Pre GE2025 Mbeya: Tulia Ackson akusanya waandishi wa habari ili kutoa msaada wa tani mbili za chakula kwa wasiojiweza

Pre GE2025 Mbeya: Tulia Ackson akusanya waandishi wa habari ili kutoa msaada wa tani mbili za chakula kwa wasiojiweza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Hivi kuna ulazima gani wa Tulia kwenda na media kila sehemu anapoenda kutoa misaada?

Kwenye hii video anasema anaita vyombo vya habari kila anapotoa misaada ili awape motisha mwingine.

Hivi kweli kuna mtanzania wa kawaida unayemjua ambaye ataenda kutoa misaada kwa sababu ya motivation kutoka kwa Tulia?

======================================================


Spika wa bunge la Tanzania na mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini Dkt Tulia Ackson, ametoa zaidi ya tani mbili za chakula na mboga kwa watu wenye uhitaji zaidi jijini Mbeya kwaajili sikukuu za mwisho na mwanzo wa mwaka.

Akikabidhi chakula kwa watu hao Dkt Tulia amesema wanatarajia kutoa chakula kwa wahitaji takribani 3000 kwenye kata zote 36 za jiji la Mbeya kwa lengo la kutoa tabasam kwa watu hao ili nao washeherekee sikukuu wakiwa na furaha kama watu wengine.

Nao baadhi ya watu wenye uhitaji zaidi kwenye kata za jiji la Mbeya waliopatiwa chakula hicho wameeleza hisia zao ikiwa ni pamoja na kumshukuru mbunge wao kwa kuwajali kipindi hiki cha sikukuu.


 
Wakuu,

Hivi kuna ulazima gani wa Tulia kwenda na media kila sehemu anapoenda kutoa misaada?

Kwenye hii video anasema anaita vyombo vya habari kila anapotoa misaada ili awape motisha mwingine.

Hivi kweli kuna mtanzania wa kawaida unayemjua ambaye ataenda kutoa misaada kwa sababu ya motivation kutoka kwa Tulia?

======================================================


Spika wa bunge la Tanzania na mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini Dkt Tulia Ackson, ametoa zaidi ya tani mbili za chakula na mboga kwa watu wenye uhitaji zaidi jijini Mbeya kwaajili sikukuu za mwisho na mwanzo wa mwaka.

Akikabidhi chakula kwa watu hao Dkt Tulia amesema wanatarajia kutoa chakula kwa wahitaji takribani 3000 kwenye kata zote 36 za jiji la Mbeya kwa lengo la kutoa tabasam kwa watu hao ili nao washeherekee sikukuu wakiwa na furaha kama watu wengine.

Nao baadhi ya watu wenye uhitaji zaidi kwenye kata za jiji la Mbeya waliopatiwa chakula hicho wameeleza hisia zao ikiwa ni pamoja na kumshukuru mbunge wao kwa kuwajali kipindi hiki cha sikukuu.



View attachment 3181920
That’s human nature. Binadamu walio wengi wanathamini sana recognition! Uliwahi kumuona hata Marehemu Reginald Mengi akitoa msaada kwa jamii kimyakimya, bila uwepo wa vyombo vya habari? Politicians ndiyo usiseme; kila msaada lazima autoe mbele ya camera, kwa fanfare!
 
Mbeya kuna mwenye dhiki ya chakula kweli?
 
Wakuu,

Hivi kuna ulazima gani wa Tulia kwenda na media kila sehemu anapoenda kutoa misaada?

Kwenye hii video anasema anaita vyombo vya habari kila anapotoa misaada ili awape motisha mwingine.

Hivi kweli kuna mtanzania wa kawaida unayemjua ambaye ataenda kutoa misaada kwa sababu ya motivation kutoka kwa Tulia?

======================================================


Spika wa bunge la Tanzania na mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini Dkt Tulia Ackson, ametoa zaidi ya tani mbili za chakula na mboga kwa watu wenye uhitaji zaidi jijini Mbeya kwaajili sikukuu za mwisho na mwanzo wa mwaka.

Akikabidhi chakula kwa watu hao Dkt Tulia amesema wanatarajia kutoa chakula kwa wahitaji takribani 3000 kwenye kata zote 36 za jiji la Mbeya kwa lengo la kutoa tabasam kwa watu hao ili nao washeherekee sikukuu wakiwa na furaha kama watu wengine.

Nao baadhi ya watu wenye uhitaji zaidi kwenye kata za jiji la Mbeya waliopatiwa chakula hicho wameeleza hisia zao ikiwa ni pamoja na kumshukuru mbunge wao kwa kuwajali kipindi hiki cha sikukuu.



View attachment 3181920
Politics is a game of publicity
 
Ndiyo ilivyo makamera na wasanii machawa lazima wawepo

Ova
 
Back
Top Bottom