Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Kwani Mradi wa DMDP ya Mwaka huu 2023/2024 Itajenga barabari zipi?
Sijujua lakini mwa taarifa zilizopo Tamisemi zinaonesha vipaumbele vimewekwa Temeke, Kigamboni, Kinondoni, Ubungo na Halmashauri ya DSM...
Awamu hii ya pili imetengwa bajeti ya shilingi bilioni 800, na wataanza kutekeleza mradi huo next year April...
CC The Boss
MIKATABA YA UTEKELEZAJI MRADI WA UENDELEZAJI WA JIJI LA DAR ES SALAAM DMDP 2 YASAINIWA