Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

waliomwingilia nao wamefungwa?
 
Endelea tu kuingizwa mitalimbo ila jua nyinyi hamna haki yeyote hapa duniani Wala kwa Mungu..hata ya kuskilizwa,..serikali inatumia busara Sana kwenu nynyi mafedhuli Waja laana mnaotia nuksi nchi yetu..nyinyi ni wakukatwa vichwa kwa mafungu uwanjani mtoweke kbsa.
 
Huko aendako huo mtalo utatumika sana,anaenda kuolewa kabisa
 
Wewe upo huko nchi za watu au umeishi huko. Naomba kuuliza, hivi ni wazungu wote wana sapoti LGTB au? Mana kwa akili za wabongo zilivyo, yaani kwa sasa ukionekana upo na mzungu hata kama mnapiga dili zenu halali, wao wanahisi mnaeneza ushoga.
Umkonto

Hapana sio Wazungu wote wanao support Ushoga😕wapo wanaoupinga Eg Republican tena wanaupinga kwa nguvu zote huu uchafu🤨🤨🤨

Foristance last year 2022 Congressional Republicans introduced a measure that would prohibit federal money from being used to teach children under 10 about LGBTQ issues

The Bill would prohibit the use of federal funds to teach children about “sexually-oriented material” as well as “any topic involving gender identity.. gender dysphoria, transgenderism, sexual orientation, or related subjects..The effects of such a law, if enacted, would be far-reaching since a range of institutions – schools, libraries, among them – receive public money

Hapo awali kabla hili jambo halijakomaa Europe ndio waliokuwa wanaunga mkono ushoga na sio US..tena nchi zilizokuwa zinazoupinga ni Ufaransa na Uingereza

Lakini kutokana na mfumo wa kuunga mkono uhuru binafsi ndio US wakaungana na David Camerun (Uingereza)kuunga mkono homosexuality..na hapa inasemekana Wamarekani waliokuwa wakiiupinga walikuwa wengi wakaanza kupungua kutokana na kauli ya Obama na takwimu zipo

Tatizo tumekua brain washed in so
Many things na kupenda kuiga kila
kinachofanywa na White people😌Et kwa sababu kuna mateja na hawawezi ishi bila kuacha utegemezi wao kwenye drugs then tutunge sheria za kuhalalisha?🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️

Kuna watu wamezoea kitabia Cha uwizi na udokozi na hawawezi ishi bila kudokoa na kufanya uhalifu, Je turuhusu wafanye sababu ndivyo wanavyojisikia?🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️

The rule of order hapa ni kuheshimu law of nature full stop..We have been mental slavery for ages its time to speak out our mind
 
Sheria ya kiislamu ndio ilikua suluhu la tatizo la ushoga.Adhabu yao ni KIFO kwa wote wawili;anayefanya na anayefanyiwa.
Sheria ya Tanzania pia inasema ni kifungo cha maisha au miaka 30 kwa wote wawili (Mliwa na Mliwaji)

Shida ni kuwa bado kuna loophole ya WALAJI kuchomoka. Ilitakiwa Hawa wakipanda kizimbani wapandishe wote wawili. Ni mwendo wa nyundo 30 na adhabu kaliiii
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!! Walaji...
 
Mkuu si ame plea guilty sasa hapo itachukuawaje muda? Ma procedure yote yanakuja kwa kukataa kosa
 
Jichanganye na wewe wakudake.....
 
Kosa alilofanya ni kukiri kosa Badla ya kukataaa. Na Mara nyingi Hakimu huwa anaweza muuliza mshtakiwa hata Mara tatu akiona amekubali Mara Zote ni hukumu tu... We unaulizwa uliiba kuku Kwa juma..unasema ndio..haina haja ya kumuita juma kuthibitisha kwani tayari kosa umelikubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…