Mbezi mwisho ingejengwa hivi, Tanroad wangepungukiwa na nini?

Mbezi mwisho ingejengwa hivi, Tanroad wangepungukiwa na nini?

Mbona Fly over ipo kwenye plan muda mrefu na imesha anza kujengwa kitambo pale mbezi?
Ujenzi unaoendelea pale ni wa zima moto , baada ya kuona junctions ile imeshakuwa notoriously danger .
Yani kama kenge ndo anasikia sasa baada ya damu kutoka masikioni.

For future reference hizi taa zote zilizowekwa kwenye barabara hiyo kuanzia stop over , zitaprove failure na itakuja kuamliwa kuwa flyover is the best answer , wakati huo itakuwa ni turufu ya kuombea kura na fursa ya kuchezea kodi zetu kwa mara nyingine.
 
Kwa landscape ya kimara hadi kibaha, ni rahisi sana ..
Ujenzi unaoendelea pale ni wa zima moto , baada ya kuona junctions ile imeshakuwa notoriously danger .
Yani kama kenge ndo anasikia sasa baada ya damu kutoka masikioni.

For future reference hizi taa zote zilizowekwa kwenye barabara hiyo kuanzia stop over , zitaprove failure na itakuja kuamliwa kuwa flyover is the best answer , wakati huo itakuwa ni turufu ya kuombea kura na fursa ya kuchezea kodi zetu kwa mara nyingine.
 
Lile daraja la waenda kwa miguu ndio kichekesho zaidi.

Yaani unapitisha watu juu ya main road then unakwenda kuwatupia barabarani tena.

Angalia abiria wanavyotaabika kukwepa magari wakitoka au kuelekea pale Magufuli Bus Terminal.
 
ulipaswa upeleke wazo hili mapema, lkn hata sasa hujachelewa, endapo wazo lina manufaaa litatekelezwa.
 
Ngoja pakamilike MKUU.. ntakutafuta [emoji1431]
Kuna project naiona inaendelea pale siielewi, ni kama flyover inajengwa pale, either mbili au moja nimeona. Kuna upanuzi wa barabara ya kwenda na kutoka kwa magufuli. Kama una hints toa tuone kinachoendelea.

Nashindwa kuelewa kwa nini kuna project inaendelea na hakuna mchoro popote yaani bango kuonyesha nini kinafanyika.
 
Pale kuna makazi yangebidi kuondoka na kuna watu wangelia kunyanyaswa.
 
Pia pale watajenga kituo cha mwendokasi,, hao abiria wa mwendokasi watatokaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lile daraja la waenda kwa miguu ndio kichekesho zaidi.

Yaani unapitisha watu juu ya main road then unakwenda kuwatupia barabarani tena.

Angalia abiria wanavyotaabika kukwepa magari wakitoka au kuelekea pale Magufuli Bus Terminal.
 
Pale kuna makazi yangebidi kuondoka na kuna watu wangelia kunyanyaswa.
Hivi design kama hii ina hitaji eka ngapi
FB_IMG_1643648148714.jpeg
 
Flyove Ubungo imepunguza foleni bana, acha ubishi.

Kwa wanaopita pale chini, hawakai zaidi ya dakika mbili taa zinaruhusu.
Naongelea future sio sasa ,
Ubungo pana historia ya kusumbua kadiri popolation ya kimara na mbezi inavyokuwa,
Halafu nimeongelea facts , kati ya directions 12 , ni 4 tu ndo zinapita bila taa , 8 zinategemea taa hivi bado unamini tjmetatua tatizo hapo? , Hqpp imepatikana nafuu tu
 
Naongelea future sio sasa ,
Ubungo pana historia ya kusumbua kadiri popolation ya kimara na mbezi inavyokuwa,
Halafu nimeongelea facts , kati ya directions 12 , ni 4 tu ndo zinapita bila taa , 8 zinategemea taa hivi bado unamini tjmetatua tatizo hapo? , Hqpp imepatikana nafuu tu
Population ya Kimara na Mbezi imesha-saturate. ikue iende wapi. Tayari maeneo yote (viwanja) vya Kimara na Mbezi vimejaa kwa makazi.
 
Hivi design kama hii ina hitaji eka ngapiView attachment 2103069
Mkulu
Hii ndo plan inayotumika sana RSA, ni simple na inaondoa kabisa foleni pamoja na uhitaji wa taa, hapo direction zote 12 za junctions hiyo zinakuwa zinapita bila kusubiriana
Kwa wale mnaoshabikia madaraja ya ubungo na Tazara , hii ndo structure ilitakiwa ijengwe kama tulikuwa na lengo la kuondoa foleni. Hata hapo mbezi ilitakiwa structure kama hii
Asante sana ,Tabutupu
 
Population ya Kimara na Mbezi imesha-saturate. ikue iende wapi. Tayari maeneo yote (viwanja) vya Kimara na Mbezi vimejaa kwa makazi.
Kimara na mbezi nimetumia kama reference , sasa kiluvya kibaha na mlandizi yake , ndo vitakuwa vinajaza hapo, kama upo makini saa hizi morogoro road foleni ipo kuanzia picha ya ndege kuelekea mlandizi, watu wanajenga huko baada ya kukosa kimara na mbezi, .
 
Mkulu
Hii ndo plan inayotumika sana RSA, ni simple na inaondoa kabisa foleni pamoja na uhitaji wa taa, hapo direction zote 12 za junctions hiyo zinakuwa zinapita bila kusubiriana
Kwa wale mnaoshabikia madaraja ya ubungo na Tazara , hii ndo structure ilitakiwa ijengwe kama tulikuwa na lengo la kuondoa foleni. Hata hapo mbezi ilitakiwa structure kama hii
Asante sana ,Tabutupu
Hii structure kwa pale ubungo isingetosha, kwa Mbezi nakubaliana na wewe kuwa inafaa sana na itapunguza foleni kwa asilimia 100. Ubungo tayari ilishabanwa na hiyo structure inataka space ya kutosha.

Nimeona kuna kazi inafanyika Mbezi, bahati mbaya wakandarasi wapo site bila mabango kuonyesha nini kinajengwa, sijui kama ni sawa katika Ujenzi.
 
Unaweza nipa picha au rejeo la taarifa yako

Mkuu kama wewe ni mkazi wa jijini kama unafika mbezi mara kwa mara utakubaliana na mimi kabla ya kufika karibu na kwenye makutano ya njia panda kwenye goba kuna ujenzi unaendelea na si ujenzi mwingine bali ni fly over kwaajili ya magari ya kwenda goba na mpiji magoe pia
 
Share hiyo plan hapa, kwani ni bangi hata mfiche

Tembelea pale mbezi Pale kwenye daraja la juu stand ya zamani kwa mbele kuna ujenzi unaendelea ambao ni fly over ya magari kwaajili ya goba na mpiji magoe
 
Back
Top Bottom