Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

Sijui watamuweka gereza la wanaume au wanawake maana anaenda kuwa demu wa mtu tena
 
Mahakama ya wilaya ya kyela imemtia hatiani na kumhukumu miaka 30 jela mshitakiwa aliefahamika kwa jina la claud Alex Mwinuka alimaarufu kama kibakuli(22) mkazi wa mwanganyanga kyela kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.

Akizungumza mahakamani hapo Hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya kyela Paul Mabula Barnabas amesema kuwa mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapa leo tar 6/4/2022 kwa kosa la kuruhusu mwanaume kumuingilia kinyume na maumbile ikiwa ni kinyume cha kifungu cha 154 kifungu kidogo cha kwanza C cha sheria ya kanuni ya adhabu kama ilivyorekebishwa mwaka 2022.

Baada ya kusomewa mashtaka hayo,mshtakiwa akakili kosa na baada ya kukili mahakama imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela.

Itakumbukwa video za kijana huyo zilisambaa katika mitandao ya kijamii siku chache zilizopita ikiwa amevaa mavazi ya kike usiku wa manane pindi alipokamatwa na vikundi vya ulinzi shirikishi maarufu kama sungusungu.View attachment 2578736
Je Tanzania kuna sheria ya kuwafunga mashoga?.
 
Culture Me njoo uone huyu HAKIMU WA MWENDOKASI anahukumu mtu kifungo bila kuchukua ushahidi wowote.

Yaani tu eti mtu anafikishwa mahakamani na kufungwa saa hiyo hiyo bila DUE COURT PROCESS ikiwemo ushahidi wa kidaktari.

Hii si haki kuonea watu kwa minajili ya kwenda na upepo wa ushoga.
 
Nimeitafuta post inayosema mambo haya yapo zanzibar, tanga, Mombasa na dar tu mpaka sasa sijaiona.

Nimezitafuta posts zinazosema kuwa hili si janga la kitaifa bali ni la maeneo ya pwani na yale waliyopita waarabu tu basi kwani maeneo tofauti na hayo hakuna kabisa habari hizo, sijaziona mpaka sasa....nimechoka naenda kulala.

Nitajaribu tena kesho!!!
 
Sijui watamuweka gereza la wanaume au wanawake maana anaenda kuwa demu wa mtu tena
Sijui watamuweka gereza la wanaume au wanawake maana anaenda kuwa demu wa mtu tena
Hakuna Mwanamke wa aina hiyo na Hakuna Mwanaume wa aina hiyo

Ila bado ataendelea kutambulika kama Mwanaume no matter what..ata akifa atazikwa kwenye makaburi ya Wanaume
 
Ninatoa rai muache kuonea watu kwa minajili ya kwenda na upepo wa ushoga.

Huwezi kumuhukumu mtu siku hiyo hiyo SUMMARILY bila kuzingatia ushahidi wa kidaktari na wa kitaalamu.

Kuvaa nguo za kike sio kosa la jinai kwa mujibu wa sheria za nchi.
Huu ni uonevu.

This is an equivocal plea of guilty taken under DURESS and INTENSE PRESSURE. MSIONEE WATU.
 
Back
Top Bottom