Mbeya: Yaliyojiri katika Kesi ya kupinga mkataba wa Bandari na DP WORLD - Julai 26, 2023

Mbeya: Yaliyojiri katika Kesi ya kupinga mkataba wa Bandari na DP WORLD - Julai 26, 2023

wakili Mwabukusi kwamba; Waheshimiwa majaji, Katika kesi ya Day care Vs. Commercial bank Tanzania Ltd ukurasa wa 10 par 2 mstari wa pili. Kunamaneno yanasema. Ili mkataba kuwa na nguvu ya kisheria: free consent of the part, competent to contract and lawful consideration. Kwakua DP WORLD sio competent by virtue of Section 2,10,11(1] of the law of contract. Tunaomba muone kwamba mkataba huu unakosa sifa za kisheria. Na kukosekana kwa issue hizo kunathibitisha mkataba huu ni batili. Its void abuinitial.
 
Mdude_Nyagali tunaomba uendelee hivi hivi na hizi updates za kesi mpaka mwisho wake. Tafadhali, usije ukatuacha njiani. Wananchi tusije kulishwa matango pori na wanasiasa wa mchongo kina Dr Tulia & Co Ltd.

Swala hili ni la kitaifa, kesi hii ni ya kitaifa, sio ya kisiasa au kichama cha siasa fulani, au itikadi fulani.

Mungu akujaalie wepesi kwenye kutupa hivi updates JamiiForums!!!

#Tutakuchangia Hata Hela Ya BUNDLE kwaajili ya updates za kesi.

#Tuepuke Ubaguzi wa Dini, Ubaguzi Wa Rangi, Ubaguzi Wa Kitaifa, Ubaguzi Wa Kichama, Ubaguzi Wa Kiitikadi. Watanzania ni wa moja! Mungu Ibariki Tanzania!

NOTE THAT: For reference;

kwa juu ongeza kwa kuandika Siku ya kesi, kama ni Day One/Siku Ya Kwanza au Day Two/Siku Ya Pili au Day Three/Siku Ya Tatu. Ituasidie kwenye kumbukumbu, kufuatilia kwa ukaribu siku hadi siku na kutusaidia kubishana kwa hoja zenye mashiko kutokana na siku ya kesi ilivyokwenda.
 
wakili Mwabukusi kwamba; Waheshimiwa majaji, Katika kesi ya Day care Vs. Commercial bank Tanzania Ltd ukurasa wa 10 par 2 mstari wa pili. Kunamaneno yanasema. Ili mkataba kuwa na nguvu ya kisheria: free consent of the part, competent to contract and lawful consideration. Kwakua DP WORLD sio competent by virtue of Section 2,10,11(1] of the law of contract. Tunaomba muone kwamba mkataba huu unakosa sifa za kisheria. Na kukosekana kwa issue hizo kunathibitisha mkataba huu ni batili. Its void abuinitial.
Mwabukusi ni noma
 
Mwabukusi ni noma
Kweli Mwambukusi ni noma kamaliza kesi kwa kuthibitisha kuwa IGA siyo mkataba kwa mjibu wa sheria. Bandari walisema hivyo; mwanasheria mkuu wa serikali alisema hivyo; wizara ya ujenzi ilisema hivyo; na bunge lilisema hivyo kilichpo ni makubaliano
 
Kweli Mwambukusi ni noma kamaliza kesi kwa kuthibitisha kuwa IGA siyo mkataba kwa mjibu wa sheria. Bandari walisema hivyo; mwanasheria mkuu wa serikali alisema hivyo; wizara ya ujenzi ilisema hivyo; na bunge lilisema hivyo kilichpo ni makubaliano
Ndiyo maana alisema Waziri na Waziri mkuu wanasema wamepitisha makubaliano lakini bungeni hansard zinaonesha ni mkataba.

At the same time Bunge halina mamlaka ya kujadili MoU.

Kuipata logic ya hawa mawakili unahitaji ku_stretch ubongo kidogo
 
Mama acheze kwa akili ajishushe tu akubali aibu anayoweza kuifuta kwa kushusha gharama za mabando.

Hii ngoma ikipita wakiilazimisha ipitr Rais atakuwa kajiweka danger zone.

Inaweza kuleta mwamko zaidi wa watu kujiita watanganyika na kuchukiana na wazanzibari, hapa iwe isiwe rais ajae akitokea huku basi wazanzibar wajiandae kupewa dawa chungu hawajawahi kunyweshwa.
Ukitumia busara utagundua uhuru Ambao Mhe. Rais ametoa kwa watu wake. Hatahivyo kwa busara hiyo hiyo utagundua Mhe.Rais atakavyoiacha huru Mahakama. Ni wakati wa kumuacha Mama afuatilie mwenyewe. Na sisi tujifunze toka kwa wasomi wetu huko Mbeya.
 
Ndiyo maana alisema Waziri na Waziri mkuu wanasema wamepitisha makubaliano lakini bungeni hansard zinaonesha ni mkataba.

At the same time Bunge halina mamlaka ya kujadili MoU.

Kuipata logic ya hawa mawakili unahitaji ku_stretch ubongo kidogo
Nadhani, kwa maoni yangu issue ya kwanza ni JE IGA NI MKATABA AU NI MAKUBALIANO?
 
Mama acheze kwa akili ajishushe tu akubali aibu anayoweza kuifuta kwa kushusha gharama za mabando.

Hii ngoma ikipita wakiilazimisha ipitr Rais atakuwa kajiweka danger zone.

Inaweza kuleta mwamko zaidi wa watu kujiita watanganyika na kuchukiana na wazanzibari, hapa iwe isiwe rais ajae akitokea huku basi wazanzibar wajiandae kupewa dawa chungu hawajawahi kunyweshwa.
Rais hatishwi kwa maneno ya JF ni cheo kikubwa sana.
 
Back
Top Bottom