Kama mnajitambua ndio mtabak hivyo hivyohatukufwata barabara wala mataa barabarani, na kama tunataka tutaweka wenyewe hali zetu zinaporuhusu
Tanga/Tabora/Morogoro/Dodoma kila siku CCM inaongoza kumefanyika nini?
miaka 59 ya Uhuru bado unaitikadi za kikoloni,serious??
2015 - nilimchagua Kippi na Magufuli
2020 - nitamchagua Halima na yeyote toka upinzani, na bado ntabaki na kadi yangu ya CCM
kaa ukijua Mbezi Beach/Kilongawima/Salasala/Bahari beach/Ununio/Mbweni/Tegeta/Boko/Bunju etc tunajitambua usitufananishe na wa Ulanga au Muheza sijui Tabora na Dodoma
Upinzani si huwa wanaambiwa na wakubwa wao wasishirikiane na ccm..ndii hata bungeni miaka kumi ya jk na miaka mitano ya magu hawajawahi kuunga mkono hoja yoyote kulingana na kauli ya spika wa bunge.Na bado sababu watashinda tena. Wanaoisoma zaidi ni wale wanaochagua wapinzani
Ipi ni ipi?Huwezi fananisha New York na Soweto
Hii kila mtu kichwani mwake kila mmoja na maamuzi yake kwenye box
MBEZI BEACH
Ila ni kwamba Mbezi beach,Tegeta maeneo ya Kawe yalionekana ya hadhi sana ukiangalia mpangilio na geografia ya maeneo hayo yamepangwa vizuri na hata ujenzi wa nyumba zake kidogo ni za hadhi ya juu.
Katika pita pita zangu panavitia sana lakini MITAA NI MIBOVU HAKUNA NJIA ZA LAMI jambo kumeendelea toka kitambo.
MTONI KIJICHI
Huku mtoni kimegawanyika kuna maeneo yaliyopimwa na ya kawaida,ila kwenye makazi si haba japo ni mji flan unaokuja juu kwa kasi sana mitaa yote ina lami na taa zake hata ile mitaa isiyopitika kwa gari imejengwa vizuri kabisa.
Kiukweli ukiambiwa uchague sehem ya kuishi kwa sasa kati ya hizo sehem mbili lazima uchague Mtoni Kijichi tu.
Sasa tujiulize ni wabunge gani wameongoza haya maeneo? Ni vyama gani vinaongoza haya maeneo? Kwa upande Mtoni Kijichi CCM.