Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

Ila kuna watu ni wachafu sana
Mbona hata havutii yani unamuingilia vipi

INSTAGRAM @dollrubii_decors
 
Hakuna cha kuonewa wala nini,hiki ndicho anastahili kukipata
 
Hii kesi kama atapata wakili atashinda rufaa.
Sitetei ushoga, ila naona hukumu ya kesi yake kama imekaa kimuhemko na ushabiki wa wimbi la vita dhidi ya ushoga. Tujiulize aliye kuwa anamuingilia yuko wapi? Alikutwa anaingiliwa? Alikubali kosa baada ya vitisho au vipigo?
 
Yule wa mbeya wamemuonea, nilipata habari kuwa ni mgonjwa wa akilii, na hata muonekano wake unaonesha hayuko timamuu.
 
Yaan mahakama za TZ zinapochosha hapoo tyuuh, hukumu zinatolewaa bila kufuata kanuni na taratibu.

Tupinge huu uonevu,
 
Yaani huyo jamaa inaonekana ni mwendawazimu kwa kumtizama tu. Halafu wamempiga balaa, hivi ukimkamata mtu asiye na silaha halafu mnampiga hii imekaaje?
Wabongo wameshavurugwa na ugumu wa maisha wanaishia kuumiza wengine, hiyo ndo ahueni yao, wanadhani wakifanya hivyo watakua nafuu kumbe hakuna lolotee.

Unafiki mbayaa sana.
 
Angepigwa mpk kifo
Huko Jela ataenda kupumzika tu
 

Na aliyemwingilia na ‘nyuma mwiko’ inabidi akamatwe na atwangwe miaka 30 pia.
 
Alishatokaaa, kumbe ni mgonjwa wa akili. Ila masela na wahuni walikua wana muingilia kwa nguvu.
 
Alishatokaaa, kumbe ni mgonjwa wa akili. Ila masela na wahuni walikua wana muingilia kwa nguvu.
Haya mambo ya kutetea hawa ndio yanakera, sema kwa kuwa umeshakua shemeji ngoja nikae kimya tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…