Mbeya: Wanachama 7 wa CHADEMA walioswekwa Rumande waachiwa huru

Shetani kwa mujibu wa maandiko kwenye biblia alishafungwa minyororo huko kuzimu hadi siku ya kiyama
Mawakala wake bado wanapokea maagizo kwake na wanaendelea kusumbua watu hapa duniani na hivyo kimsingi yupo kazini. Na maandiko yanasema anazunguka kama Simba mwenye njaa akimtafuta mtu wa kummeza.
 
Mawakala wake bado wanapokea maagizo kwake na wanaendelea kusumbua watu hapa duniani na hivyo kimsingi yupo kazini. Na maandiko yanasema anazunguka kama Simba mwenye njaa akimtafuta mtu wa kummeza.
🤣🤣🤣mkuu uko vizuri kwenye maandiko
 
Chadema ni chama cha wahuni wahuni

Hoja nzito ndiyo hoja gani
 
Dua zetu zimeshaanza kuzaa matunda kwa siro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…