Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Siku zote bajeti ipo, ishu ni vipaumbele. Inaweza kujengwa kwa awamu kadhaa mpaka ikamilike.Wazo zuri lakini kumbuka vizuri vina gharama, bajeti ipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote bajeti ipo, ishu ni vipaumbele. Inaweza kujengwa kwa awamu kadhaa mpaka ikamilike.Wazo zuri lakini kumbuka vizuri vina gharama, bajeti ipo?
Usijifariji.. najua wewe unatoka kile kitengo cha ushauri cha Tanroad ambao ndio mmeharibu mradi mzima wa highway toka kimara vs kibaha..
Internet haidanganyi ila muda utaongea tuu
Kunakaraha fulani jamii forum unaweza ukakuta unabishana na boss wa mradiUsijifariji.. najua wewe unatoka kile kitengo cha ushauri cha Tanroad ambao ndio mmeharibu mradi mzima wa highway toka kimara vs kibaha..
Internet haidanganyi ila muda utaongea tuu
Flyover Ubungo imepunguza foleni bana, acha ubishi.Sio foerver mkuu , just matter of time , tutakuja kujua tulikosea , kumbuka wanaopita salama na kwa uhakika pale ni directions nne tu , kati ya 12 zilizopo, kwa maana ya kuwa directions nane( 8) bado zinategemea taa, put it simple zile flyover kitaalamu hazijatatua hata nusu ya tatizo kwenye junctions, ndio sbabu Tazara panasumbua na hata ile ya uhasibu ikikamilika bado foleni itasumbua.
Uzuri internet haisahau , huko mbele lazima tujenge kwa mfumo sahihi
Tanroads mna la kujibu, njooniKila siku najiuliza kwanini hawa Tanroad wanafanya vitu kwa kubashiri sana.. Huwa nikipita pale mbezi mwisho naumia sana wanavyo lichezea lile eneo.
Kama ni Mhandisi usipite pale unaweza zimia kwa vituko tanroad wanatufanyia.
Design za barabara (highway) nyingi zinaeleweka, kwanini kujifanya mna ubunifu wakati mnachezea pesa za kodi na kuharibu maeneo ambayo yangeweza rahisisha maisha ya watanzania.
Consultant wa barabara ya kimara vs kibaha sijui mlimtoa wapi?
Mbona kenya wanafanya vitu vizuri kabisa.. kwani ni dhambi kukopi?View attachment 2102241View attachment 2102251
Kwa akili zao watakuambia hiyo ni anasaKila siku najiuliza kwanini hawa Tanroad wanafanya vitu kwa kubashiri sana.. Huwa nikipita pale mbezi mwisho naumia sana wanavyo lichezea lile eneo.
Kama ni Mhandisi usipite pale unaweza zimia kwa vituko tanroad wanatufanyia.
Design za barabara (highway) nyingi zinaeleweka, kwanini kujifanya mna ubunifu wakati mnachezea pesa za kodi na kuharibu maeneo ambayo yangeweza rahisisha maisha ya watanzania.
Consultant wa barabara ya kimara vs kibaha sijui mlimtoa wapi?
Mbona kenya wanafanya vitu vizuri kabisa.. kwani ni dhambi kukopi?View attachment 2102241View attachment 2102251
Iyo barabara ya njia 3 ilikua msaada toka world bank tukawakorofisha na ujenzi umekua wa kususua sua. So huwezi mpelekea lawama tanroads. Ni sawa leo ukalaumu mkandarasi wa barabara ya mwenge kwa nini hakumalizia na flying over pale makutano
Ukweli hapo mbezi mwisho kuna itaji u-turn sample iyo na zile sehemu zingine za katikati ambapo gari hupishana mfano temboni.
Kila siku najiuliza kwanini hawa Tanroad wanafanya vitu kwa kubashiri sana.. Huwa nikipita pale mbezi mwisho naumia sana wanavyo lichezea lile eneo.
Kama ni Mhandisi usipite pale unaweza zimia kwa vituko tanroad wanatufanyia.
Design za barabara (highway) nyingi zinaeleweka, kwanini kujifanya mna ubunifu wakati mnachezea pesa za kodi na kuharibu maeneo ambayo yangeweza rahisisha maisha ya watanzania.
Consultant wa barabara ya kimara vs kibaha sijui mlimtoa wapi?
Mbona kenya wanafanya vitu vizuri kabisa.. kwani ni dhambi kukopi?View attachment 2102241View attachment 2102251
Pale lazima pajengwe flyover ndo tatizo litaisha ,.Tanroad wapo kwenye corner the only option ni kufanya kitu sahihi sio bla bla tulizozoea kusikia, hata hizi taa wanazoweka , ni kupiteza tu pesa maana kuna siku zitaprove beyond doubt kuwa sio msaada.
Mbona mbezi Fly over ipo kwenye mpango na ninaona wameanza kutengeneza fly over pale?
Mkuu ramani yako inahitaji nafasi kubwa sana lakini kwenye plan ya hii barabara pale mbezi kuna fly over na wakati wa uzinduzi wa hii barabara waziri alisema kutakuwa na fly over na mbezi ikiwemo na nimeona mbezi wameanza kujenga kama sijakosea!
Huyu jamaa hadi nimeshangaa, yaani kwa stage iliyofikia bado anataka tuamini kuna kitu kipya kitakuja pale mbezi!! ?Usijifariji.. najua wewe unatoka kile kitengo cha ushauri cha Tanroad ambao ndio mmeharibu mradi mzima wa highway toka kimara vs kibaha..
Internet haidanganyi ila muda utaongea tuu
Haja ya kufananisha Kenha na Tanroad ipo sana , for better preferences,Hatuna haja ya kujifananisha na yeyote akiwemo (KENYA) na kuhusu kinachofanyika palee ngoja kikamilike utakuja hapa kupongeza.. mbuyu ukiwa mdogo mdogo hauwezi kuupa heshima kama mbuyu ukishapevuka ki umbo
Mkuu ramani yako inahitaji nafasi kubwa sana lakini kwenye plan ya hii barabara pale mbezi kuna fly over na wakati wa uzinduzi wa hii barabara waziri alisema kutakuwa na fly over na mbezi ikiwemo na nimeona mbezi wameanza kujenga kama sijakosea!