Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

Mwaka vp 2022 au 2023?
 
Mimi naomba ataje wale walikuwa wakimla. Sababu hawa watu watabakia mtaani huko wakilawiti watoto na kushawishi wake za watu kuliwa tigo.

So naomba mahakama isiishie hapo tu iendelee mbele zaidi kuchukua hatua dhidi ya hawa walioshiriki nae ngonoi ya kinyume na maumbile
 
Mtihani huu
 
Pongezi kwa mahakama kwa kuifuata sheria

Ninyi wengine mnaodai mna hisia na wanaume wenzenu/wanawake wenzenu mjue ya kwamba hakuna Natural occurring creature anakuja na mambo hayo ya kuvutiwa na jinsia yake. "Mmetengenezwa"

Hakun beberu mwenye hisia na beberu mwenzie ama tetea kwa tetea mwenzie. Kwanini kwa binadamu itokee hivyo ??(Sisi Ni sehem ya wanyama )

jaribuni kufikiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…