshwa" ambayo imeingia nchini.
Haya mambo ni very serious. Mtu inabidi ujiulize haya mambo wamefahamu lini,na wanatuambia baada ya muda gani?

Yule kijana ni religious fanatic,na wametokea watu wanauliza kuna sababu gani ya kumpeleka mahalamani au kumtesa?
Kapa
 
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa masaa 24 kutiwa mbaroni Kwa Kijana mmja huko Wilayani Rungwe ambae inadaiwa amemkashifu Rais Samia na Kuichoma Picha yake.

My Take
Naunga mkono hoja, upumbavu wa tabia za kihuni za kuiga ukomeshwe na usiruhusiwe hapa Tanzania.

Mnaweza kupinga Kila kitu kadiri inavyowezekana lakini kwa namna ya kuwaheshimu hao msiokubaliana.

Tanzania haiwezi na haitakuja kuwa Taifa la wahuni.Safi sana Polisi Kwa kumtia nguvuni,alijikuta Gen Z sana.

Ni vyema ikaeleweka kwamba Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

====

Mkuu wa mkoa wa mbeya cde: Juma Z. Homera amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamini kuzaga kumsaka na kumkamata kijana anayepatikana Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya kwa kosa la kumkashifu Rais Samia kwa maneno makali na kisha kuichoma moto picha inayomuonyesha Rais.

RC Homera amelaani vikali kitendo hicho kuwa si cha maadili wala uungwana na kiko tofauti na utamaduni halisi wa wananchi mkoani Mbeya.

Hata hivyo ametoa masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga kumkamata kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza moja kwa moja kwa Rais Samia.

Mwisho RC Homera amewasihi wananchi mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye vitendo viovu kwa kukashifu viongozi makusudi badala yake wajikite katika utafutaji na uchapa kazi kwa manufaa ya familia zao na Tanzania kwa ujumla.

View attachment 3031314
Video ya Kijana akichoma moto picha ya Rais Samia.
🔨🔨🔨👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C9ACEdBN1v2/?igsh=MTFiMnV2ajFubXV3
 
Nikiwa kama msemaji mkuu wa mtandao wa jamii forums naomba huyo kijana achukuliwe hatua kali za kisheria ikiwemo kuchomwa na yeye kama alivyo choma picha 😳😳😳
 
Chalii yupo zake mtaani watanzania wameamua kumpa uhuru ndani ya saa chache walichangia hivyo vimilioni vitano

Kazi ni kwa uvccm wafanyekazi ya kumpoteza kama walivyotuahidi.
 
Back
Top Bottom