Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa sijui huwa wanawaza nini akili mwao!! Ni ajabu sana, hivi kwa akili za kawaida tu unakubali kua uliingilwa huku ukijua unalimwa nyundo kibao.
Kosa halina hata ushahidi jitu linakubali.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sisi kama serekale tunasikitika sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
BICHWA KOMWE
jana nilicheka sana
😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
serekale kama serekale
Mpuuzi sana.Huyo anatoka mchana kweupeee,
Hakuna kesi hapo na huyo Hakimu mchovu awajibishwe huyo hata rushwa anachukua hana weledi wa kazi
Mimi nimefuatilia tangu huyo dogo anadhalilishwa kwenye MAKAMERA. Ni uonevu mtupu.Amekiri kosa,ulitaka mahakama ifanye nini tena
Yule lakini si alikuwa kavaa kigauni cheusi Kama demu lakini, kosa kumpiga pigaMimi nimefuatilia tangu huyo dogo anadhalilishwa kwenye MAKAMERA. Ni uonevu mtupu.
Huwezi kummulika mtu na makamera unamuhoji huku unamrekodi mitandaoni na kumpiga na mawe. KWA HAKI IPI AMA UTAKATIFU UPI?
Nchi ya ajabu sana ambapo wahuni wanafanya tukio la kuumiza mtu na wanapongezwa kisha muhanga anafungwa jela.
Kwa saikolojia ya yule dogo, kwa kudhalilishwa na kuumizwa kihisia na kiakili tangu alipokamatwa, ni wazi alikiri kosa kwa sababu ya kutokuwa sawa. Alishachakazwa kiakili.
Ameonewa sana sana sana, na akimlilia mungu wake, mliohusika mtapata karmic pay back yenye maumivu makali sana.
Ni bora mtengue mlichokifanya.
[emoji38][emoji38][emoji38]Ujinga mtupu, hiyo BANANA COURT inahukumu watu SUMMARILY bila hata ushahidi?
Kesi gani inaendeshwa kwa siku moja bila kuzingatia ushahidi wa kidaktari na kitaalamu?
This is a WRONG PLEA OF GUILTY which needs to be QUASHED.
Huyu hakimu anatembea na upepo ili aonekane anapinga ushoga. Amulikwe.
Sio haki kumfunga mtu kisa tu ametumia mwili wake kufanya mapenzi atakavyo. Kama kuna sheria inayosema hivyo, ni sheria BATILI.
Akate rufaa haraka.
Hii ni kama ID mpya ya cocastic?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni kama ID mpya ya cocastic?
Kama ni wewe basi jua tutakupelekea tena Moto mpaka ukimbie au ukimbizwe jf. Choko hana tena nafasi jf
Tutakufatilia kama wewe ni cocastic, tukikubaini tutaanza kukupelekea tena moto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii JF sio yako, pambania maisha yako kwani,Tutakufatilia kama wewe ni cocastic, tukikubaini tutaanza kukupelekea tena moto
Sio yangu Ila hatutaki choko humu. Tutachunguza kama hii id ni ya cocastic, tukibaini basi jua kinachofata ni kukimbizwa humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii JF sio yako, pambania maisha yako kwani,
Am out, poleeeeh
Jamaa hajui kua kuingiliwa ni kosa kisheria??Ni kwa sababu kosa lenyewe ni la kimchongo.
Pengine alifikiri kwamba anatenda jambo halali, lakini akashangaa anakamatwa na kuburutwa mahakamani. He is simply being GENUINE and TRUE to himself.
Ni jambo la ajabu kushambuliwa kwa "kosa" la kutumia mwili wako mwenyewe.
The victim is likely be confused as to whether he has committed a crime or not. He is simply unaware, not of the law, but of the fact that he is a "criminal" for an act that is not ACTUALLY a crime.
It is understandable. Lakini kwa vile tunaishi kwenye nchi ya manyumbu, wacha tubaki watazamaji.