Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Ubungo nayo si ilikuwa chini ya upinzani,hacha ujinga kwani upinzani unahusiana nini wao ndo wanajenga barabara?
Kawe ilikuwa chini ya upinzani wakati wa miradi ya barabara...
Pili, mradi wa ujenzi wa barabara ulilenga baadhi ya maeneo tu na mengi ni yale yenye watu wa kipato cha chini...