hatukufwata barabara wala mataa barabarani, na kama tunataka tutaweka wenyewe hali zetu zinaporuhusu
Tanga/Tabora/Morogoro/Dodoma kila siku CCM inaongoza kumefanyika nini?
miaka 59 ya Uhuru bado unaitikadi za kikoloni,serious??
2015 - nilimchagua Kippi na Magufuli
2020 - nitamchagua Halima na yeyote toka upinzani, na bado ntabaki na kadi yangu ya CCM
kaa ukijua Mbezi Beach/Kilongawima/Salasala/Bahari beach/Ununio/Mbweni/Tegeta/Boko/Bunju etc tunajitambua usitufananishe na wa Ulanga au Muheza sijui Tabora na Dodoma