Sala sa wanafiki hazifiki popote. Hata wangekesha.i
Ila wamesahau haya:
Mathayo 6:5 NEN
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Ingekuwa vyema wangemuita kwenye convent na kusali huko.
Cheki walivyona furaha.Mfagizi yupi? View attachment 1586653
Sasa kwanini mnalalama Magu akifanyiwa maombi na masista?Cheki walivyona furaha.
Huku maomba kule mitutu ya bunduki mkononi?? Mnafiki maombi yake hayapokelewi Mbinguni kamwe. Bibilia imeandikwaSasa kwanini mnalalama Magu akifanyiwa maombi na masista?
Mathayo 18:20 BHN
Ila wamesahau haya:
Mathayo 6:5 NEN
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Ingekuwa vyema wangemuita kwenye convent na kusali huko.
Mungu siyo Bagonza au AmsterdamHuku maomba kule mitutu ya bunduki mkononi?? Mnafiki maombi yake hayapokelewi Mbinguni kamwe. Bibilia imeandikwa
Kamwe maombi ya mnafiki hayafiki popote. Anapoteza muda wake tuMungu siyo Bagonza au Amsterdam
Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Ila wamesahau haya:
Mathayo 6:5 NEN
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Ingekuwa vyema wangemuita kwenye convent na kusali huko.
Mungu siyo Bagonza wala AmsterdamKamwe maombi ya mnafiki hayafiki popote. Anapoteza muda wake tu
Cha kwanza ni jina la ubatizo Lisu sio jina. La ubatizo alikibadili akalikana jina la ubatizo la mtakatifu akajipa la kipagani kukana jina la mtakatifu na kujipa la kipagani ni dharau kuu kwa ukatolikiNani kakudanganya kuwa ukatoliki ni jina?
.D
Inaelekea hujui ukatoliki ni nini wewe!
Ni kwamba anaungwa mkono na masista na ni wapiga kuraMmekwishaaaaa.......piga magoti tafadhali
Wala mega*foolMungu siyo Bagonza au Amsterdam
Kabisa,!Wala mega*fool
Kwann hajapigwa mabomu!!!??? kwani alikuwa na ratiba ya kuhutubia hapa??
Inawezekana sanaKwahiyo unaamini serikali inalisaidia kanisa katoliki financially?
Yange badilika kuwa maji labda?!Kwann hajapigwa mabomu!!!??? kwani alikuwa na ratiba ya kuhutubia hapa??
Kafanye upya research yako. Kanisa katoliki halina uhaba wa pesa duniani kote. Labda useme lenyewe ndo linaisaidia serikali.Inawezekana sana