To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤠WakusikieYaan mnoo😬Imagine..maana hili ni zao lao kama kusingekua na hao MABASHA hawa wasingekuepo
WANAUME ni zaidi ya Cancer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤠WakusikieYaan mnoo😬Imagine..maana hili ni zao lao kama kusingekua na hao MABASHA hawa wasingekuepo
WANAUME ni zaidi ya Cancer
HakikaAmeonewa. Je, walimpima akili kabla ya kumhukumu?
Cheki hili jamaa. Kwa hiyo unashabikia vitendo hivi magerezani?.
So sad acha wanyooshwe hivihivi kimyakimya jamii ya kimataifa isitupigie kelele wakija kushtuka wameisha wote...
ni kweli ni wakati sasa na jamii iwache kukumbatia huu uchafuMungu atusaidie
Sijui tutumie Microphone 📢📢📢🤣🤣🤣🤠Wakusikie
Hata wanawake wanaoruhusu kuingiliwa kinyume cha maumbile nao walitakiwa adhabu kama hizo.Hadi kinyaa
Je Tanzania kuna sheria ya kuwafunga mashoga?.Mahakama ya wilaya ya kyela imemtia hatiani na kumhukumu miaka 30 jela mshitakiwa aliefahamika kwa jina la claud Alex Mwinuka alimaarufu kama kibakuli(22) mkazi wa mwanganyanga kyela kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Akizungumza mahakamani hapo Hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya kyela Paul Mabula Barnabas amesema kuwa mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapa leo tar 6/4/2022 kwa kosa la kuruhusu mwanaume kumuingilia kinyume na maumbile ikiwa ni kinyume cha kifungu cha 154 kifungu kidogo cha kwanza C cha sheria ya kanuni ya adhabu kama ilivyorekebishwa mwaka 2022.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo,mshtakiwa akakili kosa na baada ya kukili mahakama imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela.
Itakumbukwa video za kijana huyo zilisambaa katika mitandao ya kijamii siku chache zilizopita ikiwa amevaa mavazi ya kike usiku wa manane pindi alipokamatwa na vikundi vya ulinzi shirikishi maarufu kama sungusungu.View attachment 2578736
😂😂😂😂😂😂Baada ya kuwalipua sasa mashoga wameamua kuingia nyumbani kwa mwakyembe huko kyela
ni kweli ni wakati sasa na jamii iwache kukumbatia huu uchafu
Sijui watamuweka gereza la wanaume au wanawake maana anaenda kuwa demu wa mtu tena
Hakuna Mwanamke wa aina hiyo na Hakuna Mwanaume wa aina hiyoSijui watamuweka gereza la wanaume au wanawake maana anaenda kuwa demu wa mtu tena