E Earthmover JF-Expert Member Joined Sep 28, 2012 Posts 24,977 Reaction score 23,799 Aug 17, 2023 #121 Kamanda Asiyechoka said: View attachment 2719056 Click to expand... Mungu ni MWEMA
M Mwanamlya JF-Expert Member Joined Dec 6, 2021 Posts 2,763 Reaction score 4,386 Aug 17, 2023 #122 Billion Dolar said: Unamwacha kicheko akufundishe kuongiza unategemea mazuri mzee yule anachojua ni kuchekacheka tu Click to expand... Jakaya
Billion Dolar said: Unamwacha kicheko akufundishe kuongiza unategemea mazuri mzee yule anachojua ni kuchekacheka tu Click to expand... Jakaya
Orketeemi JF-Expert Member Joined Feb 12, 2013 Posts 5,063 Reaction score 12,866 Aug 17, 2023 #123 Funa the Great said: Wewe hata kituoni haujawahi kaa umekariri eti wananyea ndo, central police kuna mpaka mabafu uongelea ndoo ya kunyea... Click to expand... Kunyea ndoo ni symbolism It means wanapata tabu
Funa the Great said: Wewe hata kituoni haujawahi kaa umekariri eti wananyea ndo, central police kuna mpaka mabafu uongelea ndoo ya kunyea... Click to expand... Kunyea ndoo ni symbolism It means wanapata tabu
mahindi hayaoti mjini JF-Expert Member Joined Nov 29, 2022 Posts 2,120 Reaction score 2,709 Aug 17, 2023 #124 Na ikiwa watatoka salama hakuna atakaekuwa na hamu na siasa, famchezo nini, Mahaini dawa yao ni kunyonga tu
Na ikiwa watatoka salama hakuna atakaekuwa na hamu na siasa, famchezo nini, Mahaini dawa yao ni kunyonga tu
Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 6,782 Reaction score 14,148 Aug 17, 2023 #125 Erythrocyte said: Kwenye umati mkubwa kama huu wa Mawakili kuna umuhimu wake , hii ni kwa sababu Dunia nzima itafuatilia kesi hii Click to expand... sawa kuna wengine 100 wapo njiani jumla watakua 200 na Robert Armstadarm ndani.
Erythrocyte said: Kwenye umati mkubwa kama huu wa Mawakili kuna umuhimu wake , hii ni kwa sababu Dunia nzima itafuatilia kesi hii Click to expand... sawa kuna wengine 100 wapo njiani jumla watakua 200 na Robert Armstadarm ndani.
B bin haroub JF-Expert Member Joined Jun 19, 2023 Posts 1,662 Reaction score 812 Aug 17, 2023 #126 Bush Dokta said: Ni katiba ya hovyo sana kwa maendeleo ya Taifa Click to expand... Hiyo katiba ni urithi aliotuachia mwalimu nyerere
Bush Dokta said: Ni katiba ya hovyo sana kwa maendeleo ya Taifa Click to expand... Hiyo katiba ni urithi aliotuachia mwalimu nyerere