Mbezi Beach wamekosaje lami? Mbona Mbweni, Manzese na Yombo kuna lami?

Mbezi Beach wamekosaje lami? Mbona Mbweni, Manzese na Yombo kuna lami?

Masaki ina lami miaka mingi mkuu kutokana na hadhi yake...

Mbweni nayo lami haipo kila mahali bali barabara muhimu tu kama ilivyo kwa Mbezi Beach...

Pia kwa Dar kuna maeneo lami zinapelekwa kutokana na uwepo wa kiongozi au viongozi fulani...reference zipo nyingi tu
Mbweni lami imetapakaa sababu SS ana mji
 
Hayo maeneo watu walisahaulika sana kwa huduma nyingi. JPM akawapelekea maji, barabara zenye taa na zahanati.

Na huko ndio linatoka kundi kubwa la wapiga kura. Kisha mtu anakuambia JPM aliiba kura.
Ikiwa unazungumzia mradi wa DMDP ulikuwepo tangu enzi ya JK, implementation ilianza mwaka 2015 (kabla uchaguzi)
 
Masaki ina lami miaka mingi mkuu kutokana na hadhi yake...

Mbweni nayo lami haipo kila mahali bali barabara muhimu tu kama ilivyo kwa Mbezi Beach...

Pia kwa Dar kuna maeneo lami zinapelekwa kutokana na uwepo wa kiongozi au viongozi fulani...reference zipo nyingi tu
Umefika mbweni lini?
 
Ikiwa unazungumzia mradi wa DMDP ulikuwepo tangu enzi ya JK, implementation ilianza mwaka 2015 (kabla uchaguzi)
Haturuhusiwi kumtaja JK wala Samia kwenye miradi....miradi ina mwenyewe 😅
 
wakazi wa maeneo hayo si wachange tu pesa zao...waweke barabara za zege
 
Kuna kitu kinanishangaza Sana...ukienda Manzese Hadi vichochoroni kuna lami...ukienda Yombo kuna lami mitaani tu huko Buza Hadi vibarazani kuna lami...

Ukifika Mbezi Beach ukishatoka Bagamoyo road Tu ni vumbi juu ya vumbi...majumba makali ...eneo planned lakini barabara vumbi....wakati ukienda Mbweni JKT angalau kuna lami za mtaani kiasi lakini Mbezi beach vumbi vumbi.....yaani Manzese Hadi mto umepigwa zege.....

Kuna mtu anajua why???
Mbezi beach hakuna lami wakati nyamalapa,luguru,mwaumisisi,kidulya Hadi sapiwi ni lami???huu Ni utani aiseee
 
Kuna kitu kinanishangaza Sana...ukienda Manzese Hadi vichochoroni kuna lami...ukienda Yombo kuna lami mitaani tu huko Buza Hadi vibarazani kuna lami...

Ukifika Mbezi Beach ukishatoka Bagamoyo road Tu ni vumbi juu ya vumbi...majumba makali ...eneo planned lakini barabara vumbi....wakati ukienda Mbweni JKT angalau kuna lami za mtaani kiasi lakini Mbezi beach vumbi vumbi.....yaani Manzese Hadi mto umepigwa zege.....

Kuna mtu anajua why???
Yaani sijui nani kajamba huko. Yaani wameachwa na mabangaloo na magorofa yao. Magufuli alijua kutoa kipaumbele kwa wananchi wa hali ya chini. Ila utawala huu wa wapigaji sijui kama hela zitafika kwa barabara za mitaa yoyote😂😂
 
Haturuhusiwi kumtaja JK wala Samia kwenye miradi....miradi ina mwenyewe 😅
Bahati mbaya kwao maana tulikuwepo na tuliona jinsi mambo yalivyokuwa. Hatukatai kwamba JPM alifanya vitu lakini tena asipewe credit kwa ambavyo siyo vyake. Wenzake kabla pia walijenga barabara na madaraja na kadhalika.
 
Hayo maeneo watu walisahaulika sana kwa huduma nyingi. JPM akawapelekea maji, barabara zenye taa na zahanati.

Na huko ndio linatoka kundi kubwa la wapiga kura. Kisha mtu anakuambia JPM aliiba kura.
Waliiba kura 100%, na pesa ni za walipa kodi sio JPM, kuwa chawa sio lazima ujitoe akili
 
Back
Top Bottom