2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Hii kila mtu kichwani mwake kila mmoja na maamuzi yake kwenye box
MBEZI BEACH
Ila ni kwamba Mbezi beach,Tegeta maeneo ya Kawe yalionekana ya hadhi sana ukiangalia mpangilio na geografia ya maeneo hayo yamepangwa vizuri na hata ujenzi wa nyumba zake kidogo ni za hadhi ya juu. Katika pita pita zangu panavitia sana lakini MITAA NI MIBOVU HAKUNA NJIA ZA LAMI jambo kumeendelea toka kitambo.
MTONI KIJICHI
Huku mtoni kimegawanyika kuna maeneo yaliyopimwa na ya kawaida,ila kwenye makazi si haba japo ni mji flan unaokuja juu kwa kasi sana mitaa yote ina lami na taa zake hata ile mitaa isiyopitika kwa gari imejengwa vizuri kabisa. Kiukweli ukiambiwa uchague sehem ya kuishi kwa sasa kati ya hizo sehem mbili lazima uchague Mtoni Kijichi tu.
Sasa tujiulize ni wabunge gani wameongoza haya maeneo? Ni vyama gani vinaongoza haya maeneo? Kwa upande Mtoni Kijichi CCM.
MBEZI BEACH
Ila ni kwamba Mbezi beach,Tegeta maeneo ya Kawe yalionekana ya hadhi sana ukiangalia mpangilio na geografia ya maeneo hayo yamepangwa vizuri na hata ujenzi wa nyumba zake kidogo ni za hadhi ya juu. Katika pita pita zangu panavitia sana lakini MITAA NI MIBOVU HAKUNA NJIA ZA LAMI jambo kumeendelea toka kitambo.
MTONI KIJICHI
Huku mtoni kimegawanyika kuna maeneo yaliyopimwa na ya kawaida,ila kwenye makazi si haba japo ni mji flan unaokuja juu kwa kasi sana mitaa yote ina lami na taa zake hata ile mitaa isiyopitika kwa gari imejengwa vizuri kabisa. Kiukweli ukiambiwa uchague sehem ya kuishi kwa sasa kati ya hizo sehem mbili lazima uchague Mtoni Kijichi tu.
Sasa tujiulize ni wabunge gani wameongoza haya maeneo? Ni vyama gani vinaongoza haya maeneo? Kwa upande Mtoni Kijichi CCM.