Huyo shoga ukimwangalia anavyoongea utajua ni chenga tuu (mental issues), kumfunga ni kumuonea tuu maana hata hakuwa na lawyer wa kumtetea, huwezi kumfunga mtu kwa sababu kakiri kosa, lazima uhakikishe kichwa yake iko vizuri maana wengine ni uwoga tuu au kutokuelewa sheria
Masikini, nimeingiwa na huruma. Right to attorney even if you can’t afford one, government will provide one for you haipo bongo?