Mbezi Beach wamekosaje lami? Mbona Mbweni, Manzese na Yombo kuna lami?

Mbezi Beach wamekosaje lami? Mbona Mbweni, Manzese na Yombo kuna lami?

Masaki ina lami miaka mingi mkuu kutokana na hadhi yake...

Mbweni nayo lami haipo kila mahali bali barabara muhimu tu kama ilivyo kwa Mbezi Beach...

Pia kwa Dar kuna maeneo lami zinapelekwa kutokana na uwepo wa kiongozi au viongozi fulani...reference zipo nyingi tu
Mfano Mbweni yuko SSH
 
Mbezi beach nilisikia lie barabara ya JK Nyerere inawekwa rami. Not sure though, maana mambo ya Tz hayaeleweki. Inategemea mtawala ameamkaje.
 
Kuna kitu kinanishangaza Sana...ukienda Manzese Hadi vichochoroni kuna lami...ukienda Yombo kuna lami mitaani tu huko Buza Hadi vibarazani kuna lami...

Ukifika Mbezi Beach ukishatoka Bagamoyo road Tu ni vumbi juu ya vumbi...majumba makali ...eneo planned lakini barabara vumbi....wakati ukienda Mbweni JKT angalau kuna lami za mtaani kiasi lakini Mbezi beach vumbi vumbi.....yaani Manzese Hadi mto umepigwa zege.....

Kuna mtu anajua why???
Huko hivi kuna nani maana ukweli nyumba kali maghorofa barabara vumbi. Mvua ikinyesha ndio utafikiri kuna mtu ana ugomvi na watu wa mbezi beach.
 
Huko hivi kuna nani maana ukweli nyumba kali maghorofa barabara vumbi. Mvua ikinyesha ndio utafikiri kuna mtu ana ugomvi na watu wa mbezi beach.
Mbezi beach mitaa yote haiwezi kupigwa lami mzee,kutokana na ujenzi na miundo mbinu watu walivyojenga

Ova
 
Huko hivi kuna nani maana ukweli nyumba kali maghorofa barabara vumbi. Mvua ikinyesha ndio utafikiri kuna mtu ana ugomvi na watu wa mbezi beach.
Hivi huko sahv kuna mfumo wa maji taka kuelekea baharini?

Ova
 
Back
Top Bottom