mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hivi huko nyumba zinejengwa kimtaa au [emoji1]Manispaa ya Ubungo hasa KIBAMBA watukumbuke vumbi tupu,,
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huko nyumba zinejengwa kimtaa au [emoji1]Manispaa ya Ubungo hasa KIBAMBA watukumbuke vumbi tupu,,
Mbweni sa100 anamakazi yake,Dah ilinipita hii ..
Sasa mbona Masaki kuna lami
Mbweni kuna lami?..
Why mbezi beach ndo kama imerukwa
Mbweni lami imetapakaa sababu SS ana mjiMasaki ina lami miaka mingi mkuu kutokana na hadhi yake...
Mbweni nayo lami haipo kila mahali bali barabara muhimu tu kama ilivyo kwa Mbezi Beach...
Pia kwa Dar kuna maeneo lami zinapelekwa kutokana na uwepo wa kiongozi au viongozi fulani...reference zipo nyingi tu
Mbweni lami imetapakaa sababu SS ana mji
Tanga pia upo.Dodoma baadhi ya maeneo mfumo wa maji taka upo.
Unaongelea mbezi beach ipi?
Tanzania ukiondoa Kariakoo na Posta hakuna sehemu kuna mfumo wa maji taka.
Na kwa Mbezi Beach huo mfumo unajengwa kuanzia mwakani
Ikiwa unazungumzia mradi wa DMDP ulikuwepo tangu enzi ya JK, implementation ilianza mwaka 2015 (kabla uchaguzi)Hayo maeneo watu walisahaulika sana kwa huduma nyingi. JPM akawapelekea maji, barabara zenye taa na zahanati.
Na huko ndio linatoka kundi kubwa la wapiga kura. Kisha mtu anakuambia JPM aliiba kura.
Umefika mbweni lini?Masaki ina lami miaka mingi mkuu kutokana na hadhi yake...
Mbweni nayo lami haipo kila mahali bali barabara muhimu tu kama ilivyo kwa Mbezi Beach...
Pia kwa Dar kuna maeneo lami zinapelekwa kutokana na uwepo wa kiongozi au viongozi fulani...reference zipo nyingi tu
Ni TOR za DMDPNa yombo?? Manzese??
Umefika mbweni lini?
Kuna mabadiliko makubwa lami ni nyingi zimejengwa hivi Karibuni.Mwaka mmoja hivi uliopita...
Mbezi beach hakuna lami wakati nyamalapa,luguru,mwaumisisi,kidulya Hadi sapiwi ni lami???huu Ni utani aiseeeKuna kitu kinanishangaza Sana...ukienda Manzese Hadi vichochoroni kuna lami...ukienda Yombo kuna lami mitaani tu huko Buza Hadi vibarazani kuna lami...
Ukifika Mbezi Beach ukishatoka Bagamoyo road Tu ni vumbi juu ya vumbi...majumba makali ...eneo planned lakini barabara vumbi....wakati ukienda Mbweni JKT angalau kuna lami za mtaani kiasi lakini Mbezi beach vumbi vumbi.....yaani Manzese Hadi mto umepigwa zege.....
Kuna mtu anajua why???
Yaani sijui nani kajamba huko. Yaani wameachwa na mabangaloo na magorofa yao. Magufuli alijua kutoa kipaumbele kwa wananchi wa hali ya chini. Ila utawala huu wa wapigaji sijui kama hela zitafika kwa barabara za mitaa yoyote😂😂Kuna kitu kinanishangaza Sana...ukienda Manzese Hadi vichochoroni kuna lami...ukienda Yombo kuna lami mitaani tu huko Buza Hadi vibarazani kuna lami...
Ukifika Mbezi Beach ukishatoka Bagamoyo road Tu ni vumbi juu ya vumbi...majumba makali ...eneo planned lakini barabara vumbi....wakati ukienda Mbweni JKT angalau kuna lami za mtaani kiasi lakini Mbezi beach vumbi vumbi.....yaani Manzese Hadi mto umepigwa zege.....
Kuna mtu anajua why???
Bahati mbaya kwao maana tulikuwepo na tuliona jinsi mambo yalivyokuwa. Hatukatai kwamba JPM alifanya vitu lakini tena asipewe credit kwa ambavyo siyo vyake. Wenzake kabla pia walijenga barabara na madaraja na kadhalika.Haturuhusiwi kumtaja JK wala Samia kwenye miradi....miradi ina mwenyewe 😅
Waliiba kura 100%, na pesa ni za walipa kodi sio JPM, kuwa chawa sio lazima ujitoe akiliHayo maeneo watu walisahaulika sana kwa huduma nyingi. JPM akawapelekea maji, barabara zenye taa na zahanati.
Na huko ndio linatoka kundi kubwa la wapiga kura. Kisha mtu anakuambia JPM aliiba kura.