Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Mimi hapa nimetoka kuchambia hapa bahati nzuri walioshuudia ni Mavi yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matusi ni dalili ya ugonjwa wa akili uliokomaa 😁😁👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/C86_zO6xVH_/?igsh=bjk2bHF5dDQzbHRi
Waulize PolisiHivi naomba kuuliza wale waliomteka Kijana SALIVA wameshakatwa au la?!
Mbona huyu kakamatwa haraka haraka na kwanini na yeye msimpeleke Ruaha akaliwe na Mamba?!Waulize Polisi
Hawezi kulazimisha kuheshimiwa huyo mama yako. Heshima haitolewi tu kiholela. Na wakimpeleka mahakamani ndiyo jasho litawatoka...zingatia message ya huyo kijana.Ndio
Sasa hapa nani hana akili 😃Watanganyika ndio kina nani? Mali zipi zilizouzwa? Yeye binafsi na mtu mmja anawezaje kuuza Mali za Watanganyika? Mnakuwa hamna akili au?
Picha ni karatasi na mchanganyiko wa rangiPicha ya Rais
Ila hiyo picha na karatasi vilichorwa taswira ya Rais ndio inaitwa pichaPicha ni karatasi na mchanganyiko wa rangi
Kwani amemchoma nani?Rais ni Mali ya Umma sio yake ,kuharibu Mali ya Umma ni kosa na vibaya kimaadili.
Mmmmmmh, mm naumia tu nimeitwa elfu mbili wakati nanunua umemeUmewaza kipumbavu , kichawa. Ukikaa ukapata akili utagundua hamna kosa alilofanya. Rais si Mungu. Ni binadam wa kawaida kabisa. Amevunja sheria gani kwa kuchoma picha ambayo ni mali yake ameona ni takataka? Mi nimechoma sana hayo mapicha.
Rais mwenye picha yake anasemajeIla hiyo picha na karatasi vilichorwa taswira ya Rais ndio inaitwa picha
Ni ujinga tuu wa kutozingatia Mambo ya msingi na kutafuta milage za kipuuzi namna hiyo....viongozi wetu wana Mambo ya ajabu Sana Hilo nalo lakutolea taarifa, picha kuchomwa imedhalilisha nini au mtu gani? Kwa hiyo Dr mwenye cheo kikubwa kuliko raisi utu wake umeshuka.Yule sio Rais Bali picha yenye sura ya Rais au picha yenye sura ya Rais imekuwa nyara ya serikali siku hizi?