Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe amemharibu raisi?Rais ni Mali ya Umma sio yake ,kuharibu Mali ya Umma ni kosa na vibaya kimaadili.
Hana adabu na ameshatiwa nguvuni.Usichome picha Wala bendera za vyamaKumbe amemharibu raisi?
Picha ya RaisAmechoma karatasi
Angeweźa kuchoma kimya kimya, lakini amechoma huku akijigamba na kajirekoi. Huyu lazima afike mbele ya Hakimu akakabiliane na shataka lakeMkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa masaa 24 kutiwa mbaroni Kwa Kijana mmja huko Wilayani Rungwe ambae inadaiwa amemkashifu Rais Samia na Kuichoma Picha yake.
My Take
Naunga mkono hoja, upumbavu wa tabia za kihuni za kuiga ukomeshwe na usiruhusiwe hapa Tanzania.
Mnaweza kupinga Kila kitu kadiri inavyowezekana lakini kwa namna ya kuwaheshimu hao msiokubaliana.
Tanzania haiwezi na haitakuja kuwa Taifa la wahuni.Safi sana Polisi Kwa kumtia nguvuni,alijikuta Gen Z sana.
====
Mkuu wa mkoa wa mbeya cde: Juma Z. Homera amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamini kuzaga kumsaka na kumkamata kijana anayepatikana Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya kwa kosa la kumkashifu Rais Samia kwa maneno makali na kisha kuichoma moto picha inayomuonyesha Rais.
RC Homera amelaani vikali kitendo hicho kuwa si cha maadili wala uungwana na kiko tofauti na utamaduni halisi wa wananchi mkoani Mbeya.
Hata hivyo ametoa masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga kumkamata kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza moja kwa moja kwa Rais Samia.
Mwisho RC Homera amewasihi wananchi mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye vitendo viovu kwa kukashifu viongozi makusudi badala yake wajikite katika utafutaji na uchapa kazi kwa manufaa ya familia zao na Tanzania kwa ujumla.
Hajamharibu rais kaiharibu picha yenye sura ya mtu anayedhaniwa ndiye rais.Rais ni Mali ya Umma sio yake ,kuharibu Mali ya Umma ni kosa na vibaya kimaadili.
Kama ni hiyo hiyo, kamwe siwezi kuheshimu mtu yeyote, hata awe kiongozi wa kiasi gani, kama kiongozi huyo haheshimu anaowaongoza.Heshima ni lazima Kwa tafsiri yeyote uijiayo wewe au Ile ya kwenye kamisi.
Nani haheshimu anaowaongoza?Kama ni hiyo hiyo, kamwe siwezi kuheshimu mtu yeyote, hata awe kiongozi wa kiasi gani, kama kiongozi huyo haheshimu anaowaongoza.
Sasa najua hapa kwa akili yako ndogo utaanza ubishi, na kudai ushahidi, kana kwamba matendo yanayoonekana siyo ushahidi tosha.
Siwezi kuwa na mjadala wa maana na mtu kama wewe aliye jitoa akili na heshima ya utu wake, na kuwa kama mwanasesele tu.
Kiongozi anaye heshimu anao waongoza hawezi kuwadharau hao anao waongoza. Unaniuliza swali la kipumbavu.Nani haheshimu anaowaongoza?
kama amekosea, wamkamate, wampeleke mahakamani, wasimteke.kutekana huko kuna siku watu wataingia mtaani msijelaumu. kama kuna TISS wamshauri Rais akataze matendo yanayoongeza chuki mioyoni mwa watu kwasababu kuna siku watachoka na kuamua lolote na liwe kama Kenya. najua mapolisi hawawezi kumshauri, ila TISS ndio kazi yenu.Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa masaa 24 kutiwa mbaroni Kwa Kijana mmja huko Wilayani Rungwe ambae inadaiwa amemkashifu Rais Samia na Kuichoma Picha yake.
My Take
Naunga mkono hoja, upumbavu wa tabia za kihuni za kuiga ukomeshwe na usiruhusiwe hapa Tanzania.
Mnaweza kupinga Kila kitu kadiri inavyowezekana lakini kwa namna ya kuwaheshimu hao msiokubaliana.
Tanzania haiwezi na haitakuja kuwa Taifa la wahuni.Safi sana Polisi Kwa kumtia nguvuni,alijikuta Gen Z sana.
====
Mkuu wa mkoa wa mbeya cde: Juma Z. Homera amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamini kuzaga kumsaka na kumkamata kijana anayepatikana Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya kwa kosa la kumkashifu Rais Samia kwa maneno makali na kisha kuichoma moto picha inayomuonyesha Rais.
RC Homera amelaani vikali kitendo hicho kuwa si cha maadili wala uungwana na kiko tofauti na utamaduni halisi wa wananchi mkoani Mbeya.
Hata hivyo ametoa masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga kumkamata kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza moja kwa moja kwa Rais Samia.
Mwisho RC Homera amewasihi wananchi mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye vitendo viovu kwa kukashifu viongozi makusudi badala yake wajikite katika utafutaji na uchapa kazi kwa manufaa ya familia zao na Tanzania kwa ujumla.
lina umuhimu gani hilo karatasi lenye piicha ya rais? wapi kwenye katiba au sheria tunaweza kuliona hilo karatasi likielezewa? Mnaabudu binadamu?Picha ya Rais
Yeye mbona anajianya chura kiziwi?Nani haheshimu anaowaongoza?
Hawezi kuongoza Nchi Kwa kusikiliza ujinga na umbeaYeye mbona anajianya chura kiziwi?
Hana adabu na ameshatiwa nguvuni.Usichome picha Wala bendera za vyama
Ujinga na umbea kama watu kutekwa na kuuwawa siyo?Hawezi kuongoza Nchi Kwa kusikiliza ujinga na umbea
NdioUjinga na umbea kama watu kutekwa na kuuwawa siyo?
Kumbe,sawasawaHiyo picha ni mali yake ana haki ya kuifanya atakavyo
Bendera za Israel na Marekani kila mara zinachomwa moto ndio sembuse chura kiziwi.
Yupo mwamba mpaka nakala za Qurani kapiga moto ni mali yake huwezi kumpangia.