Huyo shoga ukimwangalia anavyoongea utajua ni chenga tuu (mental issues), kumfunga ni kumuonea tuu maana hata hakuwa na lawyer wa kumtetea, huwezi kumfunga mtu kwa sababu kakiri kosa, lazima uhakikishe kichwa yake iko vizuri maana wengine ni uwoga tuu au kutokuelewa sheria
Anza kutafuta Visa ya Marekani hawa wakianza msafara uende na wewe
Kila la kheri mtetezi wa MapungaActually, nyie ndio WAJENZI BINGWA WA USHOGA.
Huko majumbani mwenu mnawafira watoto wadogo wa sekondari na shule ya msingi mkijifanya ati ni wajomba.
Baadaye hao watoto mliowanajisi wakipata madhara ya kisaikolojia, wanageuka kuwa mashoga halafu MNATAKA KUWAFUNGA JELA.
Huu ni UBINAFSI na UPUMBAVU wa hali ya juu sana.
Nyie mabaradhuli mnaolawiti watoto ndio mnaotakiwa KUSHUGHULIKIWA KWELI KWELI MPAKA MNYOOKE KAMA RULA.
Sawa asanteAnza kutafuta Visa ya Marekani hawa wakianza msafara uende na wewe
vijana wa paulo right now👇
View attachment 2579644
take it directly from the toiletActually water from the toilet is recycled and cleaned and drank back
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3578][emoji3578][emoji3578]Actually water from the toilet is recycled and cleaned and drank back
Ishu sio what we like or not, what's normal or not what's natural or not but what adults can and do with their bodies without hurting anyone else? Kwanza natural means anything that can happen in the material reality that's why hata earth quake is natural, killing, rape even genocides are natural. Wanyama wengi pia participate in homosexual activities but watu bado wanabisha. Iwe na madhara, wanaiga or not haiondoi ukweli kwamba miili ni yao. Km ivyo basi let's ban smoking na pombe pia zina madhara but we don't coz waache adults wenyewe waamue Wewe toa maoni tu na madhara km kula masukari mengi and many other things. A crime is a crime for a reason coz it has victims; mtoto akibakwa sawa, mtu yoyote akibakwa sawa kuna victim but watu adults ambao sio ndugu wa damu eti have sex consensually; victim ni nani? Tanzania???Pongezi kwa mahakama kwa kuifuata sheria
Ninyi wengine mnaodai mna hisia na wanaume wenzenu/wanawake wenzenu mjue ya kwamba hakuna Natural occurring creature anakuja na mambo hayo ya kuvutiwa na jinsia yake. "Mmetengenezwa"
Hakun beberu mwenye hisia na beberu mwenzie ama tetea kwa tetea mwenzie. Kwanini kwa binadamu itokee hivyo ??(Sisi Ni sehem ya wanyama )
jaribuni kufikiri
Unajua ni mazingira gani yalimfanya akiri?Hakimu hutoa hukumu kama umekiri na ukikiri hakuna rufaa.
Kama asingekiri asingehukumiwa bila ushahidi kufikishwa mahakamani
Ukifikishwa mahakamani, baada ya kusomewa maelezo ya kukutwa na hatia, Hakimu hukupa muda wa kukubali au kukataa, ukikubali anarudia kukuuliza tena, ukikubali ndo imetoka hivyo hakuna review, rufaa etcUnajua ni mazingira gani yalimfanya akiri?
Unajua alihojiwa na Nani na namna ipi?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anza kutafuta Visa ya Marekani hawa wakianza msafara uende na wewe
Umewalaumu wanaofanyiwa bila kuwataja wanaowafanya, unawatetea wa nini wakati tunajua ni wajomba zenu, viongozi wenu wa dini, waalimu wenu, watoeni na wao wakafungwe miaka 60Kuna mahali tumesema wanaowaingilia waachwe???
Jinai zingekua zinaendeshwa hivyo basi hakuna angebakiUkifikishwa mahakamani, baada ya kusomewa maelezo ya kukutwa na hatia, Hakimu hukupa muda wa kukubali au kukataa, ukikubali anarudia kukuuliza tena, ukikubali ndo imetoka hivyo hakuna review, rufaa etc