Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Religious fanatic,religious zealot. Kasheshe. Kijana amechanganyikiwa sana akili.
Kijana anasema,"Angalia kazii kubwa niluofanya Libya,kwa sababu hawamwabudu Mungu,nimemuondos Gaddafi.
Congo pia,nimeanzisha Ile vita ya wenyewe kwa wenyewe,kwa sababu hawamwabudu Mungu."
Kwa hiyo kijana alaiinua picha ya Rais Samia akasema,"Wewe unashindwa kuiongoza nchi,unaleta ushoga Tanzania,lazima niichome moto picha yako." Ameichoma moto Ile picha on camera.
Sasa kama Samia anashindwa kuiongoza nchi,hili jambo hilo sijalifikiria.
Isipokuwa nimeona,kwa mfano,wiki iliyopita ulikuwepo mkutano wa viongozi wa dini Shinyanga. Walikuwa wamefanya mkutano wa kupinga ushoga,na walikuwa wanasema kuna Biblia zimeletwa nchini ambazo zimechakachuliwa,zimeondolewa maneno mengine.
Kwa mfano utaona wameondoa
Luka 17:3
Jilindeni,kama ndugu yako akikosa,mwonye: akitubu,msamehe.
Luka 4:8
Yesu akamjibu;"Imesndikwa 'Mwabudu Mungu wako na kumumikia yeye tu'"
Luka 9: 55- 56
Lakini yeye akawageukia,akawakemea. Wakatoka,wakaenda Kijiji kingine.
Hii ilitokea baada ya wafuasi wake waliposema,'Turuhusu tuagize moto toka mbinguni tuvichome hivi vijiji.'
Luka 23:27
Kwa kawaida,kila sikukuu ya Pasaka ilimlazimu Pilato kuwafungulia mfungwa mmoja.
Marko7:16
9: 44
9:46
11:26
15:28
6:11
Matendo ya Mitume
15:34
24: 6-8
Mathayo
27:21
18:12
23:14
20:16;
Sasa walikuwa wanaongea kuhusu maneno haya na mengine yaliyoondolewa katika Biblia hii '" iliyoboreshwa" ambayo imeingia nchini.
Haya mambo ni very serious. Mtu inabidi ujiulize haya mambo wamefahamu lini,na wanatuambia baada ya muda gani?
Yule kijana ni religious fanatic,na wametokea watu wanauliza kuna sababu gani ya kumpeleka mahalamani au kumtesa?
Kijana anasema,"Angalia kazii kubwa niluofanya Libya,kwa sababu hawamwabudu Mungu,nimemuondos Gaddafi.
Congo pia,nimeanzisha Ile vita ya wenyewe kwa wenyewe,kwa sababu hawamwabudu Mungu."
Kwa hiyo kijana alaiinua picha ya Rais Samia akasema,"Wewe unashindwa kuiongoza nchi,unaleta ushoga Tanzania,lazima niichome moto picha yako." Ameichoma moto Ile picha on camera.
Sasa kama Samia anashindwa kuiongoza nchi,hili jambo hilo sijalifikiria.
Isipokuwa nimeona,kwa mfano,wiki iliyopita ulikuwepo mkutano wa viongozi wa dini Shinyanga. Walikuwa wamefanya mkutano wa kupinga ushoga,na walikuwa wanasema kuna Biblia zimeletwa nchini ambazo zimechakachuliwa,zimeondolewa maneno mengine.
Kwa mfano utaona wameondoa
Luka 17:3
Jilindeni,kama ndugu yako akikosa,mwonye: akitubu,msamehe.
Luka 4:8
Yesu akamjibu;"Imesndikwa 'Mwabudu Mungu wako na kumumikia yeye tu'"
Luka 9: 55- 56
Lakini yeye akawageukia,akawakemea. Wakatoka,wakaenda Kijiji kingine.
Hii ilitokea baada ya wafuasi wake waliposema,'Turuhusu tuagize moto toka mbinguni tuvichome hivi vijiji.'
Luka 23:27
Kwa kawaida,kila sikukuu ya Pasaka ilimlazimu Pilato kuwafungulia mfungwa mmoja.
Marko7:16
9: 44
9:46
11:26
15:28
6:11
Matendo ya Mitume
15:34
24: 6-8
Mathayo
27:21
18:12
23:14
20:16;
Sasa walikuwa wanaongea kuhusu maneno haya na mengine yaliyoondolewa katika Biblia hii '" iliyoboreshwa" ambayo imeingia nchini.
Haya mambo ni very serious. Mtu inabidi ujiulize haya mambo wamefahamu lini,na wanatuambia baada ya muda gani?
Yule kijana ni religious fanatic,na wametokea watu wanauliza kuna sababu gani ya kumpeleka mahalamani au kumtesa?