Pre GE2025 Mbeya: RC Homera aagiza kukamatwa kwa kijana aliyemkashifu Rais Samia na kuichoma picha yake

Pre GE2025 Mbeya: RC Homera aagiza kukamatwa kwa kijana aliyemkashifu Rais Samia na kuichoma picha yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa Kosa lake liko wapi, mnampa mtu attention asiyo stahili , Fanyeni shughuli nyingine
 
Kijana ameshakamatwa, Ukitukana viongozi utakamatwa ndani ya 24 hrs ila watekaji na mafisadi haawajulikani
 
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa masaa 24 kutiwa mbaroni Kwa Kijana mmja huko Wilayani Rungwe ambae inadaiwa amemkashifu Rais Samia na Kuichoma Picha yake.

My Take
Naunga mkono hoja, upumbavu wa tabia za kihuni za kuiga ukomeshwe na usiruhusiwe hapa Tanzania.

Mnaweza kupinga Kila kitu kadiri inavyowezekana lakini kwa namna ya kuwaheshimu hao msiokubaliana.

Tanzania haiwezi na haitakuja kuwa Taifa la wahuni.Safi sana Polisi Kwa kumtia nguvuni,alijikuta Gen Z sana.

====

Mkuu wa mkoa wa mbeya cde: Juma Z. Homera amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamini kuzaga kumsaka na kumkamata kijana anayepatikana Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya kwa kosa la kumkashifu Rais Samia kwa maneno makali na kisha kuichoma moto picha inayomuonyesha Rais.

RC Homera amelaani vikali kitendo hicho kuwa si cha maadili wala uungwana na kiko tofauti na utamaduni halisi wa wananchi mkoani Mbeya.

Hata hivyo ametoa masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga kumkamata kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza moja kwa moja kwa Rais Samia.

Mwisho RC Homera amewasihi wananchi mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye vitendo viovu kwa kukashifu viongozi makusudi badala yake wajikite katika utafutaji na uchapa kazi kwa manufaa ya familia zao na Tanzania kwa ujumla.

View attachment 3031314
Video ya Kijana akichoma moto picha ya Rais Samia.
Angeweźa kuchoma kimya kimya, lakini amechoma huku akijigamba na kajirekoi. Huyu lazima afike mbele ya Hakimu akakabiliane na shataka lake
 
Heshima ni lazima Kwa tafsiri yeyote uijiayo wewe au Ile ya kwenye kamisi.
Kama ni hiyo hiyo, kamwe siwezi kuheshimu mtu yeyote, hata awe kiongozi wa kiasi gani, kama kiongozi huyo haheshimu anaowaongoza.
Sasa najua hapa kwa akili yako ndogo utaanza ubishi, na kudai ushahidi, kana kwamba matendo yanayoonekana siyo ushahidi tosha.

Siwezi kuwa na mjadala wa maana na mtu kama wewe aliye jitoa akili na heshima ya utu wake, na kuwa kama mwanasesele tu.
 
Kama ni hiyo hiyo, kamwe siwezi kuheshimu mtu yeyote, hata awe kiongozi wa kiasi gani, kama kiongozi huyo haheshimu anaowaongoza.
Sasa najua hapa kwa akili yako ndogo utaanza ubishi, na kudai ushahidi, kana kwamba matendo yanayoonekana siyo ushahidi tosha.

Siwezi kuwa na mjadala wa maana na mtu kama wewe aliye jitoa akili na heshima ya utu wake, na kuwa kama mwanasesele tu.
Nani haheshimu anaowaongoza?
 
Huyo atakuwa Mental case wakampime. Hakuna mtu mwenye akili timamu atafanya upumbavu wa aina hiyo
 
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa masaa 24 kutiwa mbaroni Kwa Kijana mmja huko Wilayani Rungwe ambae inadaiwa amemkashifu Rais Samia na Kuichoma Picha yake.

My Take
Naunga mkono hoja, upumbavu wa tabia za kihuni za kuiga ukomeshwe na usiruhusiwe hapa Tanzania.

Mnaweza kupinga Kila kitu kadiri inavyowezekana lakini kwa namna ya kuwaheshimu hao msiokubaliana.

Tanzania haiwezi na haitakuja kuwa Taifa la wahuni.Safi sana Polisi Kwa kumtia nguvuni,alijikuta Gen Z sana.

====

Mkuu wa mkoa wa mbeya cde: Juma Z. Homera amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamini kuzaga kumsaka na kumkamata kijana anayepatikana Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya kwa kosa la kumkashifu Rais Samia kwa maneno makali na kisha kuichoma moto picha inayomuonyesha Rais.

RC Homera amelaani vikali kitendo hicho kuwa si cha maadili wala uungwana na kiko tofauti na utamaduni halisi wa wananchi mkoani Mbeya.

Hata hivyo ametoa masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga kumkamata kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza moja kwa moja kwa Rais Samia.

Mwisho RC Homera amewasihi wananchi mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye vitendo viovu kwa kukashifu viongozi makusudi badala yake wajikite katika utafutaji na uchapa kazi kwa manufaa ya familia zao na Tanzania kwa ujumla.

View attachment 3031314
Video ya Kijana akichoma moto picha ya Rais Samia.
kama amekosea, wamkamate, wampeleke mahakamani, wasimteke.kutekana huko kuna siku watu wataingia mtaani msijelaumu. kama kuna TISS wamshauri Rais akataze matendo yanayoongeza chuki mioyoni mwa watu kwasababu kuna siku watachoka na kuamua lolote na liwe kama Kenya. najua mapolisi hawawezi kumshauri, ila TISS ndio kazi yenu.
 
Hiyo picha ni mali yake ana haki ya kuifanya atakavyo

Bendera za Israel na Marekani kila mara zinachomwa moto ndio sembuse chura kiziwi.

Yupo mwamba mpaka nakala za Qurani kapiga moto ni mali yake huwezi kumpangia.
Kumbe,sawasawa
 
Back
Top Bottom