Uchaguzi 2020 Mbeya: Watawa wamsimamisha Dkt. Magufuli na kumuombea baraka

Uchaguzi 2020 Mbeya: Watawa wamsimamisha Dkt. Magufuli na kumuombea baraka



Ila wamesahau haya:
Mathayo 6:5 NEN
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Ingekuwa vyema wangemuita kwenye convent na kusali huko.




Ila wamesahau haya:
Mathayo 6:5 NEN
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Ingekuwa vyema wangemuita kwenye convent na kusali huko.
 

Attachments

  • VID-20200929-WA0015.mp4
    901.4 KB
Magufuli msanii

Hii haisaidii maana na Lissu naye ni mkatoliki mwenzie, Safari hii Ile advantage ya ukatoliki na machinery ya wakatoliki haimnufaishi kivile.

Kama akiendelea na michezo hii ya kutumia dini, Lissu akienda kwenye mikoa ya waislamu wengi amlipue kwa waislamu jinsi alivyowatenga kwenye teuzi uje uone kama moto haujamuwakia!
 
JPM mtu wa Mungu,maombi ya watawa huwa yanajibiwa fasta sana.
JPM mitano tena.
 
Hao hao,unafikiri nini.kimewasukuma,wameandaliwa,siyo Burr,njaa tu.kama.RAIA wengine,huto tumisalaba.nato ni pesa ili tutengenezwe na watupate
Kwahiyo unaamini serikali inalisaidia kanisa katoliki financially?
 


Ila wamesahau haya:
Mathayo 6:5 NEN
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Ingekuwa vyema wangemuita kwenye convent na kusali huko.
Kwann hajapigwa mabomu!!!??? kwani alikuwa na ratiba ya kuhutubia hapa??
 
Magufuli msanii

Hii haisaidii maana na Lissu naye ni mkatoliki mwenzie, Safari hii Ile advantage ya ukatoliki na machinery ya wakatoliki haimnufaishi kivile.

Kama akiendelea na michezo hii ya kutumia dini, Lissu akienda kwenye mikoa ya waislamu wengi amlipue kwa waislamu jinsi alivyowatenga kwenye teuzi uje uone kama moto haujamuwakia!
Magufuli ni msanii kweli. Ila Bado ni the best candidate.
#Mafufuli5tena
 


Ila wamesahau haya:
Mathayo 6:5 NEN
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Ingekuwa vyema wangemuita kwenye convent na kusali huko.
Huo ujumbe ulionukuu unamhusu hata Mwamakula na Bagonza pia?
 
Safi kabisa!

Hao masister na wengine wote wenye akili kiimani hawawezi kuliunga mkoni lile wakala la magasho
 
Wafanye hivyo na kwa wagombea wengine. Au ndio wameshachagua upande kama shirika la masista? Shame on them; na viongozi wote wa dini wanaochagua upande fulani.
Nyie si mnae Bagonza na Mwamakula.?
 
Hivi kweli hao Ma sista watakuwa na imani na Askofu Gwajima....??
Hivi kweli CCM hawakuwa wanajuwa Askofu Gwajima alimkashifu Polcap Pengo...??
Alitaka au anataka badilisha Madrasa kuwa makanisa
WA TANZANIA TUUKATE UBAGUZI WA DINI,KABILA NA VYAMA...tuendelee kudumisha UDUGU wetu
Hapo wanamuombea Magu au Gwajima?

Gwajima na Pengo wameahamalizana juzi au hukuona picha zilisambaa kila kona?
 
Mwambieni atende HAKI, bila haki hata msali huku mnalia machozi ni kazi bure. .. Roho ya kukataliwa ii juu ya huyu mtu.
Eti ee?
Screenshot_2020-10-01-08-36-44.jpeg
 
Huku ni kuinajisi dini na kumkufuru Mungu!!! Hivi kama hawa ni watu wa Mungu kweli inakuwaje wanamuombea mtu aliyefanya binadamu mwenzake amiminiwe risasi 16 hadi amepata ulemavu hawezi kutembea vizuri??? Hivi wakiona ulemavu wa Tundu Lissu wanajiskiaje hawa???

Mie ni makatoliki na nasema hiki kinachofanywa na hawa masista ni kumkejeli Mungu. Hawa ni wachawi!! Huwezi kumuombea Mtu katili na mwenye roho mbaya tena mbele ya camera!!
Mungu siyo Bagonza wala Amsterdam!

Ndio maana wewe pamoja na midhambi yako unanyeshewa mvua kiwango kilekile pamoja wa wasio na dhambi
 
Magufuli msanii

Hii haisaidii maana na Lissu naye ni mkatoliki mwenzie, Safari hii Ile advantage ya ukatoliki na machinery ya wakatoliki haimnufaishi kivile.

Kama akiendelea na michezo hii ya kutumia dini, Lissu akienda kwenye mikoa ya waislamu wengi amlipue kwa waislamu jinsi alivyowatenga kwenye teuzi uje uone kama moto haujamuwakia!
Hoja yako ni ya kijinga!

Hivi Mwamakula na Bagonza huwa huwaoni?
Screenshot_2020-09-21-20-19-57.jpeg
 
Back
Top Bottom