Ukifika mahakamani baada ya kusomewa maelezo ya awali, ukipewa nafasi ya kuongea ukikubali unahukumiwa hapo hapo.Jinai zingekua zinaendeshwa hivyo basi hakuna angebaki
Usicheke we ngoja wajichanganye tu ni miaka 30Hahahahahahahaha
Kwani angasema hafanyi Ushoga angeachwa?angepelekwa kwa daktari wakati mwenyewe kishasema ni kweli kafanya ushoga mngelalamika ameingiziwa vidole viwili virefu vya daktari bila idhini yake
Keshakiri kosa , ushahidi wa nini tena ? Umesoma wapi sheria ?
Hakuna kitu kama hicho kwenye makosa ya jinai,Ukifika mahakamani baada ya kusomewa maelezo ya awali, ukipewa nafasi ya kuongea ukikubali unahukumiwa hapo hapo.
Ukikataa unaacha nafasi ya kujitetea na kuleta mashahidi, waliokuhukumu pia huleta mashahidi ambao kupitia ushahidi utahukumiwa kufungwa au kuwa huru.
We jichanganye ndo utajua hujui
Ndo keshafungwaHakuna kitu kama hicho kwenye makosa ya jinai,
Inawezekana hata hujui jinai ni nini na kesi za jinai zinaendeshwaje
Hata hao wanao toboa mtaro wa huyu hawana akili,unawezaje mtamani Mwanaume mwenzio alivyo mbaya na mamisuli hivyo?Mahakama ya wilaya ya kyela imemtia hatiani na kumhukumu miaka 30 jela mshitakiwa aliefahamika kwa jina la claud Alex Mwinuka alimaarufu kama kibakuli(22) mkazi wa mwanganyanga kyela kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Akizungumza mahakamani hapo Hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya kyela Paul Mabula Barnabas amesema kuwa mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapa leo tar 6/4/2022 kwa kosa la kuruhusu mwanaume kumuingilia kinyume na maumbile ikiwa ni kinyume cha kifungu cha 154 kifungu kidogo cha kwanza C cha sheria ya kanuni ya adhabu kama ilivyorekebishwa mwaka 2022.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo,mshtakiwa akakili kosa na baada ya kukili mahakama imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela.
Itakumbukwa video za kijana huyo zilisambaa katika mitandao ya kijamii siku chache zilizopita ikiwa amevaa mavazi ya kike usiku wa manane pindi alipokamatwa na vikundi vya ulinzi shirikishi maarufu kama sungusungu.View attachment 2578736
TANZANIA HAIPO KIMYA DHIDI YA UJINGA HUU, TUNAKULA NAO SAHANI MOJA KIMYA KIMYA KWA NAMNA HII, PIGA 30!TU.Mahakama ya wilaya ya kyela imemtia hatiani na kumhukumu miaka 30 jela mshitakiwa aliefahamika kwa jina la claud Alex Mwinuka alimaarufu kama kibakuli(22) mkazi wa mwanganyanga kyela kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Akizungumza mahakamani hapo Hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya kyela Paul Mabula Barnabas amesema kuwa mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapa leo tar 6/4/2022 kwa kosa la kuruhusu mwanaume kumuingilia kinyume na maumbile ikiwa ni kinyume cha kifungu cha 154 kifungu kidogo cha kwanza C cha sheria ya kanuni ya adhabu kama ilivyorekebishwa mwaka 2022.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo,mshtakiwa akakili kosa na baada ya kukili mahakama imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela.
Itakumbukwa video za kijana huyo zilisambaa katika mitandao ya kijamii siku chache zilizopita ikiwa amevaa mavazi ya kike usiku wa manane pindi alipokamatwa na vikundi vya ulinzi shirikishi maarufu kama sungusungu.View attachment 2578736
Concept ya «consenting adults» is not an excuse to break the law., which is clear as the fact that the sun rises in the east and sets in the west. You have a point though, huwezi ukakomesha hii tabia kwa kuwapiga mvua submissives wakati the dominants wanapeta. Sijui hiyo sheria husika inavyokuwa interpreted lkn hii ni great injustice overall.Tanzania bwana😂😂😂😂Sasa hapo victim yupo wapi? Na hao waliomuingilia? Km wote adults and Hamna aliyebakwa let him go tu; people wana trauma zao na historia zao. What TZ should do is to protect children tu from being raped and molested na wawe wakali kwa hilo but kwa hii ishu ya adults waacheni wafanye yao but waambieni tu hatutaki mashauzi in public au publicization ya hayo mambo Km Ughaibuni but hutoweza zuia privacy ya consenting adults na hao wengi mnaowakamata hawapo vizuri kichwani that's why they admit tu bila hata kujua it's a crime and the way they look wanaonekana kabisa wagonjwa wa akili
Concept ya «consenting adults» is not an excuse to break the law., which is clear as the fact that the sun rises in the east and sets in the west. You have a point though, huwezi ukakomesha hii tabia kwa kuwapiga mvua submissives wakati the dominants wanapeta. Sijui hiyo sheria husika inavyokuwa interpreted lkn hii ni great injustice overall.
You prolly right, but allowing «consenting adults» to engage in perverse sexual behavior as long as they «consent» is still immoral according to traditional african norms, culture and traditions. It’s a Western pconcept that does not apply here.Of course consenting adults make sense Km they don't hurt anyone else Ndo maana nikasema we should base laws not as prescription kwamba kila mtu has to participate but nani victim na pia tuache unafki kwani kuna many things kw religion we don't punish that are also sins Km fornication, Adultery, alcohol and smoking and eating pork for Muslims and many others
Kwani ni nani? ni cocastic? au hancemtanashati?Nimemuonea huruma maskini😟
Na wewe unataka kutoa kinyeo?Sabaya yuko huru kwa kuumiza wengine. Ila huyu yuko jela kwa ki*yeo chake.
What African norms? There are 55 countries and tens of thousands of tribes. I'm not asking anyone to approve of anything; feel free to hate and loathe anything just leave people alone if no one is getting hurtYou prolly right, but allowing «consenting adults» to engage in perverse sexual behavior as long as they «consent» is still immoral according to traditional african norms, culture and traditions. It’s a Western pconcept that does not apply here.
Mashoga mnateteanaUjinga mtupu, hiyo BANANA COURT inahukumu watu SUMMARILY bila hata ushahidi?...
As far as participation in deviant sexual behavior, the concept of “consenting adults” is non existent in most African societies.What African norms? There are 55 countries and tens of thousands of tribes. I'm not asking anyone to approve of anything; feel free to hate and loathe anything just leave people alone if no one is getting hurt
Unayasoma wapi hayo mheshimiwa DC?Na wewe unataka kutoa kinyeo?
Huyo aliemwingilia yeye haendi jela? Kweli Tanzania ni nchi ya kishenzi sana na ina sheria za kifedhuli na kifirauniMahakama ya wilaya ya kyela imemtia hatiani na kumhukumu miaka 30 jela mshitakiwa aliefahamika kwa jina la claud Alex Mwinuka alimaarufu kama kibakuli(22) mkazi wa mwanganyanga kyela kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile...