Uchaguzi 2020 Mbeya: Watawa wamsimamisha Dkt. Magufuli na kumuombea baraka

Uchaguzi 2020 Mbeya: Watawa wamsimamisha Dkt. Magufuli na kumuombea baraka

wa

Ila wamesahau haya:
Mathayo 6:5 NEN
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Ingekuwa vyema wangemuita kwenye convent na kusali huko.
wanafiki tu hao,aiseeeee mpk nao wanapangwa kazi ipo
 
Wananjaa,watakula.wapi....
Magu siku hizi anawalisha watawa? 😂 hayo mashirika mengine yameanzishwa miaka hadi ya 650 AD niumri mkubwa kuzidi karibu nchi zote duniani .. tanzania 🇹🇿 ilizaliwa 1964 leo awalishe hao jamaa kweli?
 

Ila wamesahau haya:
Mathayo 6:5 NEN
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Ingekuwa vyema wangemuita kwenye convent na kusali huko.
Hakuna kitu hapo, Mungu gani wa kusikiliza uaji hilo? Yalikuwa yameandaa tukio!
 

Ila wamesahau haya:
Mathayo 6:5 NEN
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Ingekuwa vyema wangemuita kwenye convent na kusali huko.

Yaani watu wamejitolea kumwombe, ila baada tu ya sala wanazuiliwa kumshika mkono.
 
Kamati ya amani ile ya viongozi wa dini bakwata ya ccm wamesemaje kuhusu huu uchafu......

Sijui km ntatoa tena sadaka kanisa katoliki.....
 

Ila wamesahau haya:
Mathayo 6:5 NEN
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Ingekuwa vyema wangemuita kwenye convent na kusali huko.
NAONA KANISA LANGU KATOLIKI LINAENDELEA NA UNAFIKI WA HALI YA JUU.

KWANGU MIMI HAYO NI MAIGIZO, Naomba Mungu anisamehe na wakatoliki wenzangu kwa Comment hii.

Hawa masister wa mashirika BIKIRA MARIA MALKIA AFRICA na BIKIRA MARIA MALKIA WA MITUME Wanataka kutuambia mini sisi WATANZANIA kwa sala hizo za Maigizo??? 😶😶😶😶😶 shame on them!
 

Ila wamesahau haya:
Mathayo 6:5 NEN
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Ingekuwa vyema wangemuita kwenye convent na kusali huko.
Watawa wanakulana wenyewe kwa wenyewe, haki ya kusikilizwa na Mungu waitoe wapi
Mungu hadhihakiwi, labda kama hujui maandiko
 
Kabisa,!

Mungu ni yeye yule jana leo na hata milele!

Siyo Bagonza au Amsterdam kwamba wanachagua pa kuegemea.
Maombi ya mtu mnafiki hata akeshe akiomba Mungu sio kwamba hayapokei bali hata hayamfikii
 
Vitendo vya aina hii kwa Rais wetu ni vyema kwani vinawafanya Wananchi kuona umuhimu wa kumtanguliza Mungu katika kila jambo.

Kila la heri mkuu katika kampeni , unayo support yetu, pamoja tutashinda.
 
Back
Top Bottom