Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Mkuu wa mkoa anaonekana kwenye kituo cha mafuta huko China na picha husika ni ya mtu aliyevaa ushungi mweusi si mwekundu na ameshika bendera ya nchi nyingine.Hebu na sisi tuione hiyo picha