Chizi Jambazi
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,769
- 1,379
Mfano Mbweni yuko SSHMasaki ina lami miaka mingi mkuu kutokana na hadhi yake...
Mbweni nayo lami haipo kila mahali bali barabara muhimu tu kama ilivyo kwa Mbezi Beach...
Pia kwa Dar kuna maeneo lami zinapelekwa kutokana na uwepo wa kiongozi au viongozi fulani...reference zipo nyingi tu
Huko hivi kuna nani maana ukweli nyumba kali maghorofa barabara vumbi. Mvua ikinyesha ndio utafikiri kuna mtu ana ugomvi na watu wa mbezi beach.Kuna kitu kinanishangaza Sana...ukienda Manzese Hadi vichochoroni kuna lami...ukienda Yombo kuna lami mitaani tu huko Buza Hadi vibarazani kuna lami...
Ukifika Mbezi Beach ukishatoka Bagamoyo road Tu ni vumbi juu ya vumbi...majumba makali ...eneo planned lakini barabara vumbi....wakati ukienda Mbweni JKT angalau kuna lami za mtaani kiasi lakini Mbezi beach vumbi vumbi.....yaani Manzese Hadi mto umepigwa zege.....
Kuna mtu anajua why???
Mbezi beach mitaa yote haiwezi kupigwa lami mzee,kutokana na ujenzi na miundo mbinu watu walivyojengaHuko hivi kuna nani maana ukweli nyumba kali maghorofa barabara vumbi. Mvua ikinyesha ndio utafikiri kuna mtu ana ugomvi na watu wa mbezi beach.
Hivi huko sahv kuna mfumo wa maji taka kuelekea baharini?Huko hivi kuna nani maana ukweli nyumba kali maghorofa barabara vumbi. Mvua ikinyesha ndio utafikiri kuna mtu ana ugomvi na watu wa mbezi beach.