Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Lucas ni humohumoHakuna Mndali Mwashamba....Ni Mnyiha....Msafwa....au Mmalila...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas ni humohumoHakuna Mndali Mwashamba....Ni Mnyiha....Msafwa....au Mmalila...
Hao ni wanandoa au wanaishi kihawara TU?Ni matokeo ya mwanaume kupewa taarifa mbaya za mara kwa mara juu ya mtoto wake.
Na baba anajali zaidi furaha ya mwanamke kwa kutoa kipigo kwa mtoto.
Pole mtoto mzuri usiye na hatia!
Damu yako itawatafuta mpaka nao wanaondoka juu ya uso wa dunia.
Nakumbuka binti yangu wa kwanza akiwa na miaka 6 alijisaidia kitandani usiku, wakati anajishtukia na kujiangalia imekuwaje na mimi nikashtuka na kuskia harufu.Ufala huu... Nakumbuka kuna dogo wa miaka mitano jirani na nilipopanga alijiendeshea kitandani ucku akiwa kalala... Wazazi walipoamka asubuhi na jazba wakaanza kumpa kichapo cha mbwa koko!
Ikabidi niende kuingilia ugomvi na kuwazuia wasiendelee kumpga. Uzuri nilikuwa nawamudu, Nikawaambia km shida ni kufua kinyesi chake km walivyokuwa wanalalama mi nitafua ila wamwache dogo.
Ikabidi nimuulze dogo ilikuwaje akaharisha kitandani? Akanambia usiku tumbo lilikuwa linamuuma, alipomwamsha mama yake ampeleke chooni akakataa. Akamwambia km huwezi kuamka kunya hapohapo kitandani... Dogo kutokana na kushindwa kuichambua ile kauli ukilinganisha na umri wake pamoja na break kufeli akakuta tayari ashaharibu hali ya hewa kitandani
Sisi wazazi muda mwingine ndo visababishi vya watoto kufanya mambo ya ajabu!
Hongera sana kwa hilo... Unajua watoto wengi wanapitia unyanyasaji na ukatili kwa kuwa wazazi wanashindwa kureason kuwa alichokifanya na umri wake sio makusudi bali ni bahati mbaya.Nakumbuka binti yangu wa kwanza akiwa na miaka 6 alijisaidia kitandani usiku, wakati anajishtukia na kujiangalia imekuwaje na mimi nikashtuka na kuskia harufu.
Bila shida nikamuinua kumpleka chooni nikamsafisha, na shuka nikabadili nikasafisha.
Imagine mtt anashangaa na amekazana kuniomba samahani. Kwangu haikuwa shida niliona ni changamoto ya ulezi tu. Na ilikuwa nipo mwenyewe baba kasafiri.
Mimi hata kumpiga mtt basi awe amekosa adabu mno.
Radio inaitwa Access FMMtangazaji wa media gani huyu
Ova