Mbezi mwisho ingejengwa hivi, Tanroad wangepungukiwa na nini?

Mbezi mwisho ingejengwa hivi, Tanroad wangepungukiwa na nini?

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Kila siku najiuliza kwanini hawa Tanroad wanafanya vitu kwa kubashiri sana.. Huwa nikipita pale mbezi mwisho naumia sana wanavyo lichezea lile eneo.

Kama ni Mhandisi usipite pale unaweza zimia kwa vituko tanroad wanatufanyia.

Design za barabara (highway) nyingi zinaeleweka, kwanini kujifanya mna ubunifu wakati mnachezea pesa za kodi na kuharibu maeneo ambayo yangeweza rahisisha maisha ya watanzania.

Consultant wa barabara ya Kimara vs Kibaha sijui mlimtoa wapi?

Mbona Kenya wanafanya vitu vizuri kabisa.. Kwani ni dhambi kukopi?
FB_IMG_1643610520102.jpeg
FB_IMG_1643605248190.jpeg
 
Mkuu ingetumika ramani hiyo kuna watu wangekosa ulaji wa ten percent.
Naamini Tanroads officials wana exposure za kutosha maana hata hapo Nairobi tu kuna structures za Kenya ambazo zimejengwa locations zinazofanana kitabia na Mbezi.

Mbezi patajengwa flyover ila baada ya watu kula sana kwa white elephants projects, imagine flyover imeenda kujengwa Kibamba CCM kwenda Mloganzila, designer ni mmoja alishindwa nini kuvusha juu barabara ya Goba kwenda Malamba?
 
Mkuu ingetumika ramani hiyo kuna watu wangekosa ulaji wa ten percent.
Naamini tanroads officials wan exposure za kutosha maana hata happ naitobi tu kuna structures za Kenha ambazo zimejengwa locations zinazofanana kitabia na mbezi,
Mbezi patajengwa flyover ila baada ya watu kula sana kwa white elephants projects ,imagine flyover imeenda kujengwa kibamba ccm kwenda mloganzila , designer ni mmoja alishindwa nn kuvusha juu barabara ya goba kwenda malamba ?
Sure nimekuelewa hapa kaka.. na kwa kutokea njia ya Goba pale Mbezi kuna mwinuko natural wa kutosha kukuvusha kwenda njia ya Malamba.. na kwasasa sijui kama kuna mega structures mpya kwa miaka ijayo
 
Pale lazima pajengwe flyover ndio tatizo litaisha, Tanroad wapo kwenye corner the only option ni kufanya kitu sahihi sio bla bla tulizozoea kusikia, hata hizi taa wanazoweka, ni kupoteza tu pesa maana kuna siku zitaprove beyond doubt kuwa sio msaada.
sure nimekuelewa hapa kaka.. na kwa kutokea njia ya goba pale mbezi kuna mwinuko natural wa kutosha kukuvusha kwenda njia ya maramba..na kwasasa sjui kama kuna mega structures mpya kwa miaka ija
 
Hiyo barabara ya njia 3 ilikuwa msaada toka world bank tukawakorofisha na ujenzi umekuwa wa kususua sua. So huwezi mpelekea lawama Tanroads. Ni sawa leo ukalaumu mkandarasi wa barabara ya mwenge kwa nini hakumalizia na flying over pale makutano

Ukweli hapo Mbezi mwisho kuna itaji u-turn sample iyo na zile sehemu zingine za katikati ambapo gari hupishana mfano temboni.
 
33Flyover ya ubungo imetatua tatizo la foleni forever.
Sio foerver mkuu , just matter of time , tutakuja kujua tulikosea , kumbuka wanaopita salama na kwa uhakika pale ni directions nne tu , kati ya 12 zilizopo, kwa maana ya kuwa directions nane( 8) bado zinategemea taa, put it simple zile flyover kitaalamu hazijatatua hata nusu ya tatizo kwenye junctions, ndio sbabu Tazara panasumbua na hata ile ya uhasibu ikikamilika bado foleni itasumbua.

Uzuri internet haisahau , huko mbele lazima tujenge kwa mfumo sahihi
 
Hatuna haja ya kujifananisha na yeyote akiwemo (KENYA) na kuhusu kinachofanyika palee ngoja kikamilike utakuja hapa kupongeza.. mbuyu ukiwa mdogo mdogo hauwezi kuupa heshima kama mbuyu ukishapevuka ki umbo
 
Usijifariji.. najua wewe unatoka kile kitengo cha ushauri cha Tanroad ambao ndio mmeharibu mradi mzima wa highway toka kimara vs kibaha..

Internet haidanganyi ila muda utaongea tuu
Hatuna haja ya kujifananisha na yeyote akiwemo (KENYA) na kuhusu kinachofanyika palee ngoja kikamilike utakuja hapa kupongeza.. mbuyu ukiwa mdogo mdogo hauwezi kuupa heshima kama mbuyu ukishapevuka ki umbo
 
Back
Top Bottom