HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Walichojitahidi ni kuweka mitaro baada ya Lukuvi kuhamia na kuweka lami bandia hadi kwa LukuviHakuna kobomoa mbezi beach..kulishapimwa kote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walichojitahidi ni kuweka mitaro baada ya Lukuvi kuhamia na kuweka lami bandia hadi kwa LukuviHakuna kobomoa mbezi beach..kulishapimwa kote
Kuna hii lami ya Njia nne Goba, kwenda Matosa Kimara ni below standard kabisa.Nimepita njia ya Mbezi - Makabe nikaumia sana kuona barabara inayowekwa lami yaani ni below standard
Mbweni palipangwa toka enzi za Mkapa kwa Viwanja 20,000Alijenga yeye lami Samia?
Au hujui zimejengwa wakati gani?
Mbona barabara zimechongwa kuanzia Kanisa Road hadi KidimbwiUneongea vizuri mkuu,nilienda Mbezi beach kule kwa Zenna kuna makorongo kabsaa...ila majumba ni ya kifahari kuuliza nikaambiwa wanaoishi huko wala hawana shida na lami...hali ikizidi wao wananunua tu magari yenye uwezo wakupita kwenye njia zenye shuruba kama hizo.
Eeeh Bwana eeh..samia,majaliwa na vigogo wengine kweli wamejimegea mji wao...nilipita ni kuzuri sana na wamejitenga ...modern and well plannedHahaahaa Chief Hangaya kajipakulia Minyama ,Nyumba Yake imezungukwa na Lami yaani LATRA/KMC/TANROAD wamepekela lami kuanzia Boko Magengeni hadi kwa Samia Mbweni Beach.
Cc: Bushmamy
Eeeh Bwana eeh..samia,majaliwa na vigogo wengine kweli wamejimegea mji wao...nilipita ni kuzuri sana na wamejitenga ...modern and well planned
Anaingilia Ununuo anatokea Magengeni🤣🤣🤣
Minyama steki tupu.Kabisa anaingia njia zote akitokea Ununio anaingia Jeshini Ndege Beach anaikamata barabara ya kwanza kisha hadi kwake Mbweni Beach then akitoka akipita darajani pale anakuja kutokea round about anaikamata Boko Magengeni.
Vigogo wamejipakulia minyama.
Cc: Bushmamy
Hapa chini ni moja ya vigezo vya miradi ya DMDP ambapo ukitazama maeneo tajwa, utaona ni zile sehemu ambazo zilisahaulika...
iii) Kupandisha hadhi makazi yaliyopangwa kiholela katika Kata 14 za Tandale, Mburahati, Mwananyamala, Gongo la Mboto, Kiwalani, Ukonga, Keko, Kilakala, Mbagalakuu, Mbagala, Mtoni, Yombo Vituka, Kijichi na Makangarawe kwa kujenga kilometa 145 kwa kiwango cha lami, kuweka nyenzo za ukusanyaji wa taka ngumu, kujenga mitaro ya kutiririsha maji ya mvua, kuweka taa za barabarani, kujenga njia za watembea kwa miguu, ujenzi wa maeneo ya mapumziko na vituo vya mabasi, ujenzi wa vyoo vya umma na ujenzi wa maeneo ya michezo.
Mkuu hiyo kawaida kwa viongozi wa kiafrika,maendeleo yatakuja mpaka watu fulani wakiwepo maeneo hyoHahaahaa Chief Hangaya kajipakulia Minyama ,Nyumba Yake imezungukwa na Lami yaani LATRA/KMC/TANROAD wamepekela lami kuanzia Boko Magengeni hadi kwa Samia Mbweni Beach.
Cc: Bushmamy
Lami itapigwa kwa baadhi ya mitaa tu maana kuna nyumba zingine zmejengwa mitaa haitokiMbezi beach B imepangiliwa, hakuna viwanja ambavyo havijapimwa hii inaanzia Afrikana yote hadi Jangwani, Makonde
Mbweni kumepangika kuliko hata mbezi beachMbweni palipangwa toka enzi za Mkapa kwa Viwanja 20,000
Lami imepita toka awamu ya 5
Watu wanataka lami za ndani ya mitaaKwa Taarifa ndugu mtoa mada kama ulikuwa ufahamu Rami zinaanza kujengwa mbezi beach ya chini na njia kuu za kupandisha Mbezi juu
Barabara za lami zinapandisha hadhi ya eneo...Kabisa anaingia njia zote akitokea Ununio anaingia Jeshini Ndege Beach anaikamata barabara ya kwanza kisha hadi kwake Mbweni Beach then akitoka akipita darajani pale anakuja kutokea round about anaikamata Boko Magengeni.
Vigogo wamejipakulia minyama.
Cc: Bushmamy
Barabara za lami zinapandisha hadhi ya eneo...
Ova
Huko wanajua hakuna watu wenye hadhi kubwa wanaoweza kuhoji ndio maana wanajenga kwa kujiachia watakavyo. Huwezi kuta ujinga huu unafanyika ununio, mbweni nk. Nchi hii shida sana. Binafsi nimetokea kumchukia sana Mbarawa na watendaji wa TANROAD. Natamani Wizara ya UJENZI ingekuwa na waziri kama William Lukuvi, yule mzee angeshapita yeye mwenyewe kwenye hizi barabara zote za mbezi, mpiji, Makabe na Matosa na angewakimbiza sana hawa wababaishaji wa TANROAD. MBARAWA YEYE YUPO TU OFISINI AKISUBIRIA TAARIFA.Kuna hii lami ya Njia nne Goba, kwenda Matosa Kimara ni below standard kabisa.
Huwa najiuliza hivi serikali huwa wanakagua hii miradi kweli?
Ni uharibifu wa pesa za walipa kodi